MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Nimejaribu kufikiri lakini sijapata majibu.
Je, suala hili Ni coincidence au Kuna kuambizana?
Mfano kwa Dar es Salaam, maeneo Kama Masaki, Oysterbay, Mikocheni, Upanga, Mbweni, Msasani, Kijichi.
Je, haya maeneo huwa inakuwaje unashangaa watu wenye uwezo kiuchumi KUJENGA sana Mitaa hiyo kwa pamoja.
Kwa Mwanza Kuna Maeneo Kama Capripoint, Bwiru, Mwananchi, Isamilo n.k.
Na, Je ukiwa na Uchumi wako wa manati lakini ukawa na eneo huko unaporwa au Ni Nini hasa sababu kubwa ya hili?
Je, suala hili Ni coincidence au Kuna kuambizana?
Mfano kwa Dar es Salaam, maeneo Kama Masaki, Oysterbay, Mikocheni, Upanga, Mbweni, Msasani, Kijichi.
Je, haya maeneo huwa inakuwaje unashangaa watu wenye uwezo kiuchumi KUJENGA sana Mitaa hiyo kwa pamoja.
Kwa Mwanza Kuna Maeneo Kama Capripoint, Bwiru, Mwananchi, Isamilo n.k.
Na, Je ukiwa na Uchumi wako wa manati lakini ukawa na eneo huko unaporwa au Ni Nini hasa sababu kubwa ya hili?