Ni nani waliuza gesi yetu ya Mtwara?!

Ni nani waliuza gesi yetu ya Mtwara?!

Nakumbuka kipindi hicho wabunge wa upinzani wakiongozwa na Tundu Lissu na John Mnyika walipinga kweli kweli kupitishwa kwa ule muswada wa sheria kuhusu hiyo gesi ya Mtwara, kwa kutumia hati ya dharura! Tena usiku wa manane!

Ila cha kushangaza, wabunge wa ccm walikuwa wanagonga tu meza kwa furaha! Na JPM alikuwa ni mmoja ya hao wabunge, na pia Waziri. Wananchi wa Mtwara walipigwa mpaka mabomu!


Matokeo yake ndiyo haya sasa. Gesi ya Mtwara ni mali ya mabeberu.
Hii nchi ina wajinga wengi Sana mkuu walio kuwa wanatetea maslahi ya taifa waliitwa wasaliti na wanatumiwa na madume ya mbuzi uko ulaya wale wapiga meza ndo walijiona wazalendo nambari moja leo kiko wapi na ndo walikuwa wanaimba mapambio ya umeme wa gesi.

Ndo Yale Yale ya bwana Ndugai kushangaa sheria ya tanapa kuhusu mifugo
 
Aliyeuza gas sasa ni mla watu, ana damu mikononi mwake zikimlilia, vile na yeye hataishi milele, lusifa anamsubiri huko jehanam, adhabu yake ni Kali kuliko lusifa mwenyewe,

Kwa jinsi watanzania wanavyokufa Kwa kukosa huduma, hii dhambi haitamuacha salama! Machoni anaonekana ni mwenye tabasamu, lakini moyoni mwake ni machozi ya damu yakimbubujika!

Ni vibaya kusherehekea binadamu afapo, ila nahisi, watanzania wengi waliosababishiwa ulemavu wakati wa vipigo ili bomba lije dar, na watanzania wengi wanaokosa huduma bora, huwenda wasijiuzuie kusherehekea!!

Mungu mwenye Rehema, uirehemu Tanzania!
 
Nakumbuka kipindi hicho wabunge wa upinzani wakiongozwa na Tundu Lissu na John Mnyika walipinga kweli kweli kupitishwa kwa ule muswada wa sheria kuhusu hiyo gesi ya Mtwara, kwa kutumia hati ya dharura! Tena usiku wa manane!

Ila cha kushangaza, wabunge wa ccm walikuwa wanagonga tu meza kwa furaha! Na JPM alikuwa ni mmoja ya hao wabunge, na pia Waziri. Wananchi wa Mtwara walipigwa mpaka mabomu!


Matokeo yake ndiyo haya sasa. Gesi ya Mtwara ni mali ya mabeberu.
Halafu walivyo kenge wanakuja kutupigia kelele hapa na huyo Fala wao MLA michembe WA chato
Eti nchi imeibiwa Sana , wakati wao ndio waliohusika .
CCM ni laana nchi hii
 
Aliyeuza gas sasa ni mla watu, ana damu mikononi mwake zikimlilia, vile na yeye hataishi milele, lusifa anamsubiri huko jehanam, adhabu yake ni Kali kuliko lusifa mwenyewe,

Kwa jinsi watanzania wanavyokufa Kwa kukosa huduma, hii dhambi haitamuacha salama! Machoni anaonekana ni mwenye tabasamu, lakini moyoni mwake ni machozi ya damu yakimbubujika!

Ni vibaya kusherehekea binadamu afapo, ila nahisi, watanzania wengi waliosababishiwa ulemavu wakati wa vipigo ili bomba lije dar, na watanzania wengi wanaokosa huduma bora, huwenda wasijiuzuie kusherehekea!!

Mungu mwenye Rehema, uirehemu Tanzania!
Usisahau bado kuna kimeo cha Richmond, Aggreco, Kagoda, na ishu ya Escrow ambayo kuna watu ambao mpaka sasa wamefichwa majina yao; walibeba mamilioni ya shilingi kutoka benki, kwenye mifuko ya sandarusi!!

Hii nchi ina mchwa wa kutosha sana tu.
 
Vipo vitu Nchi hii ukivifikiria hakika unaona wazi vinaaksi ujinga wetu na kwayo ndiposa Viongozi wetu huwa wanautumia uzwazwa wetu kutupiga.

Mfano hilo la gesi ya Mtwara, kwa mjibu wa Hayati Rais Magufuli Tanzania haina chake kwenye gesi yetu wenyewe na alitueleza bayana wajanja walishatupiga.

Kwa umburula wetu huo huo wala hatukujishughulisha kutaka kufahamu ni nani hasa aliyeiuza gesi yetu!View attachment 2359410
Magufuli ni nani hadi aaminike? Alikupa ushahidi kuwa gesi sio ya Tanzania? Tunafanya mazungumzo na wawekezaji sasaivi kuhusu uwekezaji wa gesi? Kama sio yetu kwa nini wanafanya mazungumzo na sisi?
 
Aliyeuza gas sasa ni mla watu, ana damu mikononi mwake zikimlilia, vile na yeye hataishi milele, lusifa anamsubiri huko jehanam, adhabu yake ni Kali kuliko lusifa mwenyewe,

Kwa jinsi watanzania wanavyokufa Kwa kukosa huduma, hii dhambi haitamuacha salama! Machoni anaonekana ni mwenye tabasamu, lakini moyoni mwake ni machozi ya damu yakimbubujika!

Ni vibaya kusherehekea binadamu afapo, ila nahisi, watanzania wengi waliosababishiwa ulemavu wakati wa vipigo ili bomba lije dar, na watanzania wengi wanaokosa huduma bora, huwenda wasijiuzuie kusherehekea!!

Mungu mwenye Rehema, uirehemu Tanzania!
Aliuza gesi kwa nani na ni nani huyo? tupe ushahidi wako wa gesi kuuzwa
 
Sospeter Muhongo atakuwa nanABCD zake, maana lile dingi lilikomaa kishenzi ndani hatuna uwezo wa kuwekeza.. Refer mwendazake Mengi
 
Mkataba wa CCM unakipengele cha mauziano ya kuinyonya Tanganyika kwa miaka 200 mkataba huo unaanzia 1995-2195
 
Magufuli ni nani hadi aaminike? Alikupa ushahidi kuwa gesi sio ya Tanzania? Tunafanya mazungumzo na wawekezaji sasaivi kuhusu uwekezaji wa gesi? Kama sio yetu kwa nini wanafanya mazungumzo na sisi?
We jamaa bana, mazungumzo sio gasi hiyo .... Ni gasi ya Lindi. Hiyo ya Mtwara hatuna cheti
 
Back
Top Bottom