Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Ni ngumu sana kumpata mchumba/mpenzi asiyetanguliza pesa mbele kizazi hiki

Nikiwa sina pesa mwili wangu umeshakua automatic hata hauwazi mwanamke, hata mke wangu wanyumbani wala simsemeshi, najua litakalo tokea ....kama huna pesa mambo ya kuoa kwasasa achana nako labda kama watafuta stress
mmewangu akiwa hana pesa hata mashine inafanya kazi kwa taabu,huwa nawashangaa watu et yaani hapa nimembebesha mtoto wa watu mimba sina hata hela ya kula,what?huna hela hamu ya mapenzi inatoka wapi?
 
Shida siyo wanawake shida ni wewe unachagua maslay Quenn. Lazima mpunga ukutoke na miamala isome.
na hapo ndo wanapokosea,we unakuta mtu maisha anayoishi yanazidi uwezo wake sasa bila vizinga ataishije,imagine serum tu 80 hujaweka nguo,hali wali maharage haogi sabuni ya jamaa,anakaa nyumba ya 200k per month na mengine alafu kipato ni 500k unafikiria nini?
 
na hapo ndo wanapokosea,we unakuta mtu maisha anayoishi yanazidi uwezo wake sasa bila vizinga ataishije,imagine serum tu 80 hujaweka nguo,hali wali maharage haogi sabuni ya jamaa,anakaa nyumba ya 200k per month na mengine alafu kipato ni 500k unafikiria nini?
Ndio inabd atongoze mwanamke wa type yake hao wapaka serum kuna wanaume wanaoweza kuwahimili muwaache
 
Kuna demu mmoja mzuri hivi anapenda kuvaa mavazi ya kujisitiri, shape anayo ila si wa kuvaa zile nguo za kubana yeye,vitenge u sketi zile za kuachia kuna mwanagu mmoja Engineer yupo vizuri ila ni mtu ambaye yupo simple sana kimwonekano hata kimavazi ila financial yupo vizuri.

Basi si kamtokea yule binti, binti akampa namba ya simu ,kumpigia simu hata dk tano za kutambuana hazijaisha anasema ana shida ya 40000,nywele chafu, bundle limeisha na simu kioo kimepasuka.

Jamaa akapiga chini, basi yule demu akawa anamponda mwana ,ila siku anakuja kupata file la mwana alijiona bonge fala sana bada ya kujua status ya mwana.

Ficheni tamaa zenu hizo mwanzoni, mnawapoteza watu wa maana sababu ya tamaa zenu, mwana si kwamba alikuwa anashindwa kumpa hiyo hela ila kwake yy alimuona kama malaya na jamaa mwenyewe mstaarabu yule demu sasa hivi angekuwa anakula mema ya nchi.

Halafu unaweza ukakuta anapewa mimba na fala mmoja tu kisa ana gari,tena gari lenyewe la kuazima au mwana mjanja mjanja ,msanii au walamba lips wanao shinda kwenye Gym halafu hawana time na hiyo mimba.
 
Kuna demu mmoja mzuri hivi anapenda kuvaa mavazi ya kujisitiri, shape anayo ila si wa kuvaa zile nguo za kubana yeye,vitenge u sketi zile za kuachia kuna mwanagu mmoja Engineer yupo vizuri ila ni mtu ambaye yupo simple sana kimwonekano hata kimavazi ila financial yupo vizuri.

Basi si kamtokea yule binti, binti akampa namba ya simu ,kumpigia simu hata dk tano za kutambuana hazijaisha anasema ana shida ya 40000,nywele chafu, bundle limeisha na simu kioo kimepasuka.

Jamaa akapiga chini, basi yule demu akawa anamponda mwana ,ila siku anakuja kupata file la mwana alijiona bonge fala sana bada ya kujua status ya mwana.

Ficheni tamaa zenu hizo mwanzoni, mnawapoteza watu wa maana sababu ya tamaa zenu, mwana si kwamba alikuwa anashindwa kumpa hiyo hela ila kwake yy alimuona kama malaya na jamaa mwenyewe mstaarabu yule demu sasa hivi angekuwa anakula mema ya nchi.

Halafu unaweza ukakuta anapewa mimba na fala mmoja tu kisa ana gari,tena gari lenyewe la kuazima au mwana mjanja mjanja ,msanii.

POINTI
 
Kuna demu mmoja mzuri hivi anapenda kuvaa mavazi ya kujisitiri, shape anayo ila si wa kuvaa zile nguo za kubana yeye,vitenge u sketi zile za kuachia kuna mwanagu mmoja Engineer yupo vizuri ila ni mtu ambaye yupo simple sana kimwonekano hata kimavazi ila financial yupo vizuri.

Basi si kamtokea yule binti, binti akampa namba ya simu ,kumpigia simu hata dk tano za kutambuana hazijaisha anasema ana shida ya 40000,nywele chafu, bundle limeisha na simu kioo kimepasuka.

Jamaa akapiga chini, basi yule demu akawa anamponda mwana ,ila siku anakuja kupata file la mwana alijiona bonge fala sana bada ya kujua status ya mwana.

Ficheni tamaa zenu hizo mwanzoni, mnawapoteza watu wa maana sababu ya tamaa zenu, mwana si kwamba alikuwa anashindwa kumpa hiyo hela ila kwake yy alimuona kama malaya na jamaa mwenyewe mstaarabu yule demu sasa hivi angekuwa anakula mema ya nchi.

Halafu unaweza ukakuta anapewa mimba na fala mmoja tu kisa ana gari,tena gari lenyewe la kuazima au mwana mjanja mjanja ,msanii.

Wanakataa wachumba wa kweli wanawehuka na mambo madogo tu kesho na keshokutwa ana ujauzito wa mwana ndio anafahamu mwana ni baba wa watoto 3 na kaoa anaanza kujuta wakati alikataa pepo akakimbilia shimo la moto
 
tena bora awe Mume unaweza mvumilia kidogo ila hivi viboyfriend kama hakina hela kiende tu.

Uchumba si unaanzia kwenye Uboyfriend siku hizi wengi wenu mnaharibu kwenye hatua za awali kabisa.
Tamaa zimewazidi sana hakuna mapenzi badala yake mnaangalia pale ntafaidika vipi
 
Nikiwa sina pesa mwili wangu umeshakua automatic hata hauwazi mwanamke, hata mke wangu wanyumbani wala simsemeshi, najua litakalo tokea ....kama huna pesa mambo ya kuoa kwasasa achana nako labda kama watafuta stress
Ukweli kabisa....hela hamna tulia tuu kwenye chama cha chaputa
 
Back
Top Bottom