Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
umriheri ni mweusi toka Mombasa Kenya na sekioni kitojo ni mbongo alitokea radio Tanzania katikati ya miaka ya tisini enzi za kusikiliza redio kwa mwenyekiti Wa kijiji,kamanda Wa sungusungu au kwa mwalim mkuu
Umuru Kheir ni kutoka Comoro, kama hujui kitu piga kimya.