Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Napata hasira sana kuona ndege hii ambayo ilinunuliwa huku sisi tukiambiwa tutakula nyasi ili Raisi awe anaipanda kwa shughuli zake za kiserikali.

Halafu mwisho wa siku tunaiona ikitumiwa kwa shughuli binafsi kwa faida ya watu wachache, inaumiza sana.
Lakini hata Mwendazake hakuitumia aliona bora kuruka na airbus
 
Tarehe 12 saa 09:38am ilikuwa Klm/jro na saa 09:59am ikawa Zanzibar, je dakika 20 ndege yaweza kufika Zanzibar?
Nijuavyo kutoka Jro to Znz kwa airbus au dreamliner ni dkk 50 to 55 na pangaboi hadi dkk 60, je hizi taarifa zina ukweli?
Unaijua moja ya sifa za hiyo ndege?
 
Unajenga picha ya kwamba Madini yanatoroshwa kwa kupitia ndege binafsi ya Raisi? Na kusafirishwa nje kupitia zanzibar?
Sio ndege binafsi ni ya Rais amboyo tunaitunza sisi walipa kodi
 
Ukichunguza sana utaweza kukuta ndio ukweli wenyewe huo
Hivi kweli mzigo unaoagizwa China na mfanyabiashara mzanzibari, unapoletwa na Air Tanzania, anauchukilia Dar es salaam au Boeing yetu inaushusha kwanza Zanzibar ndipo Boeing ikamilishe safari kuelekea kwenye "Hub" yake .... Dar es salaam?🤔
 
Hivi kweli mzigo unaoagizwa China na mfanyabiashara mzanzibari, unapoletwa na Air Tanzania, anauchukilia Dar es salaam au Boeing yetu inaushusha kwanza Zanzibar ndipo Boeing ikamilishe safari kuelekea kwenye "Hub" yake .... Dar es salaam?🤔
Sasa hivi inashuka Zenji
 
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.

Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.

Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar

Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.

Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

View attachment 2128144
Dah

Unakosea sana
 
 
Kama kuna watu wanatusaliti nchi hii ni WAANDISHI WA HABARI.

Mnawaonea bure. Kinachokutisha wewe napaka huwezi kujitoa muhanga ndicho hicho hicho kinawatisha na wao.

Kibaya zaidi hakuna muunganiko wala dhamira moja ya dhati kama taifa matokeo yake kila mmoja anapambania tumbo lake na wanaomuhusu.

We have no agenda as a people instead we go with whatever our Politicians dish out at us, completely misplaced but well controlled citizens.

Tumebaki kutupiana lawama tu Kama wendawazimu.
 
Wanasema 6550 ilikuwa mbovu, imeshaletwa G700 na usajili huo huo wa 5H-ONE
 
Lini Mkuu
1735887189039.png


1735887095214.png
 
Back
Top Bottom