Ni nini hutokea ng'ombe akila kondo lake la nyuma? Na tunawezaje kumsaidia ng'ombe aliyekula kondo lake?

Ni nini hutokea ng'ombe akila kondo lake la nyuma? Na tunawezaje kumsaidia ng'ombe aliyekula kondo lake?

Nadhana hukunielewa nilikua na maana gani kumshauri jamaa ampe huyo ng'ombe epsom salt [emoji116] hiyo ni kwaajili ya laxative na sivinginevyo. View attachment 2708978
Nimekuelewa...na nafahamu kazi ya Epsom salt....lakini kama daktar sidhan Kama Kuna haja ya kumpa ng'ombe kwa kesi ya placentophagy... actually placentophagy Ina faida zaidi kuliko hata effect (kwa tafiti zilizopo mpaka saivi)...placenta Ina iron.. Oxytocin...na micronutrients nyingi... placentophagy haina direct effect kwenye uzalishaji wa maziwa....
 
Nimekuelewa...na nafahamu kazi ya Epsom salt....lakini kama daktar sidhan Kama Kuna haja ya kumpa ng'ombe kwa kesi ya placentophagy... actually placentophagy Ina faida zaidi kuliko hata effect (kwa tafiti zilizopo mpaka saivi)...placenta Ina iron.. Oxytocin...na micronutrients nyingi... placentophagy haina direct effect kwenye uzalishaji wa maziwa....
Prolactin for milk production
Oxytocin for expelling out milk (si inafanya contraction ya muscles hii)
 
Ipo hivi.
Kondo (placenta) limetengenezwa kwa kuzalishwa ( secreted) hormone mbili ambazo ni progesterone na leutinizing hormone( hormones za kutunza mimba).
Hizi hormone zinausika na kupunguza uzalishaji wa maziwa, kwamaana hiyo Ng'ombe atatumia lishe yake kutunza mimba, na ndio maana Ng'ombe baada ya kupata mimba Kuna wengine hukata maziwa kabisa wengine hupunguza kiasi Cha maziwa.

Ng'ombe anapokaribia kuzaa hizo hormone hupungua na kuanza kuzalisha oxytocin hormone ambayo ndio humsaidia kuzaa na kutoa maziwa.

Ikitokea baada ya kuzaa Ng'ombe Akala kondo atakula progesterone na leutinizing hormone so ataathiri ( hinder) uzalishaji wa oxytocin hormone na kusababisha kukata uzalishaji wa maziwa baada ya kuzaa.
🥺🥺😳... wrong..... Bovine placenta produce progesterone, oestrogen,Oxytocin and relaxin..BUT NOT LUTEINIZING HORMONE..uzalishaji wa hormone hizi hutegemea sana umri wa mimba...mwishon wa ujauzito progesterone kwenye placenta hupungua sana (progesterone ndo Ina uwezo wa kuathiri uzalishaji wa maziwa.. WHY?... because progesterone interferes with prolactin binding to the receptors on the alveolar cells within the udder, thereby directly suppressing milk production)..mwishoni mwa ujauzito placenta inazalisha sana oestrogen Oxytocin na relaxin.... oestrogen na Oxytocin zina positive effects kwenye uzalishaji wa maziwa...So ng'ombe akila placenta baada ya kuzaa anakula oestrogen na Oxytocin....so theoretically maziwa yataongezeka
Umejitahidi kuelezea... Kuna sehem upo sahihi na Kuna sehem haupo sahihi..
Somo la hormone ni complicated kidogo so kwa mfugaji Huwa tunaelezea tu general picture na effect..
Conclusion: Placentophagy Haina negative effect yeyote kwa afya au uzalishaji wa maziwa....
 
Nimekuelewa...na nafahamu kazi ya Epsom salt....lakini kama daktar sidhan Kama Kuna haja ya kumpa ng'ombe kwa kesi ya placentophagy... actually placentophagy Ina faida zaidi kuliko hata effect (kwa tafiti zilizopo mpaka saivi)...placenta Ina iron.. Oxytocin...na micronutrients nyingi... placentophagy haina direct effect kwenye uzalishaji wa maziwa....
Unanipa wasiwasi kidogo
 
I’m eager to learn about this, so please dear veterinarians may you conclude that final conversation Kama mmetuacha njiani hivi wengine tunaingia kwenye ufugaji huu very recently.
 
I’m eager to learn about this, so please dear veterinarians may you conclude that final conversation Kama mmetuacha njiani hivi wengine tunaingia kwenye ufugaji huu very recently.
Conclusion: Placentophagy Haina negative effect yeyote kwa afya au uzalishaji wa maziwa....japo hakuna direct research yyote but theoretically kula placenta kunaweza kuongeza uzalishaji wa maziwa (nimeelezea hapo juu kwann inaweza kuwa Ivo)
And possibly it's just a protective evolution behavior (instinct) of bovines against predators...
 
Hii episom salt ni magnesium salt hii inasafisha utumbo kuondoa takataka za aina zote ikiwemo kondo ili placenta isije ikaharibu micro-organism wanaopatikana kwenye rumen wanaosaidia katka digestion

Na hao wakishindwa kufanya kazi vizuri actually mnyama atapata tatizo linaloitwa bloat
Mmmmmmmhhhh....mkuu...mbona mbio sana
 
Wakuu namtumai hamjambo?

Twende kwenye mada.

Ng'ombe hapa nyumbani amezaa sasa kwa kuwa ilikuwa usiku hatukuwa na habari, asubuhi ndo tumekuja kuona kuwa amezaa, sasa kondo hatukuliona na baada ya daktari kuja na kulitafuta limekosa mwishowe akasema ng'ombe amekula hlo kondo...

Sasa tutarajie matatizo gani? Moja wapo nimesikia kukosa kwa maziwa, je ni kweli?

Na je tunawezaje kumsaidia na kutatua tatizo hili..

Natanguliza shukrani..
Wanyama wengi hula kondo la nyuma mara baada ya kuzaa isipokuwa kwa Mbuzi na Kondoo sijawahi kuwaona wakila kondo lao la nyuma.

Kwa ngombe mara nyingi huwa wanakula usipolitoa mapema.

Athari yake.

Kutokana na uzoefu wangu ng'ombe akila kondo la nyuma kama alikuwa anatoa maziwa mengi hupungua kwa kiwango kikubwa tu tofauti na alivyokuwa awali.

Observation hii nimeiexperience kwa miaka mingi tu almost 20 years ya kujihusisha na mifugo kwa ukaribu sana kama mfugaji.
 
Je, hakuna uwezekano wa wanyama wengine kuingia hapo zizini? Nimewahi shuhudia mbwa wakilibeba msobemsobe hilo kondo mara tu baada ya ng'ombe, kulishusha.
Mbwa wanakula vizuri tu
 
Back
Top Bottom