Saint_Mwakyoma
JF-Expert Member
- Jun 8, 2019
- 865
- 1,208
- Thread starter
-
- #21
Nitapitia pia hili bandiko asanteKuna familia zina laana ya asili
Hili naliandika kwa uchungu mno kwakuwa waathirika ni wengi na hata pengine baadhi ya wana JF ni wahanga. Maisha yanatufunza mengi yanatuonyesha mengi na yanatufunulia mengi Kuna familia zimebarikiwa, hawa maisha yao ni full shangwe mafanikio na baraka kwao si kitu cha kuuliza , kwao ishu za...www.jamiiforums.com
Umesoma kwa makini kichwa cha habari na mada inasemaje mkuu?. Mada inasema Koo na familia zenye nguvu. Kama tena ni kuhusiana na umoja,upendo na mshikamano,kafungue mada ingine.Kwaio pesa ndio kiini cha umoja, upendo na mshikamano
Wengine wanapesa ila hawana ushirikiano nyakati za changamoto.Nguvu sio kubeba nondo ni hela. Ukoo wenye hela ndio wenye nguvu.
Kama hawana asili ya pesa basi wana mali zingine. Kama zamani ilikuwa unahesabiwa una mali kama ng'ombe,unalima sana,una wake wengi,watoto wengi. Vyote hivyo huwezi kuwa navyo kama huna uwezo. Kama wasukuma na wamasai wengi wana mali,japo wao hawajijui kwamba ni matajiri. Mfano mtu mmoja anamiliki ng'ombe 2000,3000,huyo ni tajiri na familia yake lazima iwe na nguvuNingependa tupate kiini kabisa maana sio kila ukoo unaasili ya pesa
Exquisite.....Asili tu ya Koo, Kuna Koo ziko vizuri kiuchumi na zinaheshimika kwa michango yao chini na zilizo poor nyingi ni zile zilizokuwa na wachawi wengi, wavivu na wasiopendana, pia magonjwa na laana za asili, matambiko hufanya Koo nyingi ziwe masikini kwa kurudishana nyuma na kuwa na elimu ndogo
Kama hawana asili ya pesa basi wana mali zingine. Kama zamani ilikuwa unahesabiwa una mali kama ng'ombe,unalima sana,una wake wengi,watoto wengi. Vyote hivyo huwezi kuwa navyo kama huna uwezo. Kama wasukuma na wamasai wengi wana mali,japo wao hawajijui kwamba ni matajiri. Mfano mtu mmoja anamiliki ng'ombe 2000,3000,huyo ni tajiri na familia yake lazima iwe na nguvu
Tuangalie sana wanaume au wanawake tunaooa au mnaokwenda kuolewa nao.
Kuna mwanamke unaoa na umetoka familia ya kifukara inakufanya urudi kule kule sababu umechagua ambaye ni wa level zile zile za kukubali maisha ya chini.
Yani kwanini hizi koo masikini pia hazina hata mshikamano kama hata uongozi hawaweziZamani koo tajiri (hasa katika ulimwengu wa roho) ndizo zilizotoa Mangi(kiongozi)wa sehemu husika . Ukoo masikini hata kama ni wengi kutoa kiongozi ni shida.
mkuu hii uletwaga na niniWengine wanapesa ila hawana ushirikiano nyakati za changamoto.
Uchawi uliokithiri ndani mwao....Yani kwanini hizi koo masikini pia hazina hata mshikamano kama hata uongozi hawawezi