Ni nani hasa mmiliki wa Taifa la Tanzania?

Ni nani hasa mmiliki wa Taifa la Tanzania?

Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Rostam
 
Wamiliki wapo pale makumbusho kwenye ule ukuta mkubwa sana mule ndani wana hospital yao kwa nyuma inaitwa Mzena... wengine wapo Lugalo, Monduli na DODOMA.

Alafu mwana una maswali ya KIMAMA sana!
Hahaha awapii hao wenyewe wanafata matakwa ya watu maalam..
Wamiliki Ni kakikundi maalaum ambako ndani yake Kuna wazee ambao hata shule hawajafika..
Wakisema wamesema ukibisha ujue safari yako tayari.
 
Mmiliki wa Tanzania ni Mtanzania. Taifa la Tanzania ni mali ya Watanzania collectively.
P
It is hypothetically true, but in reality, the nation of Tanzania is currently owned by or in the hands of Msoga gang. This group coordinates all major corruption scandals, from Escrow, IPTL, EPA, Bagamoyo Port to DP World.
 
Mie Mtanganyika.
You are a slave bigot and Arab pet.

1687559672302.png
 
Asalam,

Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama akasema kwa sauti nzito kuwa yeye ndio MMILIKI?

Naona wako watu wanazunguka humu nchini, wengine kwenye maofisi ya umma, wengine binafsi, wanasema wanatumikia TZ. Lakini ni TANZANIA YA NANI?

NANI HASA ANAMILIKI TAIFA LA TANZANI?

Na kama yuko anaemiliki, ni kwa kiasi gani anaujua umiliki huo ? Nani hasa?
Mungu anakuona tutafutie twende jela kwa kutulazimisha kujibu ili swali maana🤐🤐
 
Kiuchumi&kisiasa ni USA+Koloni la UK/England/british chini ya kivuli cha C+C+M, kiimani ni Vatican+Arab kingdoms chini ya vivuli vya Umoja wa makanisa+dini ya kiislam.

Kiufupi hii nchi inaongozwa na falme mbili tofauti ambazo zilizotutengenezea WaTZ fake Democratic leadership ya kupokezana uongozi wa urais every after 10years,

Ni ngumu kuchomoka kwa hawa mabwana mpaka hawa vibaraka wanaotuongoza wafe woote pamoja na vizazi vyao haramu au waamue kujitenga na huu mfumo wa hawa mabepari wetu.

Narudia ni ngumu kwa nchi zetu haswa Tz kuendelea bila kujitenga na mifumo hiyo waliyotuletwa hawa mnaowaabudu wazungu+waarabu.

Mfumo wa kiimani umeshikilia masuala ya kidini kuhakikisha watu wote wanakuwa chini ya ushawishi wa mifumo ya kidini na sheria za makanisa+misikiti na hakuna kuhoji.

Mfumo wa siasa ndio kama mnavyouona mmeaminishwa demokrasia ya kweli ni vyama vingi sijui na madudu gani ya kupokezana uongozi huku mkiutukana mfumo halali wa uongozi wa kifalme kwa kuita udicteta, mnachanganya kati ya ukatili na ufalme,

Mfumo wa kiuchumi ndio huo waliotupangia jinsi ya kuendesha maendeleo kwa mifumo yao ya kibenki, aina ya sarafu, thamani ya pesa, mizunguko mizima ya pesa.

Kiufupi Bado tupo Utumwani ijapokuwa hatujafungwa miili lkn tumefungwa akili.

Viongozi wetu wanayajua haya lkn hawataki kurekebika kwanini?
 
Mmiliki wa Tanzania ni Mtanzania. Taifa la Tanzania ni mali ya Watanzania collectively.
P
Tumia akili

Huwezi kuwa mmiliki wa nchi huku kuna nchi huko inakupangia bei ya mazao uliyozalisha wewe.

Unapangiwa ama kupewa vibali juu ya uchimbwaji wa madini ktk ardhi yako, imagine Tanzania kuna madini ya Uranium yatumikayo ktk uzalishaji wa nishati ya Umeme iliyo gharama za chini maajabu ni kuwa HATURUHUSIWI KUCHIMBA MADINI HAYO je huo ndio umiliki halali? mtasingizia usalama sijui wanini lkn hakuna uhalali hapo.

Tumieni akili nyie wasomi hewa mnaotujaza ujinga kwa huu UHURU wa bandia.

