peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ninaomba michango kuhusiana na thread hii tafadhali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mada yake humu haikudumu nayo ilikufaNinaomba michango kuhusiana na thread hii tafadhali?
Tax payers money misusedUtata mtupu
MASWALI YA MITANDAONI
Serikali(sirikali)[emoji2827][emoji1544][emoji1550]Ninaomba michango kuhusiana na thread hii tafadhali?
Huyu binti alikuwa na naibu waziri, ukweli usemwe na uwekwe waziNinaomba michango kuhusiana na thread hii tafadhali?
Uzi wa Elli umefutwa?MASWALI YA MITANDAONI
Mwanafunzi wa UDOM, Nusura Hassan Abdallah anafar-
iki 29/04/2023 kifo chake kinatangazwa 04/05/2023, siku
6 baadae?
Hakuna taarifa za Jeshi la Polisi (pia kutoka kwa
tabibu) za kuuwawa kwa (kwa kipigo) Nusura, Moshi,
Kilimanjaro hadi sasa.
Hakuna taarifa za kukamatwa kwa huyo aliyetajwa bila
jina kuwa "mpenzi wake. Mtuhumiwa pia hajatajwa
popote katika taarifa.
UDOM, Wamefahamu vipi alikwenda Moshi kwa
mpenzi wake? Kwanini wamtambue ni mpenzi wake?
Walizungumza na marehemu?
UDOM walijuaje chanzo cha kifo cha Nusura ni kupigwa
na mpenzi wake? Walifanya postmortem? Walipewa
taarifa za kitabibu? Na nani?View attachment 2611532View attachment 2611533
Kwanini mkuuTax payers money misused