Ni nini kinachoamua uwezo wa akili wa binadamu?

Ni nini kinachoamua uwezo wa akili wa binadamu?

Moja ni experience,tunachoshindwa kuelewa ni kuwa hata hao wazungu tunaowaabudu walipitia vipindi vigumu sana,wameishi katika ardhi mbovu na baridi.Wamepita katika majanga mengi ya magonjwa,wameuana kwasababu ya imani za kichawi na
Hiyo ndiyo chachu yao ya mabadiliko yao.Imewajengea uwezo mkubwa wa akili,kujiamini na most importantly uvumilivu.
By the time wametengeneza meli na bunduki na kuanza kutawala mabara yaliyokuwa yanakula bata it was too late,I dont blame them,I admire them..they survived,conquered and kept on moving forward.
Ila tatizo we never try to learn from history.
Darwin alieleza hichi nlichoeleza simply,survival is for the fittest.
And what do you expect from races which have survived the worst and conquered the world?

But still,intelligence is a broad term.It is knowledge in action,at the right time and place.Uwezo wa kuconnect elimu tuliyonayo kutatua matatizo.To what use is your knowledge if you cant deliver when needed? We kama unajua 2×2 na hujui 2+2 ukiulizwa watu watakuita mjinga.

Intelligence ni kuwa na subira na uwezo wakufanikiwa katika mazingira yoyote.Ndio maana Tyrion kwenye game of thrones anasurvive popote.Kuwa intelligent haimaanishi ubishi na ujuaji.Wazungu waliachia koloni zao wakiwa na subira na mipango madhubuti ya kututawala kiakili zaidi.
Intelligence ni kutafuta solution na sio kutoa lawama

Also kuna ukweli kuwa intellingence inatoka kwa mama zaidi haijalishi kama baba ana akili au hana.Wanasayansi wanajua zaidi.Pia vyakula vina umuhimu wake,samaki mboga za majani n.k. Kuna watoto wana uelewa mdogo darasani kwasababu tu ya lishe mbovu.

Ukitaka mwanao awe intelligent mwachie aishi maisha yote,ya shida na raha.Ya njaa na shibe,that way they can get different perspectives of life and how to appropriately use their knowledge.
Aliki inahitaji sacrifice,its not merely a God given blessing or bought from English based schools.Even Ben Carson mwenye gifted hands ali hustle.
I apologize for my mixed language.
Well said
sisi Wa Africa naona bado tupo kwenye stage ile ya wao kuishi kwenye maisha duni waliyopitia wao na kuyabadiri, bali sisi hatutaki kutoka katika hiyo stage. Tupo kwenye siasa tu, maendeleo yatangoja sana, sorry kutoka nje ya mada
 
Unavofikiri kama hayo yasingekuwepo tungeishije au unahisi tusingeishi???

Kwa uelewa wangu mzungu kavumbua shida taabu na matatizo tu katika hii dunia, sijaona madhara waliyoyapata watu kipindi havipo alivyovivumbua, yaani mtu aunde kitu ajue na matumizi yake halafu akufundishe na faida zake we uone ni jambo la Akili, kiufupu sayansi ndiyo chanzo cha umasikini na matatizo duniani, kama sio sayansi tungekuwa vizuri sana mpaka Akili na maarifa,

Sent using Jamii Forums mobile app
is that fair to walk by foot in a thousands miles than by a plane in 45 minutes...??

compare the advancement kwanza...


kwamba babu zetu wa miaka ya1880 kuko walikuwa wanabeba magogo kwa nguvu zao na wengine walikufa utumwani au katika ujenzi wa madaraja makubwa ambayo ndo unayatumia kupita since technolojia haikuwepo but leo hii technolojia imekurahisia ndo mana tunatumia nguvu ndogo kujenga kitu kikubwa..

how do you find kama tukikukamata wew na kukupeleka ukajenge reli ya standard gauge kwa mikono yako..!!

will it be fair..??

wouldnt ya die early...??

