Lakini hata Mwendazake hakuitumia aliona bora kuruka na airbusNapata hasira sana kuona ndege hii ambayo ilinunuliwa huku sisi tukiambiwa tutakula nyasi ili Raisi awe anaipanda kwa shughuli zake za kiserikali.
Halafu mwisho wa siku tunaiona ikitumiwa kwa shughuli binafsi kwa faida ya watu wachache, inaumiza sana.
Ukichunguza sana utaweza kukuta ndio ukweli wenyewe huoUnajenga picha ya kwamba Madini yanatoroshwa kwa kupitia ndege binafsi ya Raisi? Na kusafirishwa nje kupitia zanzibar?
Haupo salama, kikubwa ni kufanya yalio ya kweli ili hata ukikamatwa uweze jitetea.Ndo maana naipenda jamiiforum watu Wana data za kutosha sijui tuko na usalama humu ndani
Unaijua moja ya sifa za hiyo ndege?Tarehe 12 saa 09:38am ilikuwa Klm/jro na saa 09:59am ikawa Zanzibar, je dakika 20 ndege yaweza kufika Zanzibar?
Nijuavyo kutoka Jro to Znz kwa airbus au dreamliner ni dkk 50 to 55 na pangaboi hadi dkk 60, je hizi taarifa zina ukweli?
We mzanzibari hebu tupishe kama huna hoja. Wewe si unepewa vielelezo huko juuhiyo tracker inaonesha wapi kama hiyo ni ndege ya rais na si ndege nyengn?
Sio ndege binafsi ni ya Rais amboyo tunaitunza sisi walipa kodiUnajenga picha ya kwamba Madini yanatoroshwa kwa kupitia ndege binafsi ya Raisi? Na kusafirishwa nje kupitia zanzibar?
Hivi kweli mzigo unaoagizwa China na mfanyabiashara mzanzibari, unapoletwa na Air Tanzania, anauchukilia Dar es salaam au Boeing yetu inaushusha kwanza Zanzibar ndipo Boeing ikamilishe safari kuelekea kwenye "Hub" yake .... Dar es salaam?🤔Ukichunguza sana utaweza kukuta ndio ukweli wenyewe huo
Sasa hivi inashuka ZenjiHivi kweli mzigo unaoagizwa China na mfanyabiashara mzanzibari, unapoletwa na Air Tanzania, anauchukilia Dar es salaam au Boeing yetu inaushusha kwanza Zanzibar ndipo Boeing ikamilishe safari kuelekea kwenye "Hub" yake .... Dar es salaam?🤔
Tibisii watafukua hili🤣Kuna vijihela vya wakubwa vinakusanywa...Tungekuwa na waandishi wa habari za uchunguzi na vyombo huru vya habari hii kitu ingefunuliwa kweupeee
Labda komandoo Salmini maana ameoa uchaggani!
Kakosea sanaUnajenga picha ya kwamba Madini yanatoroshwa kwa kupitia ndege binafsi ya Raisi? Na kusafirishwa nje kupitia zanzibar?
DahHii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.
Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.
Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar
Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.
Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
View attachment 2128144
Kwamba unaogopa utaminywa kende?Bubada ndio mgodi wa barrick - bulyanhulu
Hii mada sio ya kuchangia kabisa
Kama kuna watu wanatusaliti nchi hii ni WAANDISHI WA HABARI.
Teknolojia imeimarika mkuuMpaka mmeanza kutrack na nyendo za ndege ya Rais wa JMT? Hii nchi sasa imekuwa ngumu kuliko ugumu wenyewe!
Lini MkuuWanasema 6550 ilikuwa mbovu, imeshaletwa G700 na usajili huo huo wa 5H-ONE