Ni nani anayempa jeuri ya pesa Tunda wa Young Dee?

Ni nani anayempa jeuri ya pesa Tunda wa Young Dee?

Engineer Flani wa wa kampuni flani ya Media! Ana asili ya Mtaliano mtaliano flani hivi ndiyo anaemchukua huyu sweet mama!!
 
Hivi hivi vibinti vinavyofanya hivi havina wazazi,
Ndugu, wajomba, shangazi n.k?
Na huwa wanawachukuliaje hawa mabint wa aina hii...
Yaani sipati picha familia zao wataleaje...
Ukweli ni kuwa hata wakiolewa hawadumu, huachika mara nyingi sana na huolewa hata bila kubariki ndoa!!

Natafuka Kick Meeeeeeeeeeeeen
 
Huyu mtoto bado hajapata maisha ya hadhi yake kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] asee ningeshangaa kupita bila kuona comment yako kwa mtoto tunda hakika huyu mtoto basi tu moyo machine
 
View attachment 399645Wambea wenzangu karibuni jukwaani aka bungeni tujadili kwanza suala la aka katoto kadogo jinsi kanavyokuja kwa kasi mujini, nani anayempa jeuri ya matanuzi ya kutisha mjini? Maana bata anazokula huyu mtoto si mchezo jamani, nachunguliaga insta yake naona mmh mtoto si haba uzuri tu anao ,warumi na umbea wangu wote sijajua chochote bado kuhusu underground aka zari mtoto
 

Attachments

  • 1473851117348.jpg
    1473851117348.jpg
    29.2 KB · Views: 189
Huyo mtoto mbona ni kapunda na kauza uchi tu nikazuri ila kadogo
na kanakuwa kanapga dili na petitman wakuache yule mfanyakazi wa wema ndio wanakuwa wanapewa mishe ya kubeba mizigo .na pia kwa umalaya yupo na nyuma bei yake kuanzia laki akikushushia 70000 na pia kunatetesi dogo anasambaza umeme wa rea vijijini sijui maskin kibao watakavyopata umeme
 
Hivi mi nashangaa huyu mtoto mdg inakuwaje amemshindwa kweli
????[emoji15] [emoji15]
Wazazi saa zingine lawama lzm ziturudie...
Mimi huyu nimgemtia jela...nimzae anishindwe[emoji15]
Usiseme hivyo hakuna mzazi anayefurahi kumuona kijana wake hivyo na haujui kwanini wameshindwa kumdhibiti mpaka akafikia hapo
 
Back
Top Bottom