Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
Ni kampuni ya bongo??Waliotengeza Duka Box ila haimilikiwi na Cheka Tu
Location ya wanapopatikana hawa jamaa plzWaliotengeza Duka Box ila haimilikiwi na Cheka Tu
Anaimiliki nani sasa??😳Waliotengeza Duka Box ila haimilikiwi na Cheka Tu
Cheka PlusLocation ya wanapopatikana hawa jamaa plz
Thanks. Ila nlimaanisha DukaBox wanaomiliki hiyo AppCheka Plus
+255 719 955 966;
PO Box 72542 Asia Street Mikocheni Dar es salaam Tanzania.
Nadhani wao waliingia tu mkataba kuitengeza App yenyewe imelala hamna kitu paleThanks. Ila nlimaanisha DukaBox wanaomiliki hiyo App
Dah inaniuma sana. Ilikuwa bonge la idea. Bongo la project. Shida utekelezaji na mwendelezo.Nadhani wao waliingia tu mkataba kuitengeza App yenyewe imelala hamna kitu pale
Natamani kujua bongo ni kampuni gani inayotengeneza Apps vizuri.Nadhani wao waliingia tu mkataba kuitengeza App yenyewe imelala hamna kitu pale
Muamko watu hawapendi stand-up comedy kwenye App wakati Insta wanapata kila kituDah inaniuma sana. Ilikuwa bonge la idea. Bongo la project. Shida utekelezaji na mwendelezo.
Muamko watu hawapendi stand-up comedy kwenye App wakati Insta wanapata kila kitu
Sasa tusipowabadilisha sisi atawabadilisha nani?Tatizo lipo katika kulipa Mbongo kutoa hela anakuwaga Mgumu sana
Mbona App ya Azam Max watu wanalipiaTatizo lipo katika kulipa Mbongo kutoa hela anakuwaga Mgumu sana
Na wanalipia hadi SpotifyMbona App ya Azam Max watu wanalipia
Cheka Tu hawajawa serious kuipromte na kuipushNa wanalipia hadi Spotify
Natengeneza ila sina kampuniNatamani kujua bongo ni kampuni gani inayotengeneza Apps vizuri.
From scratch au unatumia templates?Natengeneza ila sina kampuni