The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Nimepita kwenye shule mbili za jumuiya ya wazazi CCM hapa mkoani mbeya yaani Meta sc na Sangu SC, ambazo kwa miaka ya nyuma zilisifika na kutukuka kwa kufanya vizuri sana na kuvutia watu wengi ndani na nje ya nchi.
Kilichonisikitisha ni namna shule hizi zilivyotafunwa na uongozi mbovu na kila aina ya uozo ambao umezifanya hizo shule kuporomoka vibaya sana.
Niliongea na baadhi ya waalimu wanalalamika kwamba kila kiongozi anayejaribu kuja kutatua changamoto za shule hizo, anatishwa na kunyamazishwa.
Waalimu na watumishi wengine wa hizo shule Wana madai mengi sana na kusema kweli wamekata tamaa ila cha ajabu ni kwamba hakuna anayethubutu kutatua kero zao!
Kilichonisikitisha ni namna shule hizi zilivyotafunwa na uongozi mbovu na kila aina ya uozo ambao umezifanya hizo shule kuporomoka vibaya sana.
Niliongea na baadhi ya waalimu wanalalamika kwamba kila kiongozi anayejaribu kuja kutatua changamoto za shule hizo, anatishwa na kunyamazishwa.
Waalimu na watumishi wengine wa hizo shule Wana madai mengi sana na kusema kweli wamekata tamaa ila cha ajabu ni kwamba hakuna anayethubutu kutatua kero zao!