Habari za majukumu wakuu,
Najua ngumu watu kukupa njia ya mafinikio ila najua wapo wanaoweza kunipa.
Nimejaribu kutafuta uzi wa kwenda nchi jirani kusaka vibarua ila naona wengi waliuliza tu namna yakufanya biashara uko kumaanisha kuwa wako vizur kiuchumi.
Mi niko tofauti sina changu nilichonacho kwenye nchi hii hadi mifukoni mwangu.
Msaada sasa ni nchi gani naweza enda saka kibarua chochote nikishapata mtaji ndo niwaze ya biashara.
NB. Ntajibu comments zote hata zile mbaya
Najua ngumu watu kukupa njia ya mafinikio ila najua wapo wanaoweza kunipa.
Nimejaribu kutafuta uzi wa kwenda nchi jirani kusaka vibarua ila naona wengi waliuliza tu namna yakufanya biashara uko kumaanisha kuwa wako vizur kiuchumi.
Mi niko tofauti sina changu nilichonacho kwenye nchi hii hadi mifukoni mwangu.
Msaada sasa ni nchi gani naweza enda saka kibarua chochote nikishapata mtaji ndo niwaze ya biashara.
NB. Ntajibu comments zote hata zile mbaya