Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Kwenye business field kuna Grocery Vs Groceries, ni maneno mawili tofauti.Kama wameandika hivyo kuhusu Grocery ni makosa. Kuvamia lugha za watu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye business field kuna Grocery Vs Groceries, ni maneno mawili tofauti.Kama wameandika hivyo kuhusu Grocery ni makosa. Kuvamia lugha za watu.
Tafuta afisa biashara wa hiyo halmashauri ulipo akupe elimu.Hata vitabu huhaririwa, sheria hutenguliwa
Atakutana na elimu iliyoshibaTafuta afisa biashara wa hiyo halmashauri ulipo akupe elimu.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Napokea nondo za maana kabisaGroceries ni items za nyumbani za kupika, usafi na za matumizi kama hayo mfano mboga mboga na matunda na vitu kama ketchup, sabuni, tissur n.k yani vitu vinavyoendana na hivyo.
So grocery store sio sehemu ya kununua pombe bali ni sehemu ya kununua matumizi ya kawaida ya kila siku nyumbani.
Bar ni sehemu ndani ya hotel, restaurant au hata pub ambapo vinywaji ndio vinapouzwa. Yani kiujumla bar ni counter tu pale na sio jengo zima.
Mbogo ajipakulie msosi mwnyewe mkuu? hata asome vipi yeye anaamini kushiba hadi abakize ndo atajua hapa sasa nimeshibaMambo ya bongo hayo watu wanadandia tu lugha za watu. Cafe ni kwaajili ya kifungua kinywa na cafeteria ni sehemu ambayo watu wanajipakulia chakula wenyewe.
afutatu tuSubiri kwanza, Kwani wewe bajeti yako ni shi ngapi nikupe location?
Heri uji mkuu nina mavi mtupuMajibu ushapata hamna kitu kinaitwa montell bwege wewe na usirekebishe ila ujue hakuna montell hata mtoto wa darasa la 5 atakushinda kwenye mtihani kwa hiyo lugha unaandika.
Na ukute we ni Baba wa familia huku kichwani una uji tu.
Guest ikijiongeza sana ina kunguniHotel na motel ni za gorofa
Lodge ina tiles nzuri na madirisha ya vioo
Guest chooni maji hayatoki, shuka zimechanika
Mkuu lakini kuna mara moja moja huwa tunaenda semina tunalala hoteli au hujawahi kubahatika aseeGuest House ni ile ya kulala Masikini kama Mimi na Wewe, Lodge ni ile ya kulala ambao wanaanza sasa kuamka Kiuchumi, Hoteli ni ile ambayo wanalala Watu ambao tayari Uchumi wao wa Kimaisha umeshasimama (angalau wanajiweza) na Motel ni ile ambayo Wanalala Matajiri au Watu ambao Uchumi wao si wa Wasiwasi, wa Kubahatisha na wa Mawazo.
Nikiwa kama Mbobezi Tukuka wa Guest House zenye Mende, Kunguni, Mba na Mbu naomba niwaachie na Wengine waweze kuendelea tafadhali.
-Hotel ni sehemu unayoweza kupata huduma ya chakula, vinywaji na maladhi kwa pamoja na huduma nyinginezo mfano huduma za utalii, kuvua kwa hotel zilizo kando ya bahari , SPA massage nk.
star(nyota)/hadhi ya hotel inapewa kulingana na huduma ya hotel kwa ujumla haiangaliwi majengo yake, hotel inaweza ikawa ghorofa lakini isiwe na hadhi yoyote.
Lodge hizi ni aina ya hotel zinazopatikana nje ya mji.
Motel hizi ni aina ya hotel zinatakiwa ziwe kwenye main road zinazo unganisha nchi, mikoa kwa ajili ya wasafiri na madereva. Mara nyingi zinatakiwa ziwe na kituo Cha mafuta karibu na huduma za service za magari
Guest house hizi zinatoa huduma ya maladhi tu.
Resort hizi ni aina ya hotel zinazopatikana pembezoni mwa bahari, ziwa au mto.
Kuna maradhi, maladhi na malazi 🐒Maladhi! 😁😄😜
Wasomi wetu wa siku hizi mnakotupeleka mnapajua wenyewe, akiyamungu!
Nimecheka hadi kiuno kimejamGuest house Mali zako zikipotea utajua mwenyewe.
Kumbe unaelewa, sasa nini tatizo madam?Kuna maradhi, maladhi na malazi 🐒
Nenda get house kakutane na vitanda vinanesa nesa ukaondoe jam ya kiunoNimecheka hadi kiuno kimejam