Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?


Send me a location
 
Nina dada yangu ana watoto wa kiume wanne hana mfanyakazi wa ndan wala hana mume lkn ukienda kwake palivyopasafi na anaishi kama boss watoto wameshika adab sijawah ona wanampikia hadi mama yao


Ni sawa na mjomba wangu, watoto wa kiume tupu ndani ya nyumba yake, wanafanyakazi zote za ndani wenyewe. Yaani super sana
 
Hana baba kwa sasa ila ana anko wa karibu ambae ni lainilaini/mwibapori mlamba lipsi loydemich
 
Nina dada yangu ana watoto wa kiume wanne hana mfanyakazi wa ndan wala hana mume lkn ukienda kwake palivyopasafi na anaishi kama boss watoto wameshika adab sijawah ona wanampikia hadi mama yao

Ni sawa na mjomba wangu, watoto wa kiume tupu ndani ya nyumba yake, wanafanyakazi zote za ndani wenyewe. Yaani super sana

Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?
 
RAS Simba ametuletea matatizo sana
 
Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?


Boy, mimi nilisoma Tambaza Dar es salaam. Yaani shule ya wanaume watupu. Usinitanie, mimi I met most beautiful women than you. I'm a good cooker and clean the house too. You're a piece of stupid shit. My daughter is young and beautiful. If you come in my house with stupid attitude like that. I'll shoot your ass and they'll not find your body. You don't deserve a woman, because you're a moron
 
Heee.

Tulifikaje huku?

That escalated fast. 🤣🤣
 
Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?
Hii mentality ndo inawafanya watoto wa kiume washindwe kuwa independent na kulazimisha a woman's place is in the kitchen.

Mwanaume anaeweza kujisimamia masuala ya kujipikia, usafi nk huwezi kuta analazimisha mke wake awe Mama wa nyumbani kwa ajili ya kumtengea chakula na maji ya kuogea.
 
Nangumene. Uchimung’unye wala uchiteme. Uchilale uchiamke mpaka chikatikie…
 
Tambaza ndipo wanatoka vilaza kama wewe idiot

Una PhD ya ujinga


Wewe ni stupid lakini hujui. Kwahiyo mtoto wangu wa kiume ni bora kuliko wa kike? Yaani wewe ni bure kabisa, you don't even deserve my response
 
You are pathetic, uncouth and barbaric.

Shame on you for picking on a little child.


Unajua kuna watu humu kwenye Internet ndio comfortable zone. They're missing something in real life. They create fake accounts with false names and acting tough. Bullying a kid isn't funny, we all passed different stages in growing up. I don't even know what wanted to say, but I agree with you 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…