Bata Boy Official
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 259
- 309
- Thread starter
- #21
UmeonaaaNa wanalipia hadi Spotify
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmeonaaaNa wanalipia hadi Spotify
Situmii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyoFrom scratch au unatumia templates?
Nitumie namba yako PMSitumii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyo
Situmii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyo
Inaonekana jamaa yuko seriousNitumie namba yako PM
Huyu jamaa ni TAPELI kuweni makini nayeSitumii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyo
Namba yake nimeshairipotiSitumii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyo
Sijui kwanini linapokuja suala la Tech tunakuwa slow kiasi hikii😔Ile app kwenye upande wa malipo tu ndo iko vizuri ila kwenye contents ni upuuzi, ukiingia hujui content mpya ni ipi ya zamani ni ipi. Wangeweka hata feature ya kusort tungewaelewa...... Pia iko slow sana kwenye kuload contents zake.
Ni idea nzuri, bwana Coy Mzungu anapaswa kuiboresha app yao na kuiupdate na contents mpya kila wanapofanya show. Ni huzuni umelipia ila kwenye app huoni kitu, shows unazikuta YouTube na TikTok bure.
Mkakati na ku study mazingira ya kuweka bidhaa ndio huleta matokeoMbona App ya Azam Max watu wanalipia
Keep it up,Natengeneza ila sina kampuni
Java umewahi tumia??Situmii Template ya mtuu natumia Flutter framework from scratch kabisaa kitu kinatoka kama kilivyo
HahahahaHuyu jamaa ni TAPELI kuweni makini naye
Kwenye Tehama ni ngumu sana kupima ubora wa kitu maana wanao jua kutengeneza mionekano ni wengi kuliko wanao tengeneza ufanisi wenye kielewekaNatamani kujua bongo ni kampuni gani inayotengeneza Apps vizuri.