Amini usiamini kuja kwa ngozi nyeupe na nyinginezo duniani kumekufanya ustaarajibike kwa ustadi mkubwa...
The morden life you live ni kwa sababu yao..

nenda kijijini kabsa ambako ni remot ares kabisa halafu ucompee na maisha yao kama hujawashangaaa kwa jinsi wanavyovaa,wanavyokula na kusocialize...

it is stiff Aukwardly kabsaa...

stupid primitive life...

naamini kuna sehemu akili nene ilitok kwa ajili ya kuja kuopen up mind ya ngozi hii nyeusi isiyotambua lolote na inajiendee ende tu kwenye ulimwenvu huu...

usijlinganishe na hao watu kabsaaa...

very stupid at high grade kabsaa....we nothing at ol...

leo hii unafanya mambo mengi wity no much effforts ni kwa sababu wamekutanulia space-time machine...

space time dilation ndo kitu pekee kinachokulahisia kila jambo dunia ya leo na bado wanazidi kuexpand space time dilation na kukufanya usafiri kwenda Armstadam kwa dk 45 tu ..just wait na utashuhudia ...

ngozi nyeusi imekuja kupewa conciousness nahisi ilisahaulika kwenyr DNA Transcendendal in relation to Homegeneity ..
katika life form allowance ya kuruhusu DNA ziruhusu kugeuka na kuwa viumbe basi DNA ya ngozi nyeusi ilimis Intelligence transposition and transformation na kufanya kukosa Gene factor control ndo mana tunaumiza vichwa kuju mchakato wa jinsi maisha yanavyokwenda..

dont hate your color ,hate yo DNA carrier who forgot to carry the necessary factor control...

tumekosa kit kwenye DNA yetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ni experience,tunachoshindwa kuelewa ni kuwa hata hao wazungu tunaowaabudu walipitia vipindi vigumu sana,wameishi katika ardhi mbovu na baridi.Wamepita katika majanga mengi ya magonjwa,wameuana kwasababu ya imani za kichawi na
Hiyo ndiyo chachu yao ya mabadiliko yao.Imewajengea uwezo mkubwa wa akili,kujiamini na most importantly uvumilivu.
By the time wametengeneza meli na bunduki na kuanza kutawala mabara yaliyokuwa yanakula bata it was too late,I dont blame them,I admire them..they survived,conquered and kept on moving forward.
Ila tatizo we never try to learn from history.
Darwin alieleza hichi nlichoeleza simply,survival is for the fittest.
And what do you expect from races which have survived the worst and conquered the world?

But still,intelligence is a broad term.It is knowledge in action,at the right time and place.Uwezo wa kuconnect elimu tuliyonayo kutatua matatizo.To what use is your knowledge if you cant deliver when needed? We kama unajua 2×2 na hujui 2+2 ukiulizwa watu watakuita mjinga.

Intelligence ni kuwa na subira na uwezo wakufanikiwa katika mazingira yoyote.Ndio maana Tyrion kwenye game of thrones anasurvive popote.Kuwa intelligent haimaanishi ubishi na ujuaji.Wazungu waliachia koloni zao wakiwa na subira na mipango madhubuti ya kututawala kiakili zaidi.
Intelligence ni kutafuta solution na sio kutoa lawama

Also kuna ukweli kuwa intellingence inatoka kwa mama zaidi haijalishi kama baba ana akili au hana.Wanasayansi wanajua zaidi.Pia vyakula vina umuhimu wake,samaki mboga za majani n.k. Kuna watoto wana uelewa mdogo darasani kwasababu tu ya lishe mbovu.

Ukitaka mwanao awe intelligent mwachie aishi maisha yote,ya shida na raha.Ya njaa na shibe,that way they can get different perspectives of life and how to appropriately use their knowledge.
Aliki inahitaji sacrifice,its not merely a God given blessing or bought from English based schools.Even Ben Carson mwenye gifted hands ali hustle.
I apologize for my mixed language.
Ubarikiwe nimejifunza kitu leo[emoji122] [emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
is that fair to walk by foot in a thousands miles than by a plane in 45 minutes...??

compare the advancement kwanza...


kwamba babu zetu wa miaka ya1880 kuko walikuwa wanabeba magogo kwa nguvu zao na wengine walikufa utumwani au katika ujenzi wa madaraja makubwa ambayo ndo unayatumia kupita since technolojia haikuwepo but leo hii technolojia imekurahisia ndo mana tunatumia nguvu ndogo kujenga kitu kikubwa..

how do you find kama tukikukamata wew na kukupeleka ukajenge reli ya standard gauge kwa mikono yako..!!

will it be fair..??

wouldnt ya die early...??

Amini usiamini kuja kwa ngozi nyeupe na nyinginezo duniani kumekufanya ustaarajibike kwa ustadi mkubwa...
The morden life you live ni kwa sababu yao..

nenda kijijini kabsa ambako ni remot ares kabisa halafu ucompee na maisha yao kama hujawashangaaa kwa jinsi wanavyovaa,wanavyokula na kusocialize...

it is stiff Aukwardly kabsaa...

stupid primitive life...

naamini kuna sehemu akili nene ilitok kwa ajili ya kuja kuopen up mind ya ngozi hii nyeusi isiyotambua lolote na inajiendee ende tu kwenye ulimwenvu huu...

usijlinganishe na hao watu kabsaaa...

very stupid at high grade kabsaa....we nothing at ol...

leo hii unafanya mambo mengi wity no much effforts ni kwa sababu wamekutanulia space-time machine...

space time dilation ndo kitu pekee kinachokulahisia kila jambo dunia ya leo na bado wanazidi kuexpand space time dilation na kukufanya usafiri kwenda Armstadam kwa dk 45 tu ..just wait na utashuhudia ...

ngozi nyeusi imekuja kupewa conciousness nahisi ilisahaulika kwenyr DNA Transcendendal in relation to Homegeneity ..
katika life form allowance ya kuruhusu DNA ziruhusu kugeuka na kuwa viumbe basi DNA ya ngozi nyeusi ilimis Intelligence transposition and transformation na kufanya kukosa Gene factor control ndo mana tunaumiza vichwa kuju mchakato wa jinsi maisha yanavyokwenda..

dont hate your color ,hate yo DNA carrier who forgot to carry the necessary factor control...

tumekosa kit kwenye DNA yetu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahn mkuu kama hutojal
Hakuna mwafrika yeyote aliyewahi kubumbua kitu toka dunia kuumbwa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatuwezi kulinganganisha akilili za jamii tofauti bila ya kuweka vigezo ni sawa na kusema gari na ndege ndege bora kisa ndege inaruka angani, inatatakiwa tuweke vigezo km vile cost, flexibility, speed,nk.
kwangu ningependa kulinganisha akili kwa mambo yafuatayo;
1. Kujua majukumu yako hapa duniani km kiumbe, hapa unaweza kukutta professor eidha anakataa kuwa hakuna muungu au anaabudia nafsi yake au kiumbe chengine
2. Kujua na kusimamia maisha yako ya kilasiku, hapa unaweza kusema wazungu wanajitahidi lkn wamefeil kwa kuwa ktk kufanikisha hili hudhulumu,kuuwa, kuiba nk ni sawa professa ameandika vitabu vingi then unamlinganisha kwa utajiri na fisadi serekali ambae ameiba amedhulumu nk kwa kumuita fisadi anaakili nyingi kuliko profrssa.
We jamaa una akili sana MTU mwenye akili hawezi kuua kila siku kwa sababu eti ya kufanikisha malengo yake.hata waafrika wanauana sana siku hizi kwa sababu ya madaraka yaliyoboreshwa kizungu.
 
Kwanini Mzungu ana uwezo mkubwa wa akili kuliko Muafrika?
Kwanini iko hivyo?
Mimi hilo siamini wala sitakaa niamini mpaka nakufa.

Haijawahi binadamu mmoja na mwingine wakatofautishwa kwa akili,bali tofauti ya mmoja na mwingine ni kutokana na rangi,kabila au taifa.

Hii inaonyesha maadamu wewe ni binadamu basi kiakili uko sawa na wengine. Kwa maana ukimakinika kwayo utafikia lengo.


Kadhalika kuhusu vipimo,suala la maendeleo yakijamii kutumika kama ndio uwezo wa akili,watumiavyo vipimo hivyo si wengine zaidi ya wenye maradhi ya akili.

Ila kuna jambo kubwa sana bali ndio kipimo sahihi cha mtu mwenye akili na bora kuliko mwengine. Hili jambo wengi wamelisahau.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Genetics ... Mazingira unayomlea ...

Sio kwel wazungu wanaakili...ila malezi wanayokulia yanafanya waonekane ivo napia mazingir yao.

Sio kila Mtengeneza Makombora ana akili, isipokua mazingira yaufundishwaji ndio ufanys tuwaone wanamaakili.

Taifa la Israel hawa Wanaakili zao tu zitabakiaga kuwepo tu miaka nends miaka rudi .

Kwa hapa Bongo kwetu Akili imekia based sana ktk genetics ,maana mazingira yakuifanya akili hayapoooo.

Hapo utasikia, Kila mtu anaakili ,tunatofautiana kutumia...huu ni uongo. Kila mtu ana ubongo lkn akili tumetofautiana.

Ndo maana kuna shule za vipaji hawa kipimo kikuu cha akili nisomo la HESABU.

*I shall kindly Knee to leave my Pride*
 
Apparently, taifa lenye watu wenye akili sana Duniani ni Israel, hii imesababishwa na chakula wanacho kula yaani ngano isiyokobolewa. Ukuaji wa ubongo wa mtoto unaanzia toka mimba inapotungwa hadi akitimiza miaka 4.

Hivyo basi uwezo wa akili wa mtoto unaweza kuwa determined na aina ya chakula anachokula mama toka akiwa mjamzito. Kuna kamsemo kanasema "what you eat, is who you are", wenzetu wanakula ili waishi, hawaishi ili wale. Wanazingatia wakati gani mama mjamzito, mtoto wa umri gani? anatakiwa ale chakula gani kwa afya ya mwili na Ubongo. Jiulize huku Africa tunapendelea kula nini?

Maana haiwezekani ukampa uji wa udaga mtoto wa miezi4 utegemee aje kuwa genius! Au kumnywesha mtoto wa mwaka1 pombe ya ulanzi ili asisumbue, utegemee atakuja kuwa genius.

Huko kusini, watoto wanalishwa ugali wakiwa na miezi4 tu, eti ili asilie lie. So inabidi tuachane na utamaduni wa kula vibaya, tujiulize kila tunachokula kina kazi gani mwilini na tufahamu chakula cha ubongo ni kipi?

Haiwezekani imefika usiku unampakulia mtoto sahani mbili za wali na maharage au ugari, wakati anaenda kulala baada ya muda mfupi, sasa hiyo energy anaenda kuitumia wapi? Usingizini?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nianze kwa kusema wazungu hawatuzid uwezo Wa kufikiri ....
Kila binadam anauwezo ambao akiuendeleza unaleta manufaa mfano
Umewah kujiulza kwa nn mtoto anaefanya vzr darasan ndie anapelekwa nje kuendelezwa kimasomo? Kwa nn asipelekwe asieweza ili kujua tashihi yake?
Mazingira yetu ya malezi ndio huharbu nasaba ....mfano mtu kuwa jambaz hutokana potential ktk ubongo wa mtu kuelekeza nguvu mahali pengine km ujambazi ebu jiulze hyo nguvu ingeelekezwa mahal sahh angepatkana nan?
 
