Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Hujui kuomba unajuwa kuchosha, hata mfanyakazi wa Tbc ungempa maombi yote hayo angeacha kabisa.
naunga mkono hoja mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kuomba unajuwa kuchosha, hata mfanyakazi wa Tbc ungempa maombi yote hayo angeacha kabisa.
Duruu za umoja wa mataifa au maafisaa waandamizi nchini lebanon........kwa kwel na mm nlkua cfaham jinsia yake ila saut yake hakuna dunia nzima mwana mama mkareee balaa
yeye hupendelea kuiita Lebnaan...
yeye hupendelea kuiita Lebnaan...
Anatisha huyu bi mkubwa nashangaa watangazaj wetu wa kibongo wanajifamya wanachanganya ngeli na kiswahili et kisa wamesomea english medium wakat wakina zuhra yunus wa bbc wamekaa miaka zaid ya 20 london na kiswahili chao kimenyooka kama cha tanga
Huwa akisoma udondozi wa magazeti ya ujerumani huburudisha sana.
naye mhariri wa gazeti la Frankurt algamain tsaitung anasema kuwa "MAPENZI PESA, UFUNDI PELEKA VETA"
Ile hali mhariri wa Baarin Tsaitung yeye ametanabaisha umma kwa kichwa kikubwa cha habari kinachosomeka "FANYA HIMA NIKUPE ANACHOKUNYIMA"
Na huo ndio mwisho wa udondozi wa Magazeti kutoka hapa Ujerumani mjini Booooooonna
naye mhariri wa gazeti la Frankurt algamain tsaitung anasema kuwa "MAPENZI PESA, UFUNDI PELEKA VETA"
Ile hali mhariri wa Baarin Tsaitung yeye ametanabaisha umma kwa kichwa kikubwa cha habari kinachosomeka "FANYA HIMA NIKUPE ANACHOKUNYIMA"
Na huo ndio mwisho wa udondozi wa Magazeti kutoka hapa Ujerumani mjini Booooooonna
umriheri ni mweusi toka Mombasa Kenya na sekioni kitojo ni mbongo alitokea radio Tanzania katikati ya miaka ya tisini enzi za kusikiliza redio kwa mwenyekiti Wa kijiji,kamanda Wa sungusungu au kwa mwalim mkuu
Naweza kukuamini, maana kutoka mpiga picha wa mitaani mpaka kuwa kwenye Top delegation ya Rais!! Kweli kuna watu wanajuwa kuroga mwe!
Anatisha huyu bi mkubwa nashangaa watangazaj wetu wa kibongo wanajifamya wanachanganya ngeli na kiswahili et kisa wamesomea english medium wakat wakina zuhra yunus wa bbc wamekaa miaka zaid ya 20 london na kiswahili chao kimenyooka kama cha tanga
naye mhariri wa gazeti la Frankurt algamain tsaitung anasema kuwa "MAPENZI PESA, UFUNDI PELEKA VETA"
Ile hali mhariri wa Baarin Tsaitung yeye ametanabaisha umma kwa kichwa kikubwa cha habari kinachosomeka "FANYA HIMA NIKUPE ANACHOKUNYIMA"
Na huo ndio mwisho wa udondozi wa Magazeti kutoka hapa Ujerumani mjini Booooooonna
naye mhariri wa gazeti la Frankurt algamain tsaitung anasema kuwa "MAPENZI PESA, UFUNDI PELEKA VETA"
Ile hali mhariri wa Baarin Tsaitung yeye ametanabaisha umma kwa kichwa kikubwa cha habari kinachosomeka "FANYA HIMA NIKUPE ANACHOKUNYIMA"
Na huo ndio mwisho wa udondozi wa Magazeti kutoka hapa Ujerumani mjini Booooooonna