Ni Nini tofauti kati ya Guest house, Lodge, Hoteli na Motel?

Ni Nini tofauti kati ya Guest house, Lodge, Hoteli na Motel?

-Hotel ni sehemu unayoweza kupata huduma ya chakula, vinywaji na maladhi kwa pamoja na huduma nyinginezo mfano huduma za utalii, kuvua kwa hotel zilizo kando ya bahari , SPA massage nk.
star(nyota)/hadhi ya hotel inapewa kulingana na huduma ya hotel kwa ujumla haiangaliwi majengo yake, hotel inaweza ikawa ghorofa lakini isiwe na hadhi yoyote.

Lodge hizi ni aina ya hotel zinazopatikana nje ya mji.

Motel hizi ni aina ya hotel zinatakiwa ziwe kwenye main road zinazo unganisha nchi, mikoa kwa ajili ya wasafiri na madereva. Mara nyingi zinatakiwa ziwe na kituo Cha mafuta karibu na huduma za service za magari

Guest house hizi zinatoa huduma ya maladhi tu.

Resort hizi ni aina ya hotel zinazopatikana pembezoni mwa bahari, ziwa au mto.
Excellent madam unajua mpaka unaboa, we ni mtu wa hospitality na recreations.
 
1. Guest House


• Ni nyumba ya wageni ambayo mara nyingi huwa na vyumba vichache kwa ajili ya malazi.


• Huduma zinazotolewa ni za kawaida kama chakula na usafi, lakini si za kiwango cha juu kama hoteli.


• Mara nyingi ni sehemu ya biashara ndogo au familia inayowakaribisha wageni kwa gharama nafuu.


2. Lodge


• Inahusiana zaidi na malazi ya kitalii, hasa maeneo ya asili kama hifadhi za wanyama na mbuga za taifa.


• Inaweza kuwa na huduma za kifahari kulingana na hadhi yake, ikiwa na nyumba za mbao au mahema ya kifahari (luxury tents).


• Inalenga zaidi watalii na wapenzi wa mazingira.


3. Hoteli


• Ni sehemu kubwa ya biashara ya malazi inayotoa huduma mbalimbali kama vyumba vya kulala, mgahawa, baa, spa, na hata kumbi za mikutano.


• Huwa na hadhi tofauti (kama nyota 3, 4, au 5) kulingana na ubora wa huduma na vifaa vilivyopo.


• Inahudumia wageni wa aina tofauti, kuanzia wasafiri wa biashara hadi watalii wa kawaida.


4. Moteli


• Neno linatokana na “Motor” na “Hotel,” na linamaanisha sehemu za malazi zilizo karibu na barabara kuu kwa ajili ya wasafiri wa safari ndefu.


• Vyumba vyake mara nyingi huwa na maegesho ya magari karibu na mlango wa chumba.


• Huduma zinazotolewa ni za msingi, zikilenga kutoa sehemu ya kupumzika kwa wasafiri wa muda mfupi.
 
1. Guest House


• Ni nyumba ya wageni ambayo mara nyingi huwa na vyumba vichache kwa ajili ya malazi.


• Huduma zinazotolewa ni za kawaida kama chakula na usafi, lakini si za kiwango cha juu kama hoteli.


• Mara nyingi ni sehemu ya biashara ndogo au familia inayowakaribisha wageni kwa gharama nafuu.


2. Lodge


• Inahusiana zaidi na malazi ya kitalii, hasa maeneo ya asili kama hifadhi za wanyama na mbuga za taifa.


• Inaweza kuwa na huduma za kifahari kulingana na hadhi yake, ikiwa na nyumba za mbao au mahema ya kifahari (luxury tents).


• Inalenga zaidi watalii na wapenzi wa mazingira.


3. Hoteli


• Ni sehemu kubwa ya biashara ya malazi inayotoa huduma mbalimbali kama vyumba vya kulala, mgahawa, baa, spa, na hata kumbi za mikutano.


• Huwa na hadhi tofauti (kama nyota 3, 4, au 5) kulingana na ubora wa huduma na vifaa vilivyopo.


• Inahudumia wageni wa aina tofauti, kuanzia wasafiri wa biashara hadi watalii wa kawaida.


