Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Ni nani hasa huitumia ndege ya Rais wetu 5H- ONE Gulfstream G550 maana inaonekana ikizurula tu mikoani na kupaki Zanzibar?

Alaf huko shinyanga inatua karibu na mgodi fulan mkubwa
 
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.

Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.

Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar

Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.

Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

View attachment 2128144
Atakuwa mupenzi wa hangaya anakula mabata tu mujini
 
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.

Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.

Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar

Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.

Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

View attachment 2128144
Una hangaika Mzee hadi sio vizuri,kaikodi uwe unabebea dagaa
 
Asante sana kiongozi kwa kutrack ujambazi unaendelea kwa kutumia ndege ya rais, hizo sehemu zina madini ghafi kwahiyo hilo dege linatumika kuyavusha bila kibali na bila bughudha na kuyapeleka Zanzibar, watanzania tuamke kutoka usingizi wa pono.
Idungue tuu mkuu 😄😄😄
 
Hii ndege ya rais iliyonunuliwa kwa bei ya $40,000,000 kwa nini haikutumika kumpeleka rais Belgium/France na nchi nyingine za magharibi na badala yake inazurura tu mikoani pasipo kuwa na ratiba maalamu.

Sisi walipa kodi tuna haki ya kujua ndege iliyonunuliwa kwa hela zetu kwa nini inazurura kila mahali wakati rais anapanda Air Tanzania au Emirates.

Na kama kuna mtu fulani anaitumia basi tupaswe kumjua, maana isije kuwa inatumika kufanyia biashara za magendo, ama kutumiwa na baadhi ya watu kufanya starehe/ufuska au ndio imekwisha kabidhiwa ramsi kwa Raisi wa Zanzibar kama ndege yake binafsi maana haiwezekani ukiangalia kwenye Flight past history unapata taarifa za ndege hiyo kuzurula sana Kilimanjaro na mikoa mingine ila inarudi kulala zanzibar

Mwenye ufahamu tunaomba atujuze, Nawasilisha.

Hapa chini ni tracking past flight history ya ndege ya Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

View attachment 2128144
Mzee usikurupuke, vuta subira kwanza na ufanye utafiti wa kina kuhusu jambo ili kupata ushahidi usio na shaka kuhusu unachokizungumza.

Kwanza hiyo ndege ya Rais aina ya Gulf stream ina uwezo wa kutua viwanja vikubwa na nakumbuka viwanja hivyo vilitajwa kuwa ni pamoja na Uwanja wa Kimataifa wa JN Nyerere, Dar es salaam, Dodoma, Mtwara, Songwe Mbeya, Kilimanjaro, Abeid Aman Karume Zanzibar.

Viwanja vidogo tena km vya Shinyanga, Moshi, Arusha, Bubada ndege hiyo haina uwezo wa kutua.

Pia ndege hiyo ni miongoni mwa ndege zinazomilikiwa na Wakala wa ndege za serikali, ambaye mtu yeyote anaruhusiwa kuzikodi kwa matumizi yake binafsi au ya kampuni yake.

Hivyo kabla ya kutoa tuhuma angejirisha kwanza mwenyewe km kweli ndege anayoiona ni ile ya rais kweli ama ndege ya kukodi ya makampuni mengine binafsi, na kwamba nani walikuwa wanaitumia wakati huo, kwa uchache tu hayo alipaswa kuyazingatia kabla ya kuzoza hewani.
 
Back
Top Bottom