Ni nini huwa kinapelekea eneo fulani kujikuta limekuwa na Makazi ya Kishua (wealthy neighbourhoods)?

Ni nini huwa kinapelekea eneo fulani kujikuta limekuwa na Makazi ya Kishua (wealthy neighbourhoods)?

MoseKing

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2017
Posts
4,928
Reaction score
8,976
Nimejaribu kufikiri lakini sijapata majibu.

Je, suala hili Ni coincidence au Kuna kuambizana?

Mfano kwa Dar es Salaam, maeneo Kama Masaki, Oysterbay, Mikocheni, Upanga, Mbweni, Msasani, Kijichi.

Je, haya maeneo huwa inakuwaje unashangaa watu wenye uwezo kiuchumi KUJENGA sana Mitaa hiyo kwa pamoja.

Kwa Mwanza Kuna Maeneo Kama Capripoint, Bwiru, Mwananchi, Isamilo n.k.

Na, Je ukiwa na Uchumi wako wa manati lakini ukawa na eneo huko unaporwa au Ni Nini hasa sababu kubwa ya hili?
 
Eneo karibu na Beach
Juu ya mlima unaoangalia katikati ya Jiji au bahari au mandarin nzuri ya kiasili.
Eneo katikati ya Jiji kubwa.
 
Nimejaribu kufikiri lakini sijapata majibu.

Je, suala hili Ni coincidence au Kuna kuambizana?

Mfano kwa Dar es Salaam, maeneo Kama Masaki, Oysterbay, Mikocheni, Upanga, Mbweni, Msasani, Kijichi.

Je, haya maeneo huwa inakuwaje unashangaa watu wenye uwezo kiuchumi KUJENGA sana Mitaa hiyo kwa pamoja.

Kwa Mwanza Kuna Maeneo Kama Capripoint, Bwiru, Mwananchi, Isamilo n.k.

Na, Je ukiwa na Uchumi wako wa manati lakini ukawa na eneo huko unaporwa au Ni Nini hasa sababu kubwa ya hili?
inatokea tu
 
Hatokei wala nini...
Msijipe moyo.....
Ni inaitwa "Gentrification"....
Unauzwa mzima mzima na shamba lako....au kijumba chako cha matope.....
kwa hela ndogo tu....halafu baadae unawahadithia watoto wako wakati mnaishi Manerumango kuwa walizaliwa Avic Town.....
 
Unakuta kiwanja kinauzwa 20mil, hapo atakaye nunua hawezi kununua kiwanja kwa 20mil halafu ajenge nyumba ya chini ya 40m.
Ni auto tu tayari eneo linakuwa la kishua
 
Hatokei wala nini...
Msijipe moyo.....
Ni inaitwa "Gentrification"....
Unauzwa mzima mzima na shamba lako....au kijumba chako cha matope.....
kwa hela ndogo tu....halafu baadae unawahadithia watoto wako wakati mnaishi Manerungo kuwa walizaliwa Avic Town.....
Unaweza kuzungumzia nao vizuri lakini na wewe ukanufaika.

Mfano, kwa Mwanza CBD imeongezeka distance, ndani ya huo umbali inatakiwa yajengwe maghorofa marefu.

Hivyo, wanaoishi maeneo hayo inabidi tu wauze au kuingia Mikataba Kama hawataweza KUJENGA maghorofa husika.
 
Back
Top Bottom