Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Nimekaona haka kajamaa mahali and I'm confident enough to say this kid is lost.

Dunia ni ulimwengu wa wanaume na mwanamke hana chochote cha kumfundisha mtoto wa kiume ili aje kupambana kwenye huu uliwengu mchafu, usio na haki wala huruma plus udhurumishi na ukatili you either fight or die.
Wanawake ni wanawake tu haijalishi kama anabeba vyuma au anajiita superwowan and shit.
na ndio maana huwezi kuta mwanamke anaenda vitani kupambana na wanaume bali wanaume watapambana na wanaume, na mwenye nguvu ndio atakaa juu sababu kila mwanaume anataka kuwa kiongozi.

Wanawake ni dhaifu na huo ndio ukweli hivyo kamwe hatoweza kulea mtoto wa kiume mpaka aje kuwa mwanaume.

This is a man world and this kid is going to the wrong way.

Anayeweza kunipinga ajitokeze nimchakaze.

Send me a location
 
Nina dada yangu ana watoto wa kiume wanne hana mfanyakazi wa ndan wala hana mume lkn ukienda kwake palivyopasafi na anaishi kama boss watoto wameshika adab sijawah ona wanampikia hadi mama yao


Ni sawa na mjomba wangu, watoto wa kiume tupu ndani ya nyumba yake, wanafanyakazi zote za ndani wenyewe. Yaani super sana
 
Hana baba kwa sasa ila ana anko wa karibu ambae ni lainilaini/mwibapori mlamba lipsi loydemich
2882409_Screenshot_20210815-105033.jpg
 
Nina dada yangu ana watoto wa kiume wanne hana mfanyakazi wa ndan wala hana mume lkn ukienda kwake palivyopasafi na anaishi kama boss watoto wameshika adab sijawah ona wanampikia hadi mama yao

Ni sawa na mjomba wangu, watoto wa kiume tupu ndani ya nyumba yake, wanafanyakazi zote za ndani wenyewe. Yaani super sana

Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?
 
I wouldn't know him but a father figure is not merely someone you are dating. If you assume that every man you date will be a father to your kids albeit a good one just shows how misinformed you are. It takes more than just being a mere man to be a father figure.

You are wrong. Nowhere have I deprived the child his childhood. Infact, I have gone ahead to state that the kid is just a kid and should be left to be the mere kid that he is.

Single Moms are superheroines. Unsung heroines at that judging from the societies perceptions of them that is.

Do you expect that a woman who was left with no otherwise than to raise her child by herself would be in a hurry to find another man just to have a man in her life who 'hopefully' will be a father figure to her child? Oh come on

Then what? Another pregnancy different man?

Only a dumb woman would do that.
RAS Simba ametuletea matatizo sana
 
Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?


Boy, mimi nilisoma Tambaza Dar es salaam. Yaani shule ya wanaume watupu. Usinitanie, mimi I met most beautiful women than you. I'm a good cooker and clean the house too. You're a piece of stupid shit. My daughter is young and beautiful. If you come in my house with stupid attitude like that. I'll shoot your ass and they'll not find your body. You don't deserve a woman, because you're a moron
 
Boy, mimi nilisoma Tambaza Dar es salaam. Yaani shule ya wanaume watupu. Usinitanie, mimi I met most beautiful women than you. I'm a good cooker. You're a piece of stupid shit. My daughter is young and beautiful. If you come in house with the that attitude like that. I'll shoot and they'll not find your body
Heee.

Tulifikaje huku?

That escalated fast. 🤣🤣
 
Kwahiyo huko kwenu watoto wa kiume kufanya kazi za ndani ( za wanawake) mnaona sifa?
Hii mentality ndo inawafanya watoto wa kiume washindwe kuwa independent na kulazimisha a woman's place is in the kitchen.

Mwanaume anaeweza kujisimamia masuala ya kujipikia, usafi nk huwezi kuta analazimisha mke wake awe Mama wa nyumbani kwa ajili ya kumtengea chakula na maji ya kuogea.
 
View attachment 1769950


Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!

Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....

View attachment 1769953
Nangumene. Uchimung’unye wala uchiteme. Uchilale uchiamke mpaka chikatikie…
 
Tambaza ndipo wanatoka vilaza kama wewe idiot

Una PhD ya ujinga


Wewe ni stupid lakini hujui. Kwahiyo mtoto wangu wa kiume ni bora kuliko wa kike? Yaani wewe ni bure kabisa, you don't even deserve my response
 
You are pathetic, uncouth and barbaric.

Shame on you for picking on a little child.


Unajua kuna watu humu kwenye Internet ndio comfortable zone. They're missing something in real life. They create fake accounts with false names and acting tough. Bullying a kid isn't funny, we all passed different stages in growing up. I don't even know what wanted to say, but I agree with you 100%
 
Back
Top Bottom