Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Msifosi ndoa wala kuonyesha uchu na ndoa. Maswali ya una malengo gani na mimi kila uchwao mara twende kwa ndugu zangu wakujue, kama hajakitambulisha kwa ndugu zake na hamjawa ktk mahusiano zaidi ya mwaka, usifosi, kuomba omba hela kila uchao na kuwa na marafiki mnaowaita just friends wa kiume vitakusubirisha sana kuolewa.

Mwanaume akikuona unafaa kuoa bila kumlazimisha utaona dalili. Waweza muuliza mara chache mipango yake nawe ila isiwe kama ndio swali la kila wiki.

Jaribu kuwa na mawazo mazuri ya kumshauri kujijenga na pia uwe kama rafiki yake ambaye ni mkweli. Usifeki!

Pia kujifanya kidume kwa kujifanya una kisauti mbele yake itakugharim, mheshimu ila kuwa mkweli na tambua kuwa yeye ndiye mwanaume. Kuwa mwanamke wa kiafrika, usikifanye eti ooooh sijui usawa nk...
Ila kuwa smart pia.
 
Dada,

Hapa utapewa kila jibu sijui utii, heshima, uaminifu and all. Si kwamba ni vya uongo ila naamini na wewe unajua kuwa unaweza ukawa na hivi vyote na usiolewe vile vile.

Jibu ni hili:

WANAUME HUOA WAKATI WAKIFEEL WAKO TAYARI KUOA. NA UTAYARI HUU HUTOKEA NDANI HAUHUSIANI NA WEWE MWANAMKE!

So unaweza ukawa yote hayo na mtu akiwa bado yupo yupo utashangaa miaka inaenda tu. Na kuna wanawake anakuwa na mtu 2 months anaolewa na unaweza kujiona hata wewe una effort zaidi yake ila kakutana na aliye tayari.

Hii ndo hupelekea ule usemi kuwa “wanawake ving’ang’anizi mara nyingi ndio huolewa”. Hawa hata mwanaume akukuruke vipi, kama ndo wamemchagua wanaganda tu hadi waone mwisho wa mambo.
 
Heshima na utu wema, usiwe na dalili za usaliti( usiwe mtu wa kushtukiwa)

Pia uwe unalihimiza kwa kuliongea mara kwa mara. Kwa Upole na ukarimu na kwa unyenyekevu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwema!!

Moja kwa moja kwenye mada....

Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?

Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?

Karibuni kwa ushauri

am better here
Naomba kuja Pm nikupe siri ya mwanaume kuwa tayari kukuoa
 
Dada,

Hapa utapewa kila jibu sijui utii, heshima, uaminifu and all. Si kwamba ni vya uongo ila naamini na wewe unajua kuwa unaweza ukawa na hivi vyote na usiolewe vile vile.

Jibu ni hili:

WANAUME HUOA WAKATI WAKIFEEL WAKO TAYARI KUOA. NA UTAYARI HUU HUTOKEA NDANI HAUHUSIANI NA WEWE MWANAMKE!

So unaweza ukawa yote hayo na mtu akiwa bado yupo yupo utashangaa miaka inaenda tu. Na kuna wanawake anakuwa na mtu 2 months anaolewa na unaweza kujiona hata wewe una effort zaidi yake ila kakutana na aliye tayari.

Hii ndo hupelekea ule usemi kuwa “wanawake ving’ang’anizi mara nyingi ndio huolewa”. Hawa hata mwanaume akukuruke vipi, kama ndo wamemchagua wanaganda tu hadi waone mwisho wa mambo.
Mtu umefahamiana nae tu then baada ya miezi miwili mnaoana. Hiyo ndoa itakuwa na maisha kweli ?
 
Kuishi real kabisa na kuonyesha kuwa kwenye ndoa huna maigizo. Kama unafake maisha kwa ajili ya kupata kibali cha ndoa bas sahau pia jinsi unavyoishi na wengine.

Unajua unaweza kukosa kibali cha kuolewa hata kama unamuheshimu mchumba wako kwa sababu tu ya tendo ambalo umemfanyia mtu mwingine? Mwenzio atajiuliza sa huyu ananiheshimu mm sawa. Vipi ndugu zangu? Au watu wengine ka marafiki zangu?

Kwaio ni kuishi maisha halisi kabisa bila kuigiza wala kutokutaka makuu kuwa mvivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu kwema!!

Moja kwa moja kwenye mada....

Ikiwa kumpa ngono haimfanyi mwanaume kukuoa, wala kumzalia mwana pia haimfanyi mwanaume kukuoa je, nini hasa itapelekea mwanaume ulie nae akupe heshima ya ndoa?

Maana wengine wanabadili hadi dini ili kumridhisha mwanaume lakini bado haolewi. Hata ukijitahidi kuwa mwenye heshima au tabia njema utakuta anaenda oa kwingine. Au ndoa ni fate?

Karibuni kwa ushauri

am better here
Mwenza wako anajua maana ya ndoa? Kuna Upendo wa dhati kati yenu? Yuko tayari kuwa na wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu umefahamiana nae tu then baada ya miezi miwili mnaoana. Hiyo ndoa itakuwa na maisha kweli ?
Maisha yanakuwepo..Nina watu nawafahamu ..mkaka alikaa na mwanamke for 6years akaja muoa aliyekutana nae miezi minne..na wana watoto watatu Sasa .sijui ndani wanaishi vipi ila nje wako na furaha kinyama na mdada anamimba ya nne sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha yanakuwepo..Nina watu nawafahamu ..mkaka alikaa na mwanamke for 6years akaja muoa aliyekutana nae miezi minne..na wana watoto watatu Sasa .sijui ndani wanaishi vipi ila nje wako na furaha kinyama na mdada anamimba ya nne sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaoonesha furaha za nje wapo wengi sana
Ila ndani kunawaka moto
 
Ni vyema kwanza ukajua imani yake ktk mapenzi I mean anaamini nini kuhusiana na mapenzi..??
Kuna ambao wanamsimamo wa kuoa na ambao hawana! Na vilevile ni ngumu moja kwa moja kusema ni vigezo vipi vitakavyomfanya mwanaume kukuoa! Hakuna kanuni za moja kwa moja isipokuwa kila mtu anakanuni zake Cha kufanya msome ulienae kisha jipime usipofiti tupa kule maana hamtadumu kwani ni ngumu kuishi kwa kufuata kanuni za mtu!!
Ila nakushauri kuwa hivi kuwa mature,jua kucare familia,kuwa muelewa, usipende kumind vitu vidogo vidogo inakera!, jitahidi kuwa na options sio kuishi na option moja tu!! Hakikisha unamjali hasa kwenye vitu vya maana..

Kiufupi hizo nilizoandika ni vile navyoona Mimi so nje na uzuri wa mtoto wa kike hizo ni baadhi ya vitu vinavyoweza kunifanya nimtundike jipete la ndoa😜
Hakuna kanuni ya moja kwa moja kwa wote kila mtu anauchaguzi wake.
Nakazia hapo, ukiwa mtii na kumpa mwanaume stability basi hata itokee atacheat vipi kurudi atarudi kwako tu.
 
Maisha yanakuwepo..Nina watu nawafahamu ..mkaka alikaa na mwanamke for 6years akaja muoa aliyekutana nae miezi minne..na wana watoto watatu Sasa .sijui ndani wanaishi vipi ila nje wako na furaha kinyama na mdada anamimba ya nne sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda kuna kitu alikuwa anakosa kutoka kwa huyo mwanamke ndio maana alipopata kwa mwingine huyo hakupoteza muda.
 
Back
Top Bottom