4. Moteli


• Neno linatokana na “Motor” na “Hotel,” na linamaanisha sehemu za malazi zilizo karibu na barabara kuu kwa ajili ya wasafiri wa safari ndefu.


• Vyumba vyake mara nyingi huwa na maegesho ya magari karibu na mlango wa chumba.


• Huduma zinazotolewa ni za msingi, zikilenga kutoa sehemu ya kupumzika kwa wasafiri wa muda mfupi.
Vyote ni kitu kimoja location ndiyo inasema iitwe hotel hiyo iwe lodge ,motel, inns au resort.
Msingi wa hotel lazima iwe na vinywaji(bar), iwe na chakula (restaurant) na rooms. Vikishakamilika hivyo hata ikiwa na vyumba 10 inajitosheleza kuitwa hotel...
Star ya hotel inaangalia service kwa ujumla ndio itaipa hotel iwe nyota ngapi au isiwe na nyota kabisa iwe hotel ya kawaida.
 
Wakuu ebu nipeni majawabu kujifunza hakuishi. karibuni
Guest House ni ile ya kulala Masikini kama Mimi na Wewe, Lodge ni ile ya kulala ambao wanaanza sasa kuamka Kiuchumi, Hoteli ni ile ambayo wanalala Watu ambao tayari Uchumi wao wa Kimaisha umeshasimama (angalau wanajiweza) na Motel ni ile ambayo Wanalala Matajiri au Watu ambao Uchumi wao si wa Wasiwasi, wa Kubahatisha na wa Mawazo.

Nikiwa kama Mbobezi Tukuka wa Guest House zenye Mende, Kunguni, Mba na Mbu naomba niwaachie na Wengine waweze kuendelea tafadhali.
 
Vyote ni kitu kimoja location ndiyo inasema iitwe hotel hiyo iwe lodge ,motel, inns au resort.
Msingi wa hotel lazima iwe na vinywaji(bar), iwe na chakula (restaurant) na rooms. Vikishakamilika hivyo hata ikiwa na vyumba 10 inajitosheleza kuitwa hotel...
Star ya hotel inaangalia service kwa ujumla ndio itaipa hotel iwe nyota ngapi au isiwe na nyota kabisa iwe hotel ya kawaida.
Hivi ulishawai kukata leseni au unahadithiwa.Kama kila gari ni gari basi kusingekuwa na mabasi ,sedani,hatch,malori na n.k
 
Hivi ulishawai kukata leseni au unahadithiwa.Kama kila gari ni gari basi kusingekuwa na mabasi ,sedani,hatch,malori na n.k
Ok boss
Ila Kuna hotel zina 28 rooms
Zina four star
Halafu Kuna hotel zina zaidi ya vyumba 50 Zina one star
Naongea kitu ninachokiishi sio kusikia.
 
Wakuu ebu nipeni majawabu kujifunza hakuishi. karibuni
Gust hadhi yake ndogo
Lodge hadhi ni bora kuliko guest
Motel ni sehemu ya malazi na chakula na hadhi yake kubwa zaidi

Ni zawa na zahanati, kituo afya, district hospital, regional hospital/referral and national hospital
 
Wakuu ebu nipeni majawabu kujifunza hakuishi. karibuni
Ukishasema Guest house na Lorge tayari umemaliza tafsiri na tofauti zake.

Guest house maana yake ni nyumba ya wageni. Yaani nyumba special kwa ajili ya wageni' Inakuwa na vyumba kwa ajili ya dharula ya kulaza wageni wasio na pakulala wala pakufikia... Gues house ni vyumba vya hadhi ya kawaida maana ni vyumba vya lengo la dharula (emergency rooms)
Ko mkienda kushinduana na Bebez wako Guest ujue mmekosea matumizi ya room ikiwa wote ni wenyeji.. au kipato chenu hakijaryhusu kwenda sehem inayowafaa.

LORGE, inatokana na neno Luxury house' yaani ni nyumba special kwa ajili ya starehe kwa mtu yeyote anaehitaji kurefresh mind ndan ya chumba anaweza kwenda lorge bila kujali kama ni mwenyeji au mgenj kwa maana kwamba hadhi ