Ni nini kauli ya Serikali ya Tanzania/ IGP Dodoma kuhusu kifo cha Nasra mwanafunzi wa UDOM?

Ni nini kauli ya Serikali ya Tanzania/ IGP Dodoma kuhusu kifo cha Nasra mwanafunzi wa UDOM?

Mwili wa Nasra upo mkoa gani tunavyoongea sasa hivi?

Mama Samia anaitwa mama ameshindwa kujua kilichompata binti Nasra ambaya ni sawa na binti yake?

RPC Dodoma naye amepiga kimyaaaa?

Dr mpango naye alikwenda kumjulia Hali Naibu Waziri akalishwa matango pori. Nchi ngumu hii kwa Kweli.

Sasa nchi inaongozwa na mama mabinti wanaliwa vichwa na watu wasiojulikana??
RPC dodoma alikuwa kimya hata Tamisemi ila makamu na waziri mkuu alivoenda kumwona naibu waziri ikabidi RPC wa dodoma aje na taarifa ya uongo kuhusu ajali.
So Kuna kulindana
 
JAMII FORUM IMEGEUKA TOILET PAPER [emoji3474][emoji406] YA WAHUNI ...HATA UKICHEKI BAN WANAZOPIGWA WATU SIKU HIZI NI ZAKISIASA NA KIFISADI ..KWA SASA UWEZI KUKUTA HABARI NYETI YOYOTE HAPA JF ZOTE ZINAPIGWA PIN KABLA YA KUTUFIKIA ...SERIKALI YA SAMIA INAMAMBO MAOVU MAKUBWA SANA WATU WAKILETA HUMU YANA PIGWA PIN [emoji419] SASA HIVI NI WAKATI WA KURUDI KULE KENYA TALK FORUM.... MAANA HAPA JF NAONA KABISA BWANA MERO... ULE MSEMO WA MASIKINI AKIPATA MATAKO ULIA PWATA UNA MUHUSU
Sasa si wanaoata Mahela kutoka kwa akina nape
 
Umalaya nao umemponza tu watoto wa kike acheni kutembea na vibabu pumbavu zenu
 
Polisi wametoa tamko wanalifuatilia hili swala kuchunguza kama marehemu alikuwa pamoja na naibu wazir sasa unajiuliza siku zote Hawa polisi walikuwa wapi?
 
Umalaya nao umemponza tu watoto wa kike acheni kutembea na vibabu pumbavu zenu
Siku ukijua hata anayekuongoza leo amepata vyeo kwa kutumia tobo zake mbili za chini ...ndiyo maana aakili zake 0 ....utsjua kwanini wanatembea na vibabu vya chama cha machawa
 
Back
Top Bottom