itoko jr
JF-Expert Member
- Feb 26, 2023
- 1,126
- 2,537
Apo siwezi kujibu kwa kweli labda waje wataalamu wa afya ya binadamu........ through ukiniuliza kwa wanyama ntakujibu.Mkuu naomba kuuliza japo ni nje ya mada, nimewahi kusikia nje huko kuwa kuna dada alikula hiyo placenta yake kwahiyo na binadamu akila pia maziwa hukata?