financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hizo points zinajibu maswali yote mkuu, hata sisi zinatuhusu.mbona unatujibia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo points zinajibu maswali yote mkuu, hata sisi zinatuhusu.mbona unatujibia mkuu
umefafanua vidhuli sana..Hizo points zinajibu maswali yote mkuu, hata sisi zinatuhusu.
Vidhuli ndo niniumefafanua vidhuli sana..
AmnaaKulikoni mkuu.
Sikupingi mkuu mm nanukuu maneno yako konkiNakazia hapo hapo
Lakini pia kuna kitu hurka.Kuna wanaume wao kutulia na mwanamke mmoja hawezi.yan inshort haamini katika mapenzi ya kuheshimu mahusiano,huyu kuweka mitazamo ya kuoa ni nadra sana hivyo hata ubadili dini,jinsia,macho mpaka ngozi hawezi kukuona kwa malengo ya pamoja mpaka pake atakapoona yeye hapa nahitaji kuwa na mtu wa kunipikia na kunifulia(namaanisha haoi kwasababu anahitaji mke).hivyo wakati tunaangalia vitu vinavyoweza kufanya mwanaume amuoe mwanamke tusisahau pia hii aina ya watu.
Hivyo basi kwa mwanamke yeyote,kujitengenezea mazingira ya kuolewa kwanza
1-jiheshimu.kuanzia mavazi mpaka namna unavyosocialize na watu
2- muheshimu na kumsikiliza mtu mlienae kwenye mahusiano na ikibidi jishushe panapobidi hata kama amekosea na baadae muelekeze kwa utaratibu.
3-usiombe ombe hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787].imenibidi nicheke,aisee usipende kuomba omba hela mwache akupe yeye mwenyewe.Sisi wanaume wa ajabu sana,yan buku ya kuombwa inauma kuliko 10,000 ya kutoa kwa hiyari yetu wenyewe.
4-kuwa na malengo(mitazamo ya kimaendeleo).Sometym tunahitaji mwanamke ambae atatupa maono.sio unabadili dini alafu mawazo yako yapo kwenye starehe bila kuwa na mawazo ya kuendelea kimaisha.
5-Fanya uwezavyo kuvumilia kila jambo hata kama linakuumiza vipi kikubwa umempenda.(ingawa hii ni risk pia) ila baadhi yetu tunawaona wasichana wavumilivu kama hakunaga wengine kama wao hivyo tunasema "sitopata mwanamke mvumilivu kama huyu"
6-jitahidi uwezavyo usije ukacheat hata nusu(mara moja kubwa sana) kama mim binafsi hata nikupende vipi,ukishanicheat na nikakusamehe yan hapo wew utakuwa wa show tu ila kuoa hapana ushakosa sifa bora nikukute na mtoto lakin sio ucheat ukiwa upo na mimi "kwangu ni tusi kubwaaaa mno"..
NB...Haya nimeandika kwa utashi wangu na uzoefu kwa watu wangu wa karibu hivyo vibebe utakavyoona vinafaa
Fact brotherHuwa kuna Chemistry fulan hivi ambayo haielezeki kwa Maneno, ila sisi Wanaume huwa tukimuona tu mwanamke unaona kabisa huyu anastahili kuwa mke.
Tufanye kweli basi
Wanasema mwanaume aliyekomaa anaweza kumvumilia mwanamke anaye cheatHii kitu ya kucheat huwa inawagharimu sana wasichana wa kizazi hiki. Wanaume wengi tunapokubaini tu umecheat biashara huwa imeisha hapo. Hata wale waliopo kwenye ndoa moja ya sababu kuu ya watu kuachana huwa ni hii.
JiongezeKulikoni mkuu.
Kuna co-worker wa kiume miaka 38 aliniambia ukiwa mtu mzima huwezi kumuacha mwanamke kisa ame cheatNadhani kwetu hiki kitu kipo damuni....hata ukionyesha dalili basi tena.
Mimi nimeshaamuamaamuzi.
Kama hajaamua hata uwaje hakuoi, kama kaamua hata ukiwa kitasa kwenye bunyero anakuoa
Nmecheka kwa nguvu afu usiku[emoji23]Mimi nimeshaamua
Nataka nikuoe
Njoo basiNmecheka kwa nguvu afu usiku[emoji23]
aiii hata sitaki kuolewa!!!Njoo basi
Tukae karantini
Basi tutakulana kimasihara tuaiii hata sitaki kuolewa!!!
Akitaka kuoa hata uwe kicheche atakuoa tu
Be urself..enjoy maisha yako
Na akiwa lege lege akisaidiwa anashukuru tuWanasema mwanaume aliyekomaa anaweza kumvumilia mwanamke anaye cheat