Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Hahahha... nataka kujua matokeo yako yalikuaje? Aliyekuchagua alikuweza?

Huwezi amini, hakuna aliyejitokeza kunichagua tangu mwanzo hivyo nilikuwa naangalia wanavyopambana kumaliza mbio huku mie nikijaribu kuzuia mbavu zangu zisivunjike nikiwa nagaragara mchangani.

After all kipindi hicho nilikuwa mithili ya binti wa kisomali aka easy to carry...

It was funny for real.
 
kitu kikubwa mwanaume anachokiangalia kwny kusaka mke sio heshima na utiifu peke yake , Maana hizo Sifa hata Malaya ukimpa pesa atakuheshimu na kukutii, , MWANAUME anaangalia mwanamke ataweza kuitengeneza future yake, mwanamke atakaekua msaada wa kukamilisha ndoto zake ...na ndio maana halisi ya mwanamke kuwa msaidizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye mwenyewe hadi aamue kukupa hiyo heshima.....sababu zinatofautiana na mtu na mtu. Kama hataki kukuoa hata uwe wife material kivipi hakuoi ng'o. Kwenye suala la kuoa mwanaume ndio mwenye maamuzi.


Ila sasa mtu asikae kusubiri maamuzi ya mwanaume maana anaweza akaamua asikuchague wewe ukawa umepoteza vingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuoa kwa mwanaume ni swala mtambuka,, mambo anayofikiria ni mengi sana
 
Mpende mama yake mzazi au wadogo zake na pia Kama unawifi wapende pia halafu ulete mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho na unaweza wapenda wote hao na ukatoswa vile vile, mfano hujanioa huko kwenu nitaenda vipi kila siku mpaka wanijue kabisa au ndiyo ndoa za siku hizi? Hakuna wanafiki kama ndugu wa mme

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala si uongo wapo ambao hujipeleka mpaka ukweni ,lakini ng'oo hakuna kitu ndoa unaisikia tu Mwaitege

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu kama
1, Mwenye hofu na Upendo Kwa Mungu
2,kujitambua yeye nani(kutambua majukumu yake)
3, Heshima na utiii na upole, utulivu
4,Mchapa kazi, Mwanamke aliye Bise
5, Upendo kwangu

Hapo lazima ataniweza sitoweza toka hapo kiraisi no matter ni mrefu au mfupi ila asiwe mnene kupita kiasi,bora awe ( portable)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…