Issue visaSA, Canada ' US, na Australia, ila sababu za kupashindwa bongo kama ni uvivu na kushindwa kujilipua bila kujali hatari kwenye hizo nchi nyingne unaweza kuwa homeless kabisa.
Apana sipo South mkuu.Issue visa
Je uko sa kuna issue gan kwa mim nisie na mtaji
Ukiskia sehemu kuna possible ya mishe lazma pafikike tu huwez jua kuwa naweza Dandia hata LoriMtaji hauna utakua na nauli
Fresh kakaApana sipo South mkuu.
Nauli ya zambua haizid lakiMtaji hauna utakua na nauli
Nitoke nikatafalute kazi/kibaruaShida yako ni utoke ama unahitaji kazi?
Nipe code kaka mkoa gani naweza pata kibarua chakuipa mtaji mi kuwaza nimeshindwa mana nikiwaza stopata majib halisiaTanzania ni sehemu sahii, ebu kaa chini jiulize hivi hapa Tz hamna mkoa ambao uko open sana kwenye fursa au vibarua chakunipatia mtaji..
Kuwaza mbali wakati unaweza fanya maamuzi sahii ukiwa hapa hapa Tz ni kujichanganya tu
Songea, kuna hekari zaid 100 ..mwezi huu watu wameanza vuna mpaka mwez wanane mambo yanaisha ..mwezi watisa mashamba washaanza safisha ..hivyo unaweza kaa mpaka mwez wa kwanza ukawa tayari nakamtaji kako maana kazi haziishi mwaka mzima kula kulala juu ya boss hivyo ninguvu NAafya yako nakazi mara nyingi wajisimamiaNipe code kaka mkoa gani naweza pata kibarua chakuipa mtaji mi kuwaza nimeshindwa mana nikiwaza stopata majib halisia
Nipe connection
Kaz za shamba wanalipa bei gan kwa mwez auSongea, kuna hekari zaid 100 ..mwezi huu watu wameanza vuna mpaka mwez wanane mambo yanaisha ..mwezi watisa mashamba washaanza safisha ..hivyo unaweza kaa mpaka mwez wa kwanza ukawa tayari nakamtaji kako maana kazi haziishi mwaka mzima kula kulala juu ya boss hivyo ninguvu NAafya yako nakazi mara nyingi wajisimamia
Huku unakomaa kwaboss unakod hata hekari moja ukalima maharage au viazi
Nipe code kaka mkoa gani naweza pata kibarua chakuipa mtaji mi kuwaza nimeshindwa mana nikiwaza stopata majib halisia
Nipe connection
Yeye anataka zile za town..mambo ya kulima lima hayataki..! 🤣Songea, kuna hekari zaid 100 ..mwezi huu watu wameanza vuna mpaka mwez wanane mambo yanaisha ..mwezi watisa mashamba washaanza safisha ..hivyo unaweza kaa mpaka mwez wa kwanza ukawa tayari nakamtaji kako maana kazi haziishi mwaka mzima kula kulala juu ya boss hivyo ninguvu NAafya yako nakazi mara nyingi wajisimamia
Huku unakomaa kwaboss unakod hata hekari moja ukalima maharage au viazi
Duh wazee wakiti chakuzunguka sio😀😃Yeye anataka zile za town..mambo ya kulima lima hayataki..! 🤣
Msimu wakuvuna kwasiku ni elf 5 mpaka 7Kaz za shamba wanalipa bei gan kwa mwez au
Ili nipate na ela ya kukod shamba nakugharamikia mbegu na mbolea na ela ya mm kuniwezsha kuishi
Kwenye mahindi hakuna Hela sana mwambie aanzie mbeya ubaruka kama ana nguvu Kisha ndo aende songea then akitoka songea arudi njombe au mafingaSongea, kuna hekari zaid 100 ..mwezi huu watu wameanza vuna mpaka mwez wanane mambo yanaisha ..mwezi watisa mashamba washaanza safisha ..hivyo unaweza kaa mpaka mwez wa kwanza ukawa tayari nakamtaji kako maana kazi haziishi mwaka mzima kula kulala juu ya boss hivyo ninguvu NAafya yako nakazi mara nyingi wajisimamia
Huku unakomaa kwaboss unakod hata hekari moja ukalima maharage au viazi