Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
umriheri ni mweusi toka Mombasa Kenya na sekioni kitojo ni mbongo alitokea radio Tanzania katikati ya miaka ya tisini enzi za kusikiliza redio kwa mwenyekiti Wa kijiji,kamanda Wa sungusungu au kwa mwalim mkuu
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/723521-ni-nani-huyu-oumilkheir-wa-dw.htmlKivipi nitaupata mkuu, nisaidie.
Hivi hii Tshirt ya Michuzi ni ya uganga au kuna siri gani iliyojificha juu ya Tshirt hii?
Wewe ni kipofu? Unataka picha gani?
Othman miraji ni mdogo wake marehem prof harub othman
Ana mahirizi huyu jamaa yanapumua kama kinyonga
Mimi simkubali hata kidogo huyu mtangazaji
Humkumbuki au humjui?
hahaha!mbona namfahamu vizuri tu, ni mtangazaji wa D.W. hoja yangu ni kwamba mi simkubali na siyo kwamba simjui kuwa muelewa we kilaza
Mimi simkubali hata kidogo huyu mtangazaji
mbona namfahamu vizuri tu, ni mtangazaji wa D.W. hoja yangu ni kwamba mi simkubali na siyo kwamba simjui kuwa muelewa we kilaza
Huyu mtangazaji ni shida, me mwenyewe natamanigi kumfahamu anastahili fulani hiv ya kutangaza inayovutia sana kumsikiliza
Mimi simkubali hata kidogo huyu mtangazaji
Mambo mengine, una google tu!,
All and all, best wangu Abou Liongo, alikuwa DW, nitawaulizia na kuwajuza!.
Thanks.
Pasco
Mkuu Pasco umekosa yote hayo niliyoyaomba?