Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Wakiitwa wanaume na wewe utaenda? Sikuweza kujibu. Nilipata ganzi hivi.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
"Hivi huoni wanaume wengine huko....au Mwanaume ni mimi peke yangu"

Siku niliyomuacha ndio alishangaa kujua ka mwanaume ni yeye tu ama kuna wengine

Inabid kuwa makin na kauli zetu! Unaweza muona mwanamke ni mpuuzi kwa sababu ya upendo wake kwako...akija kuamua yake utajuta
 
Sitasahau nilikutana na mdada wa haja mwanza,kaumbwa kaumbika, nikapiga story mambo yakawa mambo Kule mza hatukudu tukapanga aje dar, mwanaume nikamkatia tiketi ya ndege kwenda na kurudi, siku ya siku katia timu dar nikampokea kwa mbwembwe na wapambe kibao,hotel ya hadhi tukaingia,baada ya mambo ya hapa na pale ikafika muda muafaka, dah!eti naambiwa fanya haraka nilale katulia tuli kama gogo nilishindwa kuendelea nikabaki kujutia gharama zangu.

Akawa anasoma na gazeti huku una do.......hahaaaaa iyo n Kali kuliko zote
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Thanks for ur compan to take care of me..then do ikawa tumeachana...its more than pain
 
Unajarb kukimbiza upepo niache huru na ufanye yako.. Daah niliona kama kuanguk hv
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuna siku nilienda kumtembelea gal wangu...nikamkuta na rafk zake mara rafk yake mmoja akasema "kashafika bwana wako wa bei rahisi" afu gal wangu akacheka iliniuma sana

Ingekuwa mimi yani huyo pambaff angekula vibao sawasawa
 
Tunaambiwa mengi na tuwapendao ila lipo neno moja ambalo limewahi kugusa moyo kiasi kwamba si rahisi kusahau!
TIRIRIKENI
Asilimia kubwa ya watu waliocomment ni maneno yenye kuumiza, ni muhimu sana kuwa na maneno ya kujenga kuliko kubomoa, mtu anaweza sahau matendo ila maneno yakuumiza ni kama echo "mwangi" kila ukikumbuka unaisikia ile sauti nyuma. Unaweza achia neno bila kufikiri ila kulifuta kwenye akili ya yule uliyemwambia si kitu kirahisi.

Kama mwenzako ana tabia au kitu kinachorekebishika basi muelekeze kwa hekima kama ni tumbo au uzito haupendi kuna njia ya kumwambia bila kumuumiza hata kumlipia tu gym membership hiyo msg itakuwa delivered clear bila kuumizana. Kama ni kitu kisichorekebishika basi kivumilie kama hauwezi kuvumilia ondoka kimya, maana hata ukisema hakirekebishiki unaishia kumuumiza mtu.

Kuna nguvu kubwa sana katika maneno hata ukifa leo maneno yako yanaendelea kuishi kwa wale unaowaambia, jipange kuacha maneno ya kujenga na sio kubomoa. Maneno yako yana umri mrefu kuliko wewe.
 
"Nilipanga kukufanyia kitu ambacho usingesahau hadi unakwenda kaburini"
Hakujua uzito wa kauli yake, na matunda ya kauli yake hadi Leo anajutia.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
dah mi nliambiwa simridhishi kitandani dah iliniuma sana
 
  • Thanks
Reactions: SDG
You are not the only fish in the lake!!!!
 
Cna uwezo wa kukusalit bamed ni malaya baada ya mda nkagundua kampa mimba bamed
 
Wewe ni mmbaya, mburura huna shepu ninayoitaka, upo km ubao, hutaweza kuzaa, so nimempata kwenye nyonga na ambae mwili wake umegawanyika.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Niliambiwa "ukithubutu kuitoa mimba yangu nitakuua kwa mikono yangu mwenyewe".... Too bad our baby died
 
Back
Top Bottom