Ni Nini tofauti kati ya Guest house, Lodge, Hoteli na Motel?

Ni Nini tofauti kati ya Guest house, Lodge, Hoteli na Motel?

Kwa maana halisi japo wabongo tumeharibu maana

1. Grocery:- unanunua pombe na kwenda kunywea kwenu.
Yaani hunywei hapo, unaenda kunywea kwenu.

2. Bar = unanunua pombe na kunywea hapo. Unanunua na kunywa hapohapo.

3. Pub = Public = sehemu ambayo wakubwa wanakutana kunywa pombe ila watoto nao wanakuwepo (public). Kwamba watu wazima wanakutana na kunywa mitungi pamoja na watoto (ila watoto hawanywi) = Public Meeting.

Ila kibongo bongo TUMEHARIBU MAANA.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Groceries ni items za nyumbani za kupika, usafi na za matumizi kama hayo mfano mboga mboga na matunda na vitu kama ketchup, sabuni, tissur n.k yani vitu vinavyoendana na hivyo.

So grocery store sio sehemu ya kununua pombe bali ni sehemu ya kununua matumizi ya kawaida ya kila siku nyumbani.

Bar ni sehemu ndani ya hotel, restaurant au hata pub ambapo vinywaji ndio vinapouzwa. Yani kiujumla bar ni counter tu pale na sio jengo zima.
 
Kwa ninavyolewa restaurant ipo Public yaani kila mtu anaruhusiwa kwenda kununua chakula.
Cafe ni sehemu mahususi kwaajili ya chai au kahawa au maziwa au cappuccino yaani kiufupi kifungua kinywa.
Canteen ni kwaajili ya organizational fulani kama vile shule au kampuni.
Catering ni huduma ya kusambaza chakula kwenye masharehe au events mbalimbali.
Kuna cafe zinapika msosi kuanzia asubuhi mpaka usiku au ndio mambo ya bongo 🙂
 
Groceries ni items za nyumbani za kupika, usafi na za matumizi kama hayo mfano mboga mboga na matunda na vitu kama ketchup, sabuni, tissur n.k yani vitu vinavyoendana na hivyo.

So grocery store sio sehemu ya kununua pombe bali ni sehemu ya kununua matumizi ya kawaida ya kila siku nyumbani.

Bar ni sehemu ndani ya hotel, restaurant au hata pub ambapo vinywaji ndio vinapouzwa. Yani kiujumla bar ni counter tu pale na sio jengo zima.
Niamini mimi, NIKO SAHIHI.
Achana na yako.

Kuna tofauti katika ya Groceries/Kiosk na Grocery.

Wewe umemaanisha Kiosk/Groceries.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Wakuu ebu nipeni majawabu kujifunza hakuishi. karibuni
Tofauti kati ya Guest House, Lodge, Hoteli, na Moteli zinahusiana na huduma, hadhi, malengo ya matumizi, na mazingira yake. Hapa kuna ufafanuzi wa kila moja:
  1. Guest House
    • Ni nyumba ya wageni inayotoa malazi kwa muda mfupi au mrefu.
    • Huduma ni za kawaida na mara nyingi ni za kifamilia au binafsi.
    • Inaweza kuwa na vyumba vichache na mara nyingi haijafikia hadhi ya hoteli.
    • Chakula kinaweza kutolewa au wageni wakajipikia.
    • Inafaa kwa wageni wanaotafuta utulivu na malazi ya gharama nafuu.
  2. Lodge
    • Ni malazi yanayopatikana zaidi kwenye maeneo ya kitalii, vijijini, au hifadhi za wanyama.
    • Huwa na mazingira ya asili kama misitu, milima, au karibu na mbuga za wanyama.
    • Inaweza kuwa ya kifahari au ya kawaida kulingana na hadhi yake.
    • Inatoa huduma za malazi, chakula, na wakati mwingine shughuli za kitalii kama safari za wanyama.
  3. Hoteli
    • Ni taasisi rasmi ya malazi inayotoa huduma za kiwango cha juu zaidi.
    • Ina vyumba vingi na viwango tofauti vya huduma, kutoka hoteli za kawaida hadi zile za nyota 5.
    • Huduma ni pamoja na chakula, vinywaji, usafi wa vyumba, maegesho, na wakati mwingine burudani kama bwawa la kuogelea na mazoezi.
    • Inapatikana mijini, pembezoni mwa miji, au karibu na vivutio vya kitalii.
  4. Moteli (Motel)
    • Neno linatokana na maneno "Motor" na "Hotel", ikimaanisha hoteli ya madereva au wasafiri wa barabarani.
    • Mara nyingi hupatikana pembezoni mwa barabara kuu.
    • Ina miundombinu inayoruhusu magari kupaki karibu na vyumba vya wageni kwa urahisi.
    • Huduma zake ni za msingi, zikiwa na malazi na wakati mwingine kifungua kinywa au chakula rahisi.
    • Inalenga zaidi watu wanaosafiri kwa muda mfupi na wanahitaji sehemu ya kupumzika usiku mmoja au zaidi.
Kwa ufupi:
  • Guest House ni ya kifamilia na isiyo rasmi sana.
  • Lodge inapatikana zaidi maeneo ya kitalii na mara nyingi ina mandhari ya asili.
  • Hoteli ni ya huduma za kiwango cha juu na inapatikana sehemu mbalimbali.
  • Moteli ni malazi ya msingi kwa wasafiri, hasa pembezoni mwa barabara kuu.
 
Serengeti lodge
images (21).jpeg
 

Attachments

  • images (21).jpeg
    images (21).jpeg
    46.5 KB · Views: 1
-Hotel ni sehemu unayoweza kupata huduma ya chakula, vinywaji na maladhi kwa pamoja na huduma nyinginezo mfano huduma za utalii, kuvua kwa hotel zilizo kando ya bahari , SPA massage nk.
star(nyota)/hadhi ya hotel inapewa kulingana na huduma ya hotel kwa ujumla haiangaliwi majengo yake, hotel inaweza ikawa ghorofa lakini isiwe na hadhi yoyote.

Lodge hizi ni aina ya hotel zinazopatikana nje ya mji.

Motel hizi ni aina ya hotel zinatakiwa ziwe kwenye main road zinazo unganisha nchi, mikoa kwa ajili ya wasafiri na madereva. Mara nyingi zinatakiwa ziwe na kituo Cha mafuta karibu na huduma za service za magari

Guest house hizi zinatoa huduma ya maladhi tu.

Resort hizi ni aina ya hotel zinazopatikana pembezoni mwa bahari, ziwa au mto.
 
Wakuu ebu nipeni majawabu kujifunza hakuishi. karibuni
1. Guest house ni nyumba ya kulala wageni, sio lazima iwe na facilities nyengine kama vyakula na vinywaji.

2. Lodge na motel ni kitu kimoja, kiswahili rahisi ni hotel ndogo, Motel ni hotel ndogo ambazo zipo karibu na barabara zinatotarget wasafiri, Lodge inaweza kuwa ndani ndani, hizi hutoa huduma za kulala + huduma nyengine kama vyakula na Vinywaji.

3. Hotel ni Lodge kubwa ambazo zina vyumba vya kutosha, zinatoa huduma za kula za kisasa, vinywaji na service nyengine.
 
1. Guest house ni nyumba ya kulala wageni, sio lazima iwe na facilities nyengine kama vyakula na vinywaji.

2. Lodge na motel ni kitu kimoja, kiswahili rahisi ni hotel ndogo, Motel ni hotel ndogo ambazo zipo karibu na barabara zinatotarget wasafiri, Lodge inaweza kuwa ndani ndani, hizi hutoa huduma za kulala + huduma nyengine kama vyakula na Vinywaji.

3. Hotel ni Lodge kubwa ambazo zina vyumba vya kutosha, zinatoa huduma za kula za kisasa, vinywaji na service nyengine.
Hapa mkuu umechanganya madesa hizo zote zinaingia kwenye hotel ila zinatofautiana majina kulingana na location tu lakini kitu ni kilekile kimoja.
 
-Hotel ni sehemu unayoweza kupata huduma ya chakula, vinywaji na maladhi kwa pamoja na huduma nyinginezo mfano huduma za utalii, kuvua kwa hotel zilizo kando ya bahari , SPA massage nk.
star(nyota)/hadhi ya hotel inapewa kulingana na huduma ya hotel kwa ujumla haiangaliwi majengo yake, hotel inaweza ikawa ghorofa lakini isiwe na hadhi yoyote.

Lodge hizi ni aina ya hotel zinazopatikana nje ya mji.

Motel hizi ni aina ya hotel zinatakiwa ziwe kwenye main road zinazo unganisha nchi, mikoa kwa ajili ya wasafiri na madereva. Mara nyingi zinatakiwa ziwe na kituo Cha mafuta karibu na huduma za service za magari

Guest house hizi zinatoa huduma ya maladhi tu.

Resort hizi ni aina ya hotel zinazopatikana pembezoni mwa bahari, ziwa au mto.
Ungependa kutembelea ipi?
 
Siyo lazima unipe majibu wewe wapo walio elewa nilimanisha Nini.

Sirekebishi
Majibu ushapata hamna kitu kinaitwa montell bwege wewe na usirekebishe ila ujue hakuna montell hata mtoto wa darasa la 5 atakushinda kwenye mtihani kwa hiyo lugha unaandika.
Na ukute we ni Baba wa familia huku kichwani una uji tu.
 
Back
Top Bottom