Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Hapan mkuu hii ishu imekaa kimipango miji. Kuna mtindo flani wa kulipanga jiji ndo kunafanya maeneo yawe na thamani na kuuzwa ghali, hapo huwez kuta masikini anakaa. Hata akikaa Kuna siku atauza tu akanunue kimbiji bei chee apate na mtaji. Siku pakipanda thamani kimbiji pia atawauzia wanaopaweza akanunue mserereko - ngombeleloinatokea tu