Ni ngumu sana mtuhumiwa kujinyonga mahabusu au gerezani

 
ninazo taarifa toka kwa wadani wangu, iko hivi, huyu ambae (kajinyonga) ndie alikuwa na usahidi wa tukio zima la ile mauaji, na kaa angepelekwa mahakamani kila kitu, au ukweli mzima ungejulikana, sasa wakubwa pale wakaona isiwe tatizo, kauawa kwa njia ile sijaitaja hapa, na habari ikiwa kanjiyonga, jiulizeni bona postmortem yake hata hakuna jamaa wa familia aliruhusiwa kuwako, je mbona haraka haraka kapelekwa kwao kwa ajili ya mazishi??ß huyu afane baba yake alikuwa pia police, ukweli aliuawa, ndio ushahidi upotee, case closed, police tz ni wanyama wa ajabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…