Hii haiwezi kumpa bad impact kisiasa kwa wananchi? Kuonekana hachukui hatua kwa tatizo la wazi kama hilo? Mbona kama kajiweka mtegoni?Ndo hilo kabisa, just take time Raisi hata liongelea tena kamati ya public relation isha mpa briefing na kumkumbusha maamuzi yake na ushauri walio wahi kumpa, pale aliongea kwa jaziba tu na hasira ya kutopewa information mapema na ma aide wake. Ila alio weza kufanya dili ya kijinga kama hiyo ni Magufuli tu kwasbb yeye alikua mbabe na arrogant sio Raisi smart kama huyu wa sasa mwenye washauri wenye uzoefu.
Jaribu kusoma replies za Covax .. Situation is different in the groundTanzania tatizo siyo viongozi,tatizo ni sisi wananchi tumelala sana katika maswala mazima ya kuhoji ,wanatuchezea sana hawa jamaa,magufuli alikuwa hapendwi na viongozi wenzake kwa kuwa aliwabana,EE MUNGU NAPIGA GOTI TULETEEE MAGUFULI MWINGINE,PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE AMBAYO NDO YALIKUWA YANAKAMILISHA UBINAADAMU WAKE,LAKINI YULE MTU ALIKUWA ANAJUA, tanzania rais akiwa mpole sana wanamuonea sana hawa watu wa serikalini ,na hela wanazoiba ni za wananchi so mean hawana upendo na sisi,,asante sana rais samia kwa kutamka haya hadharani, natamani ningekuwa na elimu ya kutosha then niwe sehemu fulani,hakika mngenyooka,mi sijali kuuliwa kwani hakuna atakayebaki hapa,na yoote haya ni matakataka ya dunia
Wananchi watanzania sio shida kabisa any body can manipulate them i.e 95% are politically ignorant and carefree.Hii haiwezi kumpa bad impact kisiasa kwa wananchi? Kuonekana hachukui hatua kwa tatizo la wazi kama hilo? Mbona kama kajiweka mtegoni?
Mkuu sio kwamba Raisi Magufuli alikua mbaya, ila ndo aliongoza kwa kufanya ubadilifu hata bila kuficha unakumbuka 1.5tn shilling alio potea akatanjwa na CAG hata alishindwa kujitetea, pesa alio tumia Chato ilikua nje ya bajeti ya serikali Magufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.Tanzania tatizo siyo viongozi,tatizo ni sisi wananchi tumelala sana katika maswala mazima ya kuhoji ,wanatuchezea sana hawa jamaa,magufuli alikuwa hapendwi na viongozi wenzake kwa kuwa aliwabana,EE MUNGU NAPIGA GOTI TULETEEE MAGUFULI MWINGINE,PAMOJA NA MAPUNGUFU YAKE AMBAYO NDO YALIKUWA YANAKAMILISHA UBINAADAMU WAKE,LAKINI YULE MTU ALIKUWA ANAJUA, tanzania rais akiwa mpole sana wanamuonea sana hawa watu wa serikalini ,na hela wanazoiba ni za wananchi so mean hawana upendo na sisi,,asante sana rais samia kwa kutamka haya hadharani, natamani ningekuwa na elimu ya kutosha then niwe sehemu fulani,hakika mngenyooka,mi sijali kuuliwa kwani hakuna atakayebaki hapa,na yoote haya ni matakataka ya dunia
MwinMama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika
1. Mwanasheria mkuu wa serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji mkuu wa serikali
4.Gavana wao BOT
5. Waziri wa ulinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi mkuu wa serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao.. Je mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini
Mwigulu chemba, akaongezea kwenye ununuzi wa mabasi Yake ya Ester.Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika
1. Mwanasheria mkuu wa serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji mkuu wa serikali
4.Gavana wao BOT
5. Waziri wa ulinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi mkuu wa serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao.. Je mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini
Magufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.[emoji2827]Mkuu sio kwamba Raisi magufuli alikua mbaya, ila ndo aliongoza kwa kufanya ubadilifu hata bila kuficha unakumbuka 1.5tn shilling alio potea akatanjwa na CAG hata alishindwa kujitetea, pesa alio tumia Chato ilikua nje ya bajeti ya serikali Magufuli alikua mwizi asio penda kuiba na wenzie.
yale mabehewa yaliyofungiwa kwenye mifuko ya sandurusi.[emoji23]Wapo wenye tenda za kununua vifaa vya serikali.
