Ni nini hutokea ng'ombe akila kondo lake la nyuma? Na tunawezaje kumsaidia ng'ombe aliyekula kondo lake?



Mmekuwa hapo na daktari, unakuja kuuliza jamii forum, kweli ukichaa is real, Huyo daktari aliyewaambia kalila, na nyie mkaridhia, hakuwa na maelezo zaidi ya Msaada?

Dawa ni kumchinja na kuuza Nyama.
 
Je, hakuna uwezekano wa wanyama wengine kuingia hapo zizini? Nimewahi shuhudia mbwa wakilibeba msobemsobe hilo kondo mara tu baada ya ng'ombe, kulishusha.
 
Safi imekaa kitaalam mkuu
 
Maelezo mazuri mkuu
Nafkiri hizi hormone ndo zipo vivyo hivyo kwa binadamu
I stand to be corrected!!
 
Je, hakuna uwezekano wa wanyama wengine kuingia hapo zizini? Nimewahi shuhudia mbwa wakilibeba msobemsobe hilo kondo mara tu baada ya ng'ombe, kulishusha.
Kuna fence mkuu... so haiwezekani...
 
Mmekuwa hapo na daktari, unakuja kuuliza jamii forum, kweli ukichaa is real, Huyo daktari aliyewaambia kalila, na nyie mkaridhia, hakuwa na maelezo zaidi ya Msaada?

Dawa ni kumchinja na kuuza Nyama.
Daktari mwngne ndo alisema tumpe chumvi fulani, sasa analitoa na maziwa yanapatikana japo kidogo kidogo..
 
Mkuu naomba kuuliza japo ni nje ya mada, nimewahi kusikia nje huko kuwa kuna dada alikula hiyo placenta yake kwahiyo na binadamu akila pia maziwa hukata?
Hiyo nilishuhudia kwa macho yangu USA kuna jamaa mke na mume walipopata mtoto wakala lile kondo la uzazi kwa imani zao.
 
Rx: I.v injection of Oxytocin or prolactin
 
Samahani uko kwa n'gombe hamna Lactating hormone?
 
Probability ya kukata maziwa ipo...japo ni kidogo...but kutumia Epsom salt kureverse effect ni hapana boss...na hata ukimwacha hawezi chukua muda mrefu Ili kuwa sawa...Rx: I.v injection of Oxytocin or prolactin
Nadhana hukunielewa nilikua na maana gani kumshauri jamaa ampe huyo ng'ombe epsom salt [emoji116] hiyo ni kwaajili ya laxative na sivinginevyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…