Ni nini hutokea ng'ombe akila kondo lake la nyuma? Na tunawezaje kumsaidia ng'ombe aliyekula kondo lake?

Ni nini hutokea ng'ombe akila kondo lake la nyuma? Na tunawezaje kumsaidia ng'ombe aliyekula kondo lake?

Mynd177

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2022
Posts
2,817
Reaction score
5,141
Wakuu namtumai hamjambo?

Twende kwenye mada.

Ng'ombe hapa nyumbani amezaa sasa kwa kuwa ilikuwa usiku hatukuwa na habari, asubuhi ndo tumekuja kuona kuwa amezaa, sasa kondo hatukuliona na baada ya daktari kuja na kulitafuta limekosa mwishowe akasema ng'ombe amekula hlo kondo...

Sasa tutarajie matatizo gani? Moja wapo nimesikia kukosa kwa maziwa, je ni kweli?

Na je tunawezaje kumsaidia na kutatua tatizo hili..

Natanguliza shukrani..
 
Wakuu namtumai hamjambo?

Twende kwenye mada.

Ng'ombe hapa nyumbani amezaa sasa kwa kuwa ilikuwa usiku hatukuwa na habari, asubuhi ndo tumekuja kuona kuwa amezaa, sasa kondo hatukuliona na baada ya daktari kuja na kulitafuta limekosa mwishowe akasema ng'ombe amekula hlo kondo...

Sasa tutarajie matatizo gani? Moja wapo nimesikia kukosa kwa maziwa, je ni kweli?

Na je tunawezaje kumsaidia na kutatua tatizo hili..

Natanguliza shukrani..
Sidhani km kuna shida hapo.
 
Ninachofahamu na Inavyosemekana....

Ng'ombe akila Placenta maziwa yanakata....kama ni wale ng'ombe wa maziwa ukikamua maziwa hupati hata nusu lita..
 
Ipo hivi.
Kondo (placenta) limetengenezwa kwa kuzalishwa ( secreted) hormone mbili ambazo ni progesterone na leutinizing hormone( hormones za kutunza mimba).
Hizi hormone zinausika na kupunguza uzalishaji wa maziwa, kwamaana hiyo Ng'ombe atatumia lishe yake kutunza mimba, na ndio maana Ng'ombe baada ya kupata mimba Kuna wengine hukata maziwa kabisa wengine hupunguza kiasi Cha maziwa.

Ng'ombe anapokaribia kuzaa hizo hormone hupungua na kuanza kuzalisha oxytocin hormone ambayo ndio humsaidia kuzaa na kutoa maziwa.

Ikitokea baada ya kuzaa Ng'ombe Akala kondo atakula progesterone na leutinizing hormone so ataathiri ( hinder) uzalishaji wa oxytocin hormone na kusababisha kukata uzalishaji wa maziwa baada ya kuzaa.
 
Placenta iko na progesterone hormone +Lt hormone so ikitoke ng'ombe, mbuzi, nguruwe, amekula kondo inaenda direct kuathiri kuzuia uzalishwaji wa prolactin+oxytocin hormone ambazo zinausika na utengenezwaji wa maziwa ndipo inapotokea mnyama anakata maziwa.
 
Mkuu ebu elezea kwa lugha rahisi nini hutokea na kwa nini chumvi
Aksante!
Hii episom salt ni magnesium salt hii inasafisha utumbo kuondoa takataka za aina zote ikiwemo kondo ili placenta isije ikaharibu micro-organism wanaopatikana kwenye rumen wanaosaidia katka digestion

Na hao wakishindwa kufanya kazi vizuri actually mnyama atapata tatizo linaloitwa bloat
 
Back
Top Bottom