Kampuni zao hao hao huku juu.
Watakuwa ni wale wale walionunua yale mabehewa yaliyofungiwa kwenye mifuko ya sandurusi.
Wanamchukulia poa sana.Hawezi, mkono wa mstaafu uko hapo.
Narudia tena, hawezi.
Hakuna wa kufukuzwa hata mmoja.
Mama kama angekuwa na uwezo huo hakupaswa kutoka na kutuambia. Tulitakiwa tuone watu ni fired bila sisi kujua kinachoendelea. Ndo uongozi.
Mama aliona Magu hana huruma. Akasahau kuwa hii nchi ina wajanja fulani wanaendesha nchi kama choo binafsi.
Atamkumbuka Magu, na nchi ishamshinda. Watu wanapekenyua hadi kilemba chake.
Lengo la kuuwa upinzani lilikuwa ni hilo , bahati mbaya wananchi waliaminishwa na kuelewa upinzani ni uadui.Haya mambo kipindi cha numa yalikuwa yanafichuliwa na vyama vya upinzani lakini saiv imekuwa tofauti...R.I.P upinzani
Kuna kaka yake mama tuliambiwa yeye ndiye baba wa Mikataba, au bado yupo chini ya uchunguzi?Mama kalalamika kwamba invoice ya mwisho ilikuwa tulipe $37,000,000 lakini ikaja invoice ya $86,000,000 ongezeko la zaidi ya asilimia 100 nje ya mkataba wa awali na mama alipohoji akaambiwa spare zimepanda bei.. Je ni nani wanaruhusu malipo ya serikali yatoke? Hawa wafuatao sahihi zao ndio zinahusika
1. Mwanasheria mkuu wa serikali
2. Waziri wa fedha
3. Mlipaji mkuu wa serikali
4.Gavana wao BOT
5. Waziri wa ulinzi(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
6. CDF(?) Kwa vifaa vya usalama na jeshi
7. Mkaguzi mkuu wa serikali?
8....
9....
Hiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao.. Je mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini
Ni kiu yetu kuona hatua watakazochukuliwa wahusika kama sio kufurushwa wanaweza kuburuzwa hata rumande. Rais ameonesha kuikubali ripoti ya CAG hivyo anaitaji msaada wa kimedani maana inaonesha haya mambo yana mtiririko mrefu sana.Ifike mahali mama aache kulalama badala yake achukue hatua sasa. Yeye ndiyo amiri jeshi mkuu, yeye ndiyo mwenye dola, kamata wote weka ndani huku uchunguzi ukiendelea. Atakayebainika filisi mali rudisha hela serikalini iwe fundisho kwa wengine
Ingefaa sheria ziwe reviewed watu wa aina hiyo wawe wanahukumiwa na jamii iliyoporwa kodi zao kama wanavyofanyiwa wezi wa kuku na mbuziHiyo ndio timu na sidhani kama kuna wengine nje ya hao.. Je mama aliposema kwamba kama huko nyuma walikula hazikuwatosha.. Alimaanisha hawa ama?
Kwa nchi zinazojali utawala wa kisheria katika uhalisia wake nusu ya hao hapo juu kufikia muda huu hawakupaswa kuwepo ofisini
Na wenyewe ndio wanasaka hela ya 2025 general election,kwa chama na wenyewe binafsi. Subiri utaona kama fagio litapita na mtu.Hao wote ulio taja hawana nguvu kuamua kazi yao ni kuweka sahihi tu kuna clique yenye nguvu ndani ya chama yenye maamuzi ya mwisho........ndo wanao panga hela ya ziada itagawanywa je, hilo jambo ni mchakato mrefu sio tukio sema kwa hilo kulikua na miscommunication kati ya Raisi na procurement clique ila itawekwa sawa bila kuvictimize mtu yoyote. Nchi ina wenyewe.