Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Sensa safii, natumai baadhi yetu tumeshatembelewa na makarani wa sensa kwa ajili ya kuchukua details zetu na wengine tumeshiriki nao chakula cha mchana.

Twende kwenye mada husika kizazi changu hiki ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele, unamtongoza mdada kwa nia nzuri kabisa ya kumfanya awe mke/mamayeyo wako wa badaye ila ghafla bin vuu anaanza kukupiga vizinga visivyoeleweka na unapata mdada anakazi yake nzuri tu na mshahara kakuzidi kwa gepu kubwa tu.

Unajiuliza maswali huu ni uchumba/urafiki tu nikiweka ndani huyu si ndio mpaka chumvi ya mia tano ikiisha ntasubiriwa hata kama ni saa nne usiku nije nitoe hela ya kununua mnaweza mkalala njaa kisa chumvi ya Shs 500 eti anakusubiri.

Sikatai kusaidiana kupo ila sio msaada unakua wa upande mmoja tu chake ni chake ila cha mwanaume nicha wote, wanashangaza sana, unajiuliza kanipenda mimi au kapenda pesa si bora angeniambia sikutaki tu.

Badilikeni wanaume nao wanamatumizi ya hizo pesa sio kwba wamekosa nazo kazi.
 
Sensa safii, natumai baadhi yetu tumeshatembelewa na makarani wa sensa kwa ajili ya kuchukua details zetu na wengine tumeshiriki nao chakula cha mchana.
Nikiwa sina pesa mwili wangu umeshakua automatic hata hauwazi mwanamke, hata mke wangu wanyumbani wala simsemeshi, najua litakalo tokea ....kama huna pesa mambo ya kuoa kwasasa achana nako labda kama watafuta stress
 
Ila mtoa mada,
Ujue Kuna wanawake wanajali muda,
Hawapendi ishu za kupotezeana muda.

1. Hajakupenda, hajakuelewa, unamng'ang'ania Kama luba
Atakupiga vizinga mfulurizo ili ukate tamaa, ukung'ute makalio yako, uuchape mwendo.

2. Anajua wee Ni kiwembe,
Hauko serious na suala Zima la kumuoa
Umemtamani TU umle utelezi wake uondoke zako.

Yanini Sasa kuliwa burebure,
Lazima akunyonyoe kidg ili hata ukimla ukamuacha awe keshasuuuza nafs yake kwa vizinga ulivyogharamia.

NB: sijamaanisha nawatetea wadangaji[emoji4]
 
Kuna anayeomba na Kuna omba omba lazima ujue kutofautisha, anayeomba maana yake ameshindwa na anahitaji msaada Kwa wakati huo,anayeomba omba ndio tatizo mara vocha, mara gauni limeisha mara sijui mjomba kafanyaje huyo kaa naye mbali, na hao omba omba huwa wanapata pressure kutoka Kwa marafiki hata familia zao hasa wamama
 
Ladha ya upendo na mapenzi inapungua sana, sababu ya mahusiano kuendekeza sana pesa.

Kabisa kaka linakua kama gari bila mafuta haliendi,unajiuliza kabla yangu haya matatizo alikua anamweleza nani anapata amekua akiishi nyumba ya kupanga almost a year kodi alikua analipa mwenyewe ila baada tu kujuana anaingiza na vizinga vya kodi.
 
Kuna anayeomba na Kuna omba omba lazima ujue kutofautisha, anayeomba maana yake ameshindwa na anahitaji msaada Kwa wakati huo,anayeomba omba ndio tatizo mara vocha, mara gauni limeisha mara sijui mjomba kafanyaje huyo kaa naye mbali, na hao omba omba huwa wanapata pressure kutoka Kwa marafiki hata familia zao hasa wamama

Nazungumia hawa omba omba wanajifanya kama special group mbovu unakuta mshahara anakuzunguka hata mara 2 ila bado tu ana omba omba pesa zako wewe mwamba umevaa kiatu mpaka kimepinda yeye anaviatu pesa 14 na bado anakuomba mpunga wa kunununa viatu
 
Ila mtoa mada,
Ujue Kuna wanawake wanajali muda,
Hawapendi ishu za kupotezeana muda.

1. Hajakupenda, hajakuelewa, unamng'ang'ania Kama luba
Atakupiga vizinga mfulurizo ili ukate tamaa, ukung'ute makalio yako, uuchape mwendo.

2. Anajua wee Ni kiwembe,
Hauko serious na suala Zima la kumuoa
Umemtamani TU umle utelezi wake uondoke zako.

Yanini Sasa kuliwa burebure,
Lazima akunyonyoe kidg ili hata ukimla ukamuacha awe keshasuuuza nafs yake kwa vizinga ulivyogharamia.

NB: sijamaanisha nawatetea wadangaji[emoji4]

Una future naye kabisa Kiongozi hawajui wanaume wako na Checklist yao na kuna vipengele vingine ukikose tu unakula Discontinue
 
Back
Top Bottom