LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Utu uzima dawaKuna co-worker wa kiume miaka 38 aliniambia ukiwa mtu mzima huwezi kumuacha mwanamke kisa ame cheat
Ni kama vile kuacha mume kisa kacheat..inahusuu
Kila mtu anapooza engine mnakutana home kimya kimyaa