Tanzania sio nchi huru wala haimilikiwi na watanzaia bali wageni na baadhi ya wasaliti wa hili taifa ambao ni hawa viongozi na wanasiasa, bila kuwasahau matajiri na wafanyabiashara.
 
Ulipita skuli kidogo au na wewe elimu yako ni ya hapa na pale?

Pitia Ukoloni na Belini konferensi upate ABCs kwanza.
 
Kiuchumi&kisiasa ni USA+Koloni la UK/England/british chini ya kivuli cha C+C+M, kiimani ni Vatican+Arab kingdoms chini ya vivuli vya Umoja wa makanisa+dini ya kiislam.

Kiufupi hii nchi inaongozwa na falme mbili tofauti ambazo zilizotutengenezea WaTZ fake Democratic leadership ya kupokezana uongozi wa urais every after 10years,

Ni ngumu kuchomoka kwa hawa mabwana mpaka hawa vibaraka wanaotuongoza wafe woote pamoja na vizazi vyao haramu au waamue kujitenga na huu mfumo wa hawa mabepari wetu.

Narudia ni ngumu kwa nchi zetu haswa Tz kuendelea bila kujitenga na mifumo hiyo waliyotuletwa hawa mnaowaabudu wazungu+waarabu.

Mfumo wa kiimani umeshikilia masuala ya kidini kuhakikisha watu wote wanakuwa chini ya ushawishi wa mifumo ya kidini na sheria za makanisa+misikiti na hakuna kuhoji.

Mfumo wa siasa ndio kama mnavyouona mmeaminishwa demokrasia ya kweli ni vyama vingi sijui na madudu gani ya kupokezana uongozi huku mkiutukana mfumo halali wa uongozi wa kifalme kwa kuita udicteta, mnachanganya kati ya ukatili na ufalme,

Mfumo wa kiuchumi ndio huo waliotupangia jinsi ya kuendesha maendeleo kwa mifumo yao ya kibenki, aina ya sarafu, thamani ya pesa, mizunguko mizima ya pesa.

Kiufupi Bado tupo Utumwani ijapokuwa hatujafungwa miili lkn tumefungwa akili.

Viongozi wetu wanayajua haya lkn hawataki kurekebika kwanini?
Britain wamekomaa na ufalme mpaka mwisho wa dunia na kwao huo sio udikteta??🤔
 
Kiuchumi&kisiasa ni USA+Koloni la UK/England/british chini ya kivuli cha C+C+M, kiimani ni Vatican+Arab kingdoms chini ya vivuli vya Umoja wa makanisa+dini ya kiislam.

Kiufupi hii nchi inaongozwa na falme mbili tofauti ambazo zilizotutengenezea WaTZ fake Democratic leadership ya kupokezana uongozi wa urais every after 10years,

Ni ngumu kuchomoka kwa hawa mabwana mpaka hawa vibaraka wanaotuongoza wafe woote pamoja na vizazi vyao haramu au waamue kujitenga na huu mfumo wa hawa mabepari wetu.

Narudia ni ngumu kwa nchi zetu haswa Tz kuendelea bila kujitenga na mifumo hiyo waliyotuletwa hawa mnaowaabudu wazungu+waarabu.

Mfumo wa kiimani umeshikilia masuala ya kidini kuhakikisha watu wote wanakuwa chini ya ushawishi wa mifumo ya kidini na sheria za makanisa+misikiti na hakuna kuhoji.

Mfumo wa siasa ndio kama mnavyouona mmeaminishwa demokrasia ya kweli ni vyama vingi sijui na madudu gani ya kupokezana uongozi huku mkiutukana mfumo halali wa uongozi wa kifalme kwa kuita udicteta, mnachanganya kati ya ukatili na ufalme,

Mfumo wa kiuchumi ndio huo waliotupangia jinsi ya kuendesha maendeleo kwa mifumo yao ya kibenki, aina ya sarafu, thamani ya pesa, mizunguko mizima ya pesa.

Kiufupi Bado tupo Utumwani ijapokuwa hatujafungwa miili lkn tumefungwa akili.

Viongozi wetu wanayajua haya lkn hawataki kurekebika kwanini?

Lakini sisi ni Taifa Huru. Na uhuru wetu tuliupata Disemba 9 mwaka 1961. Na tunasherehekea kila mwaka. Kwahiyo ule ni Uhuru "Fake"
 
Back
Top Bottom