Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

You are not making much sense.

Especially regarding single mothers.

You are trying to make a point while contradicting yourself at the same point.

I am utterly confused about this.
 
Wewe ni either single mama usie na akili au ni mpuuzi tu usiejua hili Wala lile.

Au umeachika , au huna ndoa.

Hakuna mtu Alie na familia akafurahia huo upuuzi wa Irene
 
Wewe ni either single mama usie na akili au ni mpuuzi tu usiejua hili Wala lile.

Au umeachika , au huna ndoa.

Hakuna mtu Alie na familia akafurahia huo upuuzi wa Irene
Uzuri wa kukaa nyuma ya keyboard ni kwamba you think you know everything.

To set the record straight.

I am not a single Mama, I am not divorced and I am certainly not dumb.

Kuanza kumshambulia mtoto mdogo ni ulimbukeni and you need to have your conscience resuscitated.
 
Kwahiyo kuongea ukweli ndio kumshambulia ?

Kusema mama yake anapaswa am-link na wanaume apate "Ubaba" Ni kumshambulia ?


Nashukuru sana umedeclare kwamba hujaolewa na huna familia , so unachoongea Hana legit Zaid ya kutapika utumbo.


Tuache wenye familia tuongee wewe endelea kutoa mimba.
 
Lazima aokote mwanamme Ili mtoto apate father figure? Hana wajomba, Hana Babu, Hana Baba wadogo?

Mtoto kosa lake ni kipi katika 'ukweli' wako?

Furthermore kumbe hujanielewa nilipokuambia am not any of those things you assumed.

I guess am wasting time arguing with a lunatic.
 
Huna unalojua wewe ng'ombe.
 
Wewe tumia characters kwenye TV kama yardstick ya kuwalea wanao.

Niondolee utopolo hapa.

Dume zima linashinda kwenye matamthilia linabanana kwenye makochi na shemeji yake na linakariri kabisa na majina ya TV Characters.

Mama Amaira my ass.
Acheni inshu za kishamba kuiga iga visivyoigika,unadekeza litoto kama yai hata ukiwaachia watu wakae nalo lisaa limoja tu hawawez.

Na matoto ya namna hyo yanaishiaga kuwa mateja na malaya na mabinafsi pumbavu kabsa wewe na hayo manao unayoyaelea kama mapimbi
 
Habari ya ubabe sijui unaitoa wapi

Unaambiwa mtoto lazima alelewe kwa namna itakayomfanya atambue yeye ni nani
 
Umeishia matusi tu kwa kukosa point.

Pole.
Kumbe na hangaika na lisingo maza,kumbuka singo maza huzaa singo maza pia,kama unataka kuwaokoa wanao ,wapeleke wakalelewe na wajomba zao,maana malezi ya singo mama huwa yamekaa kaa kimalaya malaya kujiuza
 
Kumbe na hangaika na lisingo maza,kumbuka singo maza huzaa singo maza pia,kama unataka kuwaokoa wanao ,wapeleke wakalelewe na wajomba zao,maana malezi ya singo mama huwa yamekaa kaa kimalaya malaya kujiuza
Pole ndugu.

Single Mother unaemuongelea ni yupi?

Ngoja tu nikueleweshe. I am not a single mother but kama ambavyo sijui kesho yangu siwezi kuja kuwakebehi single mothers kisa Mimi sio single mother.

Nilishachoka nyimbo za kejeli kuhusu single mothers and since then am always in their defence.

Hao malaya unawajua wewe huenda ni dada zako na Shangazi zako. The single mothers I know, including the majority of them here wanajielewa na Wana maadili.

Sasa wewe mdomo kuoza jitathmini sana halafu rudi hapa na round two ya matusi nitaangalia kama Nina muda ama mood ya kukuporomoshea mawili matatu.

Choko we.
 
Usiache kuzingatia ushauri niliokupatia ova.
 
Hilo Toto mbeleni sijui itakuaje ngja tusubuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…