Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Unawaza kuzaa, kufanya yote na bado uachwe kwenye mataa Ila akaja mwingine sumaku za malove, bond, and chemistry ikafanya wakaoana, always ili life mtu akikutana na kitu alichokipenda na alicho wish basi wanaishi Hadi uzeeni, ndo Mana Mimi hushangaa wanawake wenzangu mnaijichosha ili kufuraisha mtu Mara mzae mvumilie mateso madai mpate ndoa, kumbe mwenzako hajafika akikutana na ile kitu anayotaka ndoa ghafla bin vuu. Unabaki kulaani kumbe ulikuwa wa force kiatu kisicho size yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teka hisia zake zote,na msome mwenzako ujue yeye anapenda nini...pia mpe mazingira ya kukuona wewe ni mtu unayelenga mbali hasa maendeleo yenu kwa ujumla; kiuchumi n.k
 
Wakuu kwema!!

Moja kwa moja kwenye mada....

Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?

Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?

Karibuni kwa ushauri

am better here
Hainaga formula ni bahati tu.
 
Watakuwa na furaha tu and they don't fake kujuana mda mfupi au mrefu doesn't guarantee long relationship

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili la msingi pia usifake tabia kuwa wewe Kama wewe . Mwanaume ajue ana mwanamke wa aina gani na mwenye tabia zipi hata akifanya maamuzi ya ndoa anajua kasoro zako na uzuri wako
 
Wanaume wana tamaa sana ya kuwa na wanawake tofauti tofauti ndio maana utamkuta mwanaume ana mwanamke mzuuuli lkn anatoka na mwanamke mbaya,kuna sababu nyingii saana ambazo humfanya mwanamme kubadili gia angani,kujituma ktk tendo , tabia njema, mavazi anayopenda mwanaume mpenzi wake avae,mchango wa mawazo ktk maisha biashara na kazi na matumizi ya pesa, kwa ukiangalia kwa haraa ww unaweza ukawa mrembo umejitoa kwa mwanaume kumridhisha lkn je ? Upoje katika matuzi ya pesa kama wa kujirusha na mwanaume hayupo huko mtashindwana,


Kuwa mrembo na kufanya ngono sio kigezo cha kuolewa maana mwanaume anaweza kukutumia ucku mmoja na asubui akakuacha,anaweza akakuowa lkn tabia yako ndio itakufanya uishi muda gan ndani ya ndoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hyo kufake ni mbaya kwa jinsia zote sio wa fake ili uolewe then ukifika ndani ni mbwa nwitu, Bora uwe real mjuane kabisa Hadi unaingia ushajiandaa na umekubali mapungufu ya mwenzako
Hili la msingi pia usifake tabia kuwa wewe Kama wewe . Mwanaume ajue ana mwanamke wa aina gani na mwenye tabia zipi hata akifanya maamuzi ya ndoa anajua kasoro zako na uzuri wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwema!!

Moja kwa moja kwenye mada....

Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?

Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?

Karibuni kwa ushauri

am better here
Pole sana, Shida nipale unapojaribu kufit mahali ambapo sio pako.


Kitu kama sio chako, utazaaa sana , utampa mpaka Tgo , utamlamba weee...... utabadilika Kumfaa, utafanyaaa nn sijui ..lkn Holaaaa


HATOKAA KUA WAKO......Ndoa nisuala linalokuja lenyewe


Kunywa maji, relax, kilicho chako nichako tu wala hakiitaji sababu ya kukifanya kiwe chako.
 
Maisha yanakuwepo..Nina watu nawafahamu ..mkaka alikaa na mwanamke for 6years akaja muoa aliyekutana nae miezi minne..na wana watoto watatu Sasa .sijui ndani wanaishi vipi ila nje wako na furaha kinyama na mdada anamimba ya nne sasa.

Ukiishi kwenye uchumba [say six years] halafu ikabuma, usinambie utaanza upya sehemu nyingine na uishi miaka mingi.... utaamua tu liwalo na liwe ili usipoteze muda kama awali.
 
Back
Top Bottom