Aliki inahitaji sacrifice,its not
merely a God given blessing
or bought from English based
schools.
Bro hapa umejiongeza kwa kweli lakini uhalisia hauko hivyo, kusema kuwa aliekuumba hana uwezo wa kukupa akili na maarifa zaidi ya wengine kwanza inaonesha ni kiasi gani una roho mbaya, ndio ni mwenye roho mbaya tu ambae hawezi ku appriciate uwezo wa ziada wa wengine, hatuwezi sote kuwa magenius hata kama kukatumika njia gani mbadala kila mtu na akili yake aliyojaaliwa na mungu, kama kipaji chako ni roho mbaya huwezi kuwa msamaria mwema, hatuwezi kukaa hapa kubishana kuwa mitume na wavumbuzi wengine duniani akili zao zilikuwa ni sawa na zetu,,wale walikuwa ni gifted from GOD hata mungu mwenyewe amesema "Nimewafadhilisha baadhi yenu mbele ya wengine" ( Wafadhwalnaa baadhwahum alaa baadh).
 
Aliki inahitaji sacrifice,its not
merely a God given blessing
or bought from English based
schools.
Bro hapa umejiongeza kwa kweli lakini uhalisia hauko hivyo, kusema kuwa aliekuumba hana uwezo wa kukupa akili na maarifa zaidi ya wengine kwanza inaonesha ni kiasi gani una roho mbaya, ndio ni mwenye roho mbaya tu ambae hawezi ku appriciate uwezo wa ziada wa wengine, hatuwezi sote kuwa magenius hata kama kukatumika njia gani mbadala kila mtu na akili yake aliyojaaliwa na mungu, kama kipaji chako ni roho mbaya huwezi kuwa msamaria mwema, hatuwezi kukaa hapa kubishana kuwa mitume na wavumbuzi wengine duniani akili zao zilikuwa ni sawa na zetu,,wale walikuwa ni gifted from GOD hata mungu mwenyewe amesema "Nimewafadhilisha baadhi yenu mbele ya wengine" ( Wafadhwalnaa baadhwahum alaa baadh).
 
.

Taifa la Israel hawa Wanaakili zao tu zitabakiaga kuwepo tu miaka nends miaka rudi .
Unaweza ukatupa reference mkuu ya haya unayosema..... Mbona inaonekana kabila la Han (wachina) wana IQ kubwa kuliko hao waisraeli?? Na kama walikuwa na akili hivi kivipi wauawe na hitler kma panzi bila kujiokoa mapema??
 
Apparently, taifa lenye watu wenye akili sana Duniani ni Israel, hii imesababishwa na chakula wanacho kula yaani ngano isiyokobolewa. Ukuaji wa ubongo wa mtoto unaanzia toka mimba inapotungwa hadi akitimiza miaka 4.

Hivyo basi uwezo wa akili wa mtoto unaweza kuwa determined na aina ya chakula anachokula mama toka akiwa mjamzito. Kuna kamsemo kanasema "what you eat, is who you are", wenzetu wanakula ili waishi, hawaishi ili wale. Wanazingatia wakati gani mama mjamzito, mtoto wa umri gani? anatakiwa ale chakula gani kwa afya ya mwili na Ubongo. Jiulize huku Africa tunapendelea kula nini?

Maana haiwezekani ukampa uji wa udaga mtoto wa miezi4 utegemee aje kuwa genius! Au kumnywesha mtoto wa mwaka1 pombe ya ulanzi ili asisumbue, utegemee atakuja kuwa genius.

Huko kusini, watoto wanalishwa ugali wakiwa na miezi4 tu, eti ili asilie lie. So inabidi tuachane na utamaduni wa kula vibaya, tujiulize kila tunachokula kina kazi gani mwilini na tufahamu chakula cha ubongo ni kipi?

Haiwezekani imefika usiku unampakulia mtoto sahani mbili za wali na maharage au ugari, wakati anaenda kulala baada ya muda mfupi, sasa hiyo energy anaenda kuitumia wapi? Usingizini?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naheshimu mawazo yako ila naona watu wote kwenye huu uzi mnarudia same fact kwamba waisraeli wana akili kuliko mataifa yote je hii data mnaitoa wapi?? Ntashukuru kwa ufafanuzi
 
Back
Top Bottom