Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

Ni nini hasa itapelekea mwanaume uliyenaye akupe heshima ya ndoa?

love and sex is nothing but wisdom,listening,understanding and knowledge.
husband is foundation not head of the family...
 
Samahani ninaomba unifafanulie ipi sahihi kati ya uhitaji, huitaji na huhitaji.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
Uhitaji ni nimino [Nomino ya dhahani]
Huitaji - hili neno halipo kwenye kiswahili
Huhitaji - Ni kutenzi
 
Wanasema mwanaume aliyekomaa anaweza kumvumilia mwanamke anaye cheat
Mwanaume mkomavu ndio anaweza kuvumilia/kusamehe pale anapobaini amechapiwa, ila maumivu ya hasira za hilo tukio huwa halifutiki moyoni. Na hupelekea thamani ya mke kupungua. Na wengi wao wanaovumiliwa huwa ni wale wanawake wenye watoto, Japokuwa kuna wengine wanapigwa vibuti hivyovyo na wanaenda kuwa singo mother.
 
Uhitaji ni nimino [Nomino ya dhahani]
Huitaji - hili neno halipo kwenye kiswahili
Huhitaji - Ni kutenzi
Shukrani Stephen. Hayo maneno mawili: huhitaji na huitaji hayapo kwenye Kiswahili. Neno fasaha ni uhitaji. Nimekuwekea na screen shot hapo chini. Shukrani
Screenshot_20200408-070438_Kamusi%20Kuu%20ya%20Kiswahili~2.jpg
Screenshot_20200408-070738_Kamusi%20Kuu%20ya%20Kiswahili~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia ya kupata moyo wa mwanaume ni kupitia tumbo lake na kauli zako
 
Shukrani Stephen. Hayo maneno mawili: huhitaji na huitaji hayapo kwenye Kiswahili. Neno fasaha ni uhitaji. Nimekuwekea na screen shot hapo chini. Shukrani View attachment 1412641View attachment 1412642

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukani mkuu.
Mimi sio mtaalam wa kiswahili ila nimeona hapo kwenye screenshot ume'search neno 'huhitaji' kama lilivyo, na kwa kufanya hivyo huwezi kupata maana. Ni sawa na kuchukua kamusi na kutafuta neno 'anacheza', hutoliona.

Neno 'huhitaji' tayari lina kiambishi awali 'hu-' ambacho ambacho kukaa kabla ya mzizi wa neno (wa kitenzi) kuonyesha hali ya ukawaida au kuzoeleza kufanyika hivyo. Mifano mingine ni kama hukimbia, husema, hujificha nk.

Kwa mfano tukisema 'Mama mjamzito hujifungua baada ya miezi tisa', tunaonyesha kuwa na jambo lililozoeleka/ la kawaida mama mjamzito kujifungua baada ya miezi tisa.

Hivi ni kwa mujibu wa uelewa wangu kutokana na nilivyofundishwa kipindi hicho, ila nitajaribu kurejea nione kama niko sahihi ama nimepuyanga.
 
Mwanaume mkomavu ndio anaweza kuvumilia/kusamehe pale anapobaini amechapiwa, ila maumivu ya hasira za hilo tukio huwa halifutiki moyoni. Na hupelekea thamani ya mke kupungua. Na wengi wao wanaovumiliwa huwa ni wale wanawake wenye watoto, Japokuwa kuna wengine wanapigwa vibuti hivyovyo na wanaenda kuwa singo mother.
Nini tafsiri ya kusamehe kama nabaki na kinyongo moyoni ?
 
Shukani mkuu.
Mimi sio mtaalam wa kiswahili ila nimeona hapo kwenye screenshot ume'search neno 'huhitaji' kama lilivyo, na kwa kufanya hivyo huwezi kupata maana. Ni sawa na kuchukua kamusi na kutafuta neno 'anacheza', hutoliona.
Neno 'huhitaji' tayari lina kiambishi awali 'hu-' ambacho ambacho kukaa kabla ya mzizi wa neno (wa kitenzi) kuonyesha hali ya ukawaida au kuzoeleza kufanyika hivyo. Mifano mingine ni kama hukimbia, husema, hujificha nk.
Kwa mfano tukisema 'Mama mjamzito hujifungua baada ya miezi tisa', tunaonyesha kuwa na jambo lililozoeleka/ la kawaida mama mjamzito kujifungua baada ya miezi tisa.
Hivi ni kwa mujibu wa uelewa wangu kutokana na nilivyofundishwa kipindi hicho, ila nitajaribu kurejea nione kama niko sahihi ama nimepuyanga.
NashukuruTuendelee kwa ufafanuzi. Ila tuendelee kujifunza. Mzizi wa neno ni Hitaji ambalo ni kitenzi elekezi linakuwa na minyumbuliko yake. Neno sasa pale ni uhitaji. Kiambishi ni u na sio hu. Hata ukitumia google neno huhitaji huwezi kulipata. Hata kulitamka lina ukakasi. Wakati mwingine maneno yanatumika kimakosa ila kwa kuwa linatumika isiwe sababu ya kuhalalisha na kuendelea kurudia makosa yaleyale. Angalia humu JF namna watu wanaandika kiswahili cha hovyo kabisa. Walimu wa siku hizi sijui wanafundishaje hii lugha. Kama kwa kumaanisha kinyume chake lakini pia imekaa kimakosa. Mathalani kusema huhitaji sio sawa ila ni hau-hitaji, hamu-hitaji, hatu-hitaji, tuna-hitaji.

Ni kama vile kiswahili cha Tanga. Wanafupisha sana maneno. Mfano: naja, namiambieni, mie, waniita, n.k.

Screenshot_20200408-220852_Google.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NashukuruTuendelee kwa ufafanuzi. Ila tuendelee kujifunza. Mzizi wa neno ni Hitaji ambalo ni kitenzi elekezi linakuwa na minyumbuliko yake. Neno sasa pale ni uhitaji. Kiambishi ni u na sio hu. Hata ukitumia google neno huhitaji huwezi kulipata. Hata kulitamka lina ukakasi. Wakati mwingine maneno yanatumika kimakosa ila kwa kuwa linatumika isiwe sababu ya kuhalalisha na kuendelea kurudia makosa yaleyale. Angalia humu JF namna watu wanaandika kiswahili cha hovyo kabisa. Walimu wa siku hizi sijui wanafundishaje hii lugha. Kama kwa kumaanisha kinyume chake lakini pia imekaa kimakosa. Mathalani kusema huhitaji sio sawa ila ni hau-hitaji, hamu-hitaji, hatu-hitaji, tuna-hitaji.

Ni kama vile kiswahili cha Tanga. Wanafupisha sana maneno. Mfano: naja, namiambieni, mie, waniita, n.k.

View attachment 1413430

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu, tuzidi kupekua makabrasha kuona ukweli wenyewe umekaaje kwa sababu hata mimi sipendi matumizi ya kiswahili kibovu.
 
Kwaio mwanaume ukimtii tu basi mbona unaweza mtii na asikuweke ndani vilevile....

am better here
Wanawake mna vitu vingi sana mnapretend..

Wangi hamko really.

Inshort, mwanaume anahitaji mwanamke mwenye character za mama yake. Mfano: Utii, unyenyekevu, kutokuwa MTU mwenye mambo mengi (dalili za kucheat), kutokutaka vitu vikubwa (onyesha una mwapreciate kwa kila alicho nacho na anachofanya), msaport katika kazi na mishe zake, mdomo (ulalamishi, kuongea kama redio, umbea, maneno machafu kwa ndugu n.k. vinakimbiza wengi).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom