Clemence Mwandambo
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 1,378
- 1,427
Siasa za kistaarabu ni kuhakikisha unasifia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 Siasa za kistaarabu ni kutompiga spana bibi titi! Ukimkandia tu vijana wake wanakuvaaIli watu wote tuwe kwenye ukurasa mmoja wa uelewa bila kujali itikadi zetu za kisiasa, elimu, jinsia na hata makabila na kanda zetu tunakotoka ni lazima neno "kufanya siasa za kistaarabu" lipewe tafsiri yake ili wadau wote wafahamu maana yake ili kama mtu mkifanya siasa zisizokuwa za kistaarabu kila mtu awe shahidi.
Siasa za kistaarabu ni nini na ni zipi?
Je, kufanya siasa zisizo za kistaarabu ni kufanya nini?
Je, ni nani anatakiwa kufanya hizo siasa za kistaarabu?
Je, ni nani atakaesema wewe umefanya siasa zisizo za kistaarabu?
Je, ni nani atawaadhibu wote wanaofanya siasa zisizo za kistaarabu bila kujali ni wa chama gani?
Na je, kusema uongo, kufichua ukweli ambao ulifichwa, kuiba kura, kuengua wagombea, kutumia mali ya umma kwenye siasa za vyama, kuzuia mikutanp ya vyama na maandamano na tumumia maneno ya kuudhi kwenye siasa ni sehemu ya siasa zisizo za kistaarabu pia?
Taifa lazima lisonge mbele na lionekane na wote likisonga mbele.
Watu washindane Kwa hoja,hakuna matusi,uzushi na uongo sio kusema tu ndege kubwa imetua Serengeti inabeba wanyama bila ushahidi. Na Serikali isiteke na kuua raia wake wanaoikosoa bali wawajibu wananchi kwa ushahidi kwamba hii ndege haibebi wanyama bali inakuja kufanya kitu fulani.
"Sote tunajenga nyumba Moja hatuna haja ya kugombania fito" by JK.
Uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, lakini kuwa watu wanadhani na kuwaaminisha watu kuwa bila wao kuwa madarakani taifa litasambaratika, watu watapigana na muungano utasambaratika,Watu washindane Kwa hoja,hakuna matusi,uzushi na uongo sio kusema tu ndege kubwa imetua Serengeti inabeba wanyama bila ushahidi. Na Serikali isiteke na kuua raia wake wanaoikosoa bali wawajibu wananchi kwa ushahidi kwamba hii ndege haibebi wanyama bali inakuja kufanya kitu fulani.
"Sote tunajenga nyumba Moja hatuna haja ya kugombania fito" by JK.
Kama wanasiasa wote tutatenda kama hivi Tanzania itabaki kuwa kubwa kuliko vyama vyetu. Tufike mahali tujione kama watu wote wanaojenga nyumba Yao ya kulala na familia zao. Kila mtu awe na uelewa sawa juu ya nini ni siasa za kistaarabu, nini maana ya muungano na nini maana ya uchumi wetu na tunachokitaka kitokee bila kujali ni Chama gani kinaongiza nchi. Mbona wenzetu kule Ulaya, Marekani na kwingine wanaweza?Siasa za kiustarabu lazima zizingatie mila na desturi za kitanzania na kiafrika,uungwana,lugha isiyo ya kuudhi kwa mtu binafsi na jamii, kukwaza, kumkwaza mwingine, dharau,matusi,uzushi na hii ni kwa pande zote. Ukweli,uwazi na lugha zenye kuleta uwajibikaji, kukemea,na kufichua maovu kwa lugha ya staha haiwezi kuwa sehemu ya lugha isiyo ya kiustaarabu kwenye majukwaa. Kufuata Kanuni na Taratibu za uchaguzi ni vichocheo vya siasa zenye ustaarabu, maridhiano na kuheshimiana, kushindana kwa sera na hoja,mantiki,kukosoa kwa ushahidi wa takwimu na vielelezo, na kwa kuzingatia katiba,sheria ili HAKI na WAJIBU vitamalaki katika siasa na uongozi nao ni ustaarabu pia,hivyo vigezo vya siasa za kiustaarabu ni pana ila kipimo ni pamoja na jamii kubwa inakuonaje na siasa zako unavyoziendesha iwe chama tawala au cha ushindani? Huna budi kujitafakari kwa maslahi mapana ya nchi
Napenda kutoa shukurani zangu za dhati, kwa Mada hii.Ili watu wote tuwe kwenye ukurasa mmoja wa uelewa bila kujali itikadi zetu za kisiasa, elimu, jinsia na hata makabila na kanda zetu tunakotoka ni lazima neno "kufanya siasa za kistaarabu" lipewe tafsiri yake ili wadau wote wafahamu maana yake ili kama mtu mkifanya siasa zisizokuwa za kistaarabu kila mtu awe shahidi.
Siasa za kistaarabu ni nini na ni zipi?
Je, kufanya siasa zisizo za kistaarabu ni kufanya nini?
Je, ni nani anatakiwa kufanya hizo siasa za kistaarabu?
Je, ni nani atakaesema wewe umefanya siasa zisizo za kistaarabu?
Je, ni nani atawaadhibu wote wanaofanya siasa zisizo za kistaarabu bila kujali ni wa chama gani?
Na je, kusema uongo, kufichua ukweli ambao ulifichwa, kuiba kura, kuengua wagombea, kutumia mali ya umma kwenye siasa za vyama, kuzuia mikutanp ya vyama na maandamano na tumumia maneno ya kuudhi kwenye siasa ni sehemu ya siasa zisizo za kistaarabu pia?
Taifa lazima lisonge mbele na lionekane na wote likisonga mbele.
Tafsiri yake ni kufata taratibu na kanuni zilizopo katika katiba ya chama cha siasa ikizingatia sheria za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Ili watu wote tuwe kwenye ukurasa mmoja wa uelewa bila kujali itikadi zetu za kisiasa, elimu, jinsia na hata makabila na kanda zetu tunakotoka ni lazima neno "kufanya siasa za kistaarabu" lipewe tafsiri yake ili wadau wote wafahamu maana yake ili kama mtu mkifanya siasa zisizokuwa za kistaarabu kila mtu awe shahidi.
Siasa za kistaarabu ni nini na ni zipi?
Je, kufanya siasa zisizo za kistaarabu ni kufanya nini?
Je, ni nani anatakiwa kufanya hizo siasa za kistaarabu?
Je, ni nani atakaesema wewe umefanya siasa zisizo za kistaarabu?
Je, ni nani atawaadhibu wote wanaofanya siasa zisizo za kistaarabu bila kujali ni wa chama gani?
Na je, kusema uongo, kufichua ukweli ambao ulifichwa, kuiba kura, kuengua wagombea, kutumia mali ya umma kwenye siasa za vyama, kuzuia mikutanp ya vyama na maandamano na tumumia maneno ya kuudhi kwenye siasa ni sehemu ya siasa zisizo za kistaarabu pia?
Taifa lazima lisonge mbele na lionekane na wote likisonga mbele.
Ulianza kuelezea vizuri, Unauelewa. bahati mbaya sio mfano mzuri.Tafsiri yake ni kufata taratibu na kanuni zilizopo katika katiba ya chama cha siasa ikizingatia sheria za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tatizo lililopo watu wameaminishwa kuwa ni wapinzani TU wasiofanya siasa za kistaarabu. Polisi, mwajili wa vyama, maDC, RC, wakurugenzi, mawaziri na wengi TU wanaamini hivyo. Hii inasababisha shida nyingi sana kwenye siasa zetu za kistaarabu. Anaewaita watu malofa, dogs, wahuni na majina mengine ya kuudhi, wanaoengua wagombea, na wanaoiba kura hawaonekani wanakosea.Tafsiri yake ni kufata taratibu na kanuni zilizopo katika katiba ya chama cha siasa ikizingatia sheria za Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Brow uwezi kuwa na usawa wa kisiasa angali anaeifanya iyo siasa ajui nn anachokifanya.Tatizo lililopo watu wameaminishwa kuwa ni wapinzani TU wasiofanya siasa za kistaarabu. Polisi, mwajili wa vyama, maDC, RC, wakurugenzi, mawaziri na wengi TU wanaamini hivyo. Hii inasababisha shida nyingi sana kwenye siasa zetu za kistaarabu. Anaewaita watu malofa, dogs, wahuni na majina mengine ya kuudhi, wanaoengua wagombea, na wanaoiba kura hawaonekani wanakosea.
Stick on the Topic. Usiterereke.Uchaguzi ni kila baada ya miaka 5, lakini kuwa watu wanadhani na kuwaaminisha watu kuwa bila wao kuwa madarakani taifa litasambaratika, watu watapigana na muungano utasambaratika,
Hongera mkuu 'kavulata' ni mada makini sana hii.Ili watu wote tuwe kwenye ukurasa mmoja wa uelewa bila kujali itikadi zetu za kisiasa, elimu, jinsia na hata makabila na kanda zetu tunakotoka ni lazima neno "kufanya siasa za kistaarabu" lipewe tafsiri yake ili wadau wote wafahamu maana yake ili kama mtu mkifanya siasa zisizokuwa za kistaarabu kila mtu awe shahidi.
Siasa za kistaarabu ni nini na ni zipi?
Je, kufanya siasa zisizo za kistaarabu ni kufanya nini?
Je, ni nani anatakiwa kufanya hizo siasa za kistaarabu?
Je, ni nani atakaesema wewe umefanya siasa zisizo za kistaarabu?
Je, ni nani atawaadhibu wote wanaofanya siasa zisizo za kistaarabu bila kujali ni wa chama gani?
Na je, kusema uongo, kufichua ukweli ambao ulifichwa, kuiba kura, kuengua wagombea, kutumia mali ya umma kwenye siasa za vyama, kuzuia mikutanp ya vyama na maandamano na tumumia maneno ya kuudhi kwenye siasa ni sehemu ya siasa zisizo za kistaarabu pia?
Taifa lazima lisonge mbele na lionekane na wote likisonga mbele.
Kiongozi kuhadaa, kufanya ujanja ujanja na kutumia lugha tamutamu kuahidi anayojuwa hayawezi kutimizwa, huku akilenga chama chake kuendelea kunufaika na hadaa hizo, ambazo hazimtii mtu yeyote kilema, wala kumsweka ndani; hizi zinaweza kuonekana kuwa ni siasa za kistaarabu kwa watu wengi!Ila kuiba kura, kuteka wapinzani, kuengua wapinzani kwa mizengwe kwenye chaguzi ni sehemu ya siasa za kistaarabu!