Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni story ya mtaani kwangu kabisaaa!! Mwaka 2014 wakati napanunua palikuwa ni mashamba tu ya Korosho. Mangi mmoja alikuwa anauza miguu 22x22 milioni 1½. Nilijipinda nikachukua viwanja viwili. Then majirani zangu nao wakaanza kuongeza wakati awali walichukua kiwanja kimoja kimoja. Automatically pakaanza kuwa medium density na wale wenye kiwanja kimoja kimoja wakaanza kuviuza vyao kwa bei juu, watu wakija wanakuta mtaa umepangika so wananunua wanaunganisha. Mwaka 2020 kuna mtu kanunua 40x20 (double hizo) kwa milioni tisa.Hapana haya maeneo kwanza yasiwe na wenyeji wengi sabab wenyeji huaribu mazingira pia wale wataoanza kujenga waanze na bangaloo utakuta na jirani yake anajitutumua na mwingine anaandaa ramani kubwa ya kisasa itaenda hivyo hàdi mnajikuta panaitwa ushuwani.
Kuna eneo fulan watu waliporomosha mabangaloo we mtu mmoja tu ndo alikua na nyumba ya chini basi bwana alivyojiona kageuka maskin mtaan akajipiga akaunga nyumba yake upande ghorofa akajikuta wanaenda sawa.
AhahhahhHatokei wala nini...
Msijipe moyo.....
Ni inaitwa "Gentrification"....
Unauzwa mzima mzima na shamba lako....au kijumba chako cha matope.....
kwa hela ndogo tu....halafu baadae unawahadithia watoto wako wakati mnaishi Manerumango kuwa walizaliwa Avic Town.....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatokei wala nini...
Msijipe moyo.....
Ni inaitwa "Gentrification"....
Unauzwa mzima mzima na shamba lako....au kijumba chako cha matope.....
kwa hela ndogo tu....halafu baadae unawahadithia watoto wako wakati mnaishi Manerumango kuwa walizaliwa Avic Town.....
Mikocheni Squatters ni mtaa wa Darajani, tena ni kipande cha nyuma 200 tu...Mikocheni A ni ule upande wa Rose Garden mpaka Fedha shuleKweli mikocheni A uswaz sana, kule chama na kisiwani