Ni ngumu sana mtuhumiwa kujinyonga mahabusu au gerezani

Ni ngumu sana mtuhumiwa kujinyonga mahabusu au gerezani

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Poleni na majukumu naomba nigusie machache kuhusu hili tukio la mtuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara wa madini kudaiwa kujinyonga akiwa mahabusu.

Mahabusu ni chumba au jengo kama bweni ambalo mara nyingi linakua na madirisha mawili kwa juu na mlango mmoja wa chuma mengine mbao kwa juu paaa linakua umbali ambao si rahisi mtu kuufikia na ni vigumu kupanda juu ya paa(darini)

Mahabusu nyingi huwa zimejaa watuhumiwa na pilika pilika yeyote inapotokea mahabusu humwambia kiongozi wao au mtuliza vurugu ambaye muda mwingu hua na filimbi kupuliza pale vurugu zinapotokea .

Nguo za kufanyia usafi(madekio) haya hukaa mlangon kwa nje na mengi ni makuukuu zinaweza vp kumnyonga mtu had kufa?

Unafunga vp hili dekio wapi juu ya paa? Unapanda vp? Je hili dekio halitanyofoka kutokana na uzito wa mtu?

Bado napata ukakasi sana kwenye hii taarifa tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini huenda!
 
Haha Bongo bhana! Mara nyingi 'wanajinyonyonga' ni mashahidi muhimu.
Sijui kwa nini mtu akiiba mbinu Bongo movie anashtukiwa chap
 
Kwa Tanzania lolote linawezekana.

Kama imewezekana Luteni wa Jeshi (Luteni Wa MaKomandoo) kushawishi kwa kuwadanganya, kuwaandaa na kuwafadhili kwa pesa zake za mfukoni vijana waliokua chini yake jeshini ili wakafanye vitendo vya ugaidi bila wao kujua (Kawaambia wanaenda kufanya kazi ya VIP Protection kumbe moyoni anataka wakafanye ugaidi) halafu yupo huru na anatumika kama shahidi mchongo wa Jamhuri mahakamani kuwafunga hao hao aliowaandaa bila ya wao kujua.

Kama imewezekana Mwenyekiti Wa Usalama Wa Wilaya (DC Sabaaya) kutumia cheo chake kufanya matendo ya uhalifu kwa kutumia silaha za moto kufanya ujambazi katika wilaya yake, kuwa tapeli wananchi wake, kuwapiga, kutakatisha fedha.

Kipi kinashindikana?
 
Poleni na majukumu naomba nigusie machache kuhusu hili tukio la mtuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara wa madini kudaiwa kujinyonga akiwa mahabusu.
Mahabusu ni chumba au jengo kama bweni ambalo mara nyingi linakua na madirisha mawili kwa juu na mlango mmoja wa chuma mengine mbao kwa juu paaa linakua umbali ambao si rahisi mtu kuufikia na ni vigumu kupanda juu ya paa(darini)

Mahabusu nyingi huwa zimejaa watuhumiwa na pilika pilika yeyote inapotokea mahabusu humwambia kiongozi wao au mtuliza vurugu ambaye muda mwingu hua na filimbi kupuliza pale vurugu zinapotokea .

Nguo za kufanyia usafi(madekio) haya hukaa mlangon kwa nje na mengi ni makuukuu zinaweza vp kumnyonga mtu had kufa?
Unafunga vp hili dekio wapi juu ya paa? Unapanda vp? Je hili dekio halitanyofoka kutokana na uzito wa mtu?

Bado napata ukakasi sana kwenye hii taarifa tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini huenda!

Shakaa maabusu, ningetaka kujinyonga ningeweza bila shida!
 
Shakaa maabusu, ningetaka kujinyonga ningeweza bila shida!
Mahabusu ya wapi? One Ile roof si hua ni concrete, two utajitundikaje mpaka kukata moyo mule jamani cause papo congested/populated sana wazia taharuki utakayosababisha. In the same vein sidhani kama inawezekana kuua mtu mule bila kustukiwa... ni lazima watu watanote labda waamue tu to mind their godamn business/be silenced
 
Mahabusu ya wapi? One Ile roof si hua ni concrete, two utajitundikaje mpaka kukata moyo mule jamani cause papo congested/populated sana wazia taharuki utakayosababisha. In the same vein sidhani kama inawezekana kuua mtu mule bila kustukiwa... ni lazima watu watanote labda waamue tu to mind their godamn business/be silenced
Usimkatalie.Watu wengi wakiwa mahabusu hata mawazo yao huwa ya kuchekesha sana.Kuna wengine huwaza hata kushika yale makufuli wayavunje kwa mikono.Si vituko hivyo?
 
Mahabusu ya wapi? One Ile roof si hua ni concrete, two utajitundikaje mpaka kukata moyo mule jamani cause papo congested/populated sana wazia taharuki utakayosababisha. In the same vein sidhani kama inawezekana kuua mtu mule bila kustukiwa... ni lazima watu watanote labda waamue tu to mind their godamn business/be silenced

Hivi umeingia mahabusu zote Tanzania? Kuna maabusu waweza Kuwa peke yako for a week
 
Polisi,polisi,polisi tafadhalini!Mtengenezapo vipande vya filamu,muwe mnamkodi hata bwana Clint Eastwood!😝😝😝😝
Tuco ni baaad ass sana. Ilikua amuue vibaya sana Clint Eastwood pale jangwani... can you imagine Amigo jinsi hilo fala lilivyoandaa mwisho wa jamaa? Alipitia hell in the world... slow, so troubled end... nilimhurumia sana ila ndo kwanza lijamaa linaenjoy every sec he suffers linanawa miguu maji jamaa anataka kunywa ivyo ivyo linamsogezea kwa mguu alafu akiyakaribia tu linayabutua hahaha UGLY KABISA!!!😂🤣😅
 
Poleni na majukumu naomba nigusie machache kuhusu hili tukio la mtuhumiwa wa mauaji ya mfanyabiashara wa madini kudaiwa kujinyonga akiwa mahabusu.
Mahabusu ni chumba au jengo kama bweni ambalo mara nyingi linakua na madirisha mawili kwa juu na mlango mmoja wa chuma mengine mbao kwa juu paaa linakua umbali ambao si rahisi mtu kuufikia na ni vigumu kupanda juu ya paa(darini)

Mahabusu nyingi huwa zimejaa watuhumiwa na pilika pilika yeyote inapotokea mahabusu humwambia kiongozi wao au mtuliza vurugu ambaye muda mwingu hua na filimbi kupuliza pale vurugu zinapotokea .

Nguo za kufanyia usafi(madekio) haya hukaa mlangon kwa nje na mengi ni makuukuu zinaweza vp kumnyonga mtu had kufa?
Unafunga vp hili dekio wapi juu ya paa? Unapanda vp? Je hili dekio halitanyofoka kutokana na uzito wa mtu?

Bado napata ukakasi sana kwenye hii taarifa tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini huenda!
Kama mahabusu mtuhumiwa haruhusiwi kuingia na mkanda, kamba ya kiatu, tai etc, je hilo dekio kaka Afande alilipata wapi je alipewa na nani?
 
Back
Top Bottom