Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Kwa kuwa inatumia na serikali basi itakuwa ni matumizi sahihi kwa maslahi ya wananchi. Tuwaamini viongozi wetu ila nao wawe na imani na sisi. Hata ukiwa ofisini ukijua unaaminiwa,inakuwa ni motisha kwa uadilifu.
 
Unajenga picha ya kwamba Madini yanatoroshwa kwa kupitia ndege binafsi ya Raisi? Na kusafirishwa nje kupitia zanzibar?
Daah, aisee mbona kama hii theory imekaa vizuri sana, kusanya madini Mwanza na Arusha, peleka Zenji, torosha, tumekwisha..!! Imebaki kuiuza Ngorongoro tu kwa waarabu
 
Wadanganyika tunapigwa na vitu vizito kichwani kila uchwao uku kwenye vichwa majanga matupu vichwa uku ndege ya rais inatumika uku rais' si mtumiaji duuu[emoji854]
 
Huwa najiuliza sana tangu lini mzungu akawa rafiki yako wa kweli, Mwalimu Nyerere alishawahi sema mzungu sio mjomba wako akupe pesa bure pasipo kutaka kitu ndio maana nilihoji hizo pesa grants ni nchi ngapi wanahizitaji kuliko Tanzania? Sasa mpaka kupewa huwenda kuna makubaliano ambayo hayawekwi wazi kwa watanzania.
Bila mzungu madini utayafanyia nini

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Nakumbuka enzi zile ilipelekwa Madagaska kubeba maboksi ya dawa ya corona[emoji205]

View attachment 2128202
Ku mbe ndio hiyi mbona ya hovyo yaani rais anatumia hili jeneza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HApana kwa kweli si kibanda cha kufugia njiwa hiki jamani
Ndege ya rais ndege ya rais kumbe ndio likibanda hili hivi inakabiliana vp na upepo wa huko juu [emoji20][emoji20][emoji24][emoji24]
 
hapo lazima tufuatilie kwann,inaonekana kulala zbar Mara kwa Mara!!? Halafu root zenyewe niza maeneo potential kwa madini,ndovu n.k. final destination ya hii ndege kulala ni eidha dar au Dodoma ,maana ndiko ikulu ziliko. huko zbar vipi tena!!??

tunashindiliwa vitu vizito vichwani watz.
 
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.

Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.

Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar

Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.

Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

View attachment 2128144


Bila umakini tutakuja kuwa kama hawa wa Nauru Tiny Country ambao walipata kuwa nchi tajiri kuliko zote duniani na sasa wanaugulia maumivu
 
Back
Top Bottom