Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
Kama mnavyoona wale walianzisha mahakama ya icc wameanza wenyewe kwa wenyewe kuhusu swala la netanyau kukamatwa na hawa wote ni Nato.
Ziko nchi tayali wameshaweka
Msimamo wao juu ya netanyau kumkamata kwa warrant ya icc kama norway,german,spain,france etc.
Lakini kwa jicho. Mbali ukiangalia hapa anaetafutwa ni marekani na mpka sasa chini ya kapeti tiyali kuna mgawanyiko miongoni mwa wanachama wa umoja huo Na mpka sasa Vikao haviishi kuna makundi wanamuunga marekani wengine hawanmuungi mkono na tetesi chini kwa chini kuna mkono wa putin kuhusu huu. Mgawanyiko
Ziko nchi tayali wameshaweka
Msimamo wao juu ya netanyau kumkamata kwa warrant ya icc kama norway,german,spain,france etc.
Lakini kwa jicho. Mbali ukiangalia hapa anaetafutwa ni marekani na mpka sasa chini ya kapeti tiyali kuna mgawanyiko miongoni mwa wanachama wa umoja huo Na mpka sasa Vikao haviishi kuna makundi wanamuunga marekani wengine hawanmuungi mkono na tetesi chini kwa chini kuna mkono wa putin kuhusu huu. Mgawanyiko