brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Yah nitamgharamikia kadri niwezavyo namkubali saaaaaana yaanKwahiyo mkuu na wewe unakataka haka katoto .........Unaweza kumpa maisha niliyomuandalia mimi .............. maana nimepanga kila atakapokutana na mimi basi 10m zinamuhusu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukitembea na mume wa mtu utamuonyeshaje sasa
Inalipa kwa muda.....uwa zina expire.Kiboga, kiboga, chura, chura inalipa sana mujini...
Baba afande? Duh ila kama mzazi ukimwona mwanao hivyo unaumia sana. Basi tuAfande Kimaro Sabasita katika watoto huyu ni hasara
Nasikia ni mtoto wa mjeshi fulani, na binti mwenyewe bado ni mdogoAfande Kimaro Sabasita katika watoto huyu ni hasara
Saba Sita Kimaroo anahusikaje hapa?Afande Kimaro Sabasita katika watoto huyu ni hasara
Ndo baba yake mzaziSaba Sita Kimaroo anahusikaje hapa?
Kumbe!Ndo baba yake mzazi
Maskini!! Alivyopambana na uhalifu Arusha mwanae ndo huyu? Astaghfirullah!Ndo baba yake mzazi
Huyo mtoto namuelewa sana
mkuu vp we ndo unayemwita maana sio kwa kumwelewa hukuUMEKOSEA NI GUEST GUEST ANAKOPGAGA PICHA
Utaanzaje sasa kama wewe ni nyaku nyakuUkitembea na mume wa mtu utamuonyeshaje sasa
Nimesoma ila sijamfahamu,muwe mnajifunza namna ya kuandika title!Mnakuwa kama darasa la kwanza bhanaView attachment 399645Wambea wenzangu karibuni jukwaani aka bungeni tujadili kwanza suala la aka katoto kadogo jinsi kanavyokuja kwa kasi mujini, nani anayempa jeuri ya matanuzi ya kutisha mjini? Maana bata anazokula huyu mtoto si mchezo jamani, nachunguliaga insta yake naona mmh mtoto si haba uzuri tu anao ,warumi na umbea wangu wote sijajua chochote bado kuhusu underground aka zari mtoto