Ni ngumu sana kumpata Mwanamke kama Tulia Ackson. Ana uwezo mkubwa, anafaa kuwa Rais

Exactly. Yaani Mimi kwa hapa kwetu mtu akishakuwa na madaraka, hasa yanayopatikana kwa kusimamia hila, inakuwa ngumu kuona uwezo wake halisi.
 
Rippti ya CAG ndo kipimo chake kama Spika, je amekiweza?
 
Machadomo watabisha watakuita wewe chawa.

Mwisho Mbeya haiwezi kumpoteza mtu kama Dk.Tulia eti at the expenses of Sugu 😂😂
 
Mwisho, Dk.Tulia ni mwanasheria kitaaluma. Je, ametumia wanasheria wake kwa manufaa ya watawala, au kwa manufaa ya wanyonge? Je, Dk.Tulia ni mwanasheria mtafuta ngawira na vyeo, au mwanasheria mtetezi wa haki?
Ni mtetezi wa haki!
P
 
Shida ninayoona anayo, ni kuna muda anafanyaga mambo kukomoa yani ni kwamba utafanya nini sasa nimefanya.
Hana tofauti sana na ndungai.
Yani kama hakupendi basi atakukomoa hata kama anajua anachofanya si sahihi.

..uwezo wa kielimu anao, na ndio maana akafaulu vizuri na kufikia ngazi ya PhD.

..tatizo linakuja ktk jinsi watawala walivyomtumia, na jinsi Dk.Tulia alivyowatumikia mabosi wake.
 
..uwezo wa kielimu anao, na ndio maana akafaulu vizuri na kufikia ngazi ya PhD.

..tatizo linakuja kwa jinsi watawala walivyomtumia, na jinsi Dk.Tulia alivyowatumikia mabosi wake.
Basi anaweza kutumiwa na mafisadi na walowezi, na madonors maana kumbe ana udhaifu wa kutumika.
 
🤣🤣kwahiyo kizmkaz Hana uwezo?
Haupigi mwingi tena?
Usimwaribie shangazi yangu msomi,mwenye udaktare wake wa kukaa darasani,sio kupewa bure India,huku ulitaga form foo🤣🤣🤣
 
Nafasi ya Urais imemzidi uwezo.
Kwa Urais ninaoujua mimi hata wengi walikuwa tu MaRais kwasababu ndio hivyo tuko Tanzania.

Hili neno Rais huku kwetu inabidi tulipe jina lingine ili tusisharibu maana na kuwadhallilisha watu kama akina Putin, Stalin, Churchill, Truman, Roosevart, Bush, nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…