Tanzania tatizo siyo viongozi,tatizo ni sisi wananchi tumelala sana katika maswala mazima ya kuhoji ,wanatuchezea sana hawa jamaa,magufuli alikuwa hapendwi na viongozi wenzake kwa kuwa aliwabana,EE MUNGU NAPIGA GOTI TULETEEE MAGUFULI MWINGINE,PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE AMBAYO NDO YALIKUWA YANAKAMILISHA UBINAADAMU WAKE,LAKINI YULE MTU ALIKUWA ANAJUA, tanzania rais akiwa mpole sana wanamuonea sana hawa watu wa serikalini ,na hela wanazoiba ni za wananchi so mean hawana upendo na sisi,,asante sana rais samia kwa kutamka haya hadharani, natamani ningekuwa na elimu ya kutosha then niwe sehemu fulani,hakika mngenyooka,mi sijali kuuliwa kwani hakuna atakayebaki hapa,na yoote haya ni matakataka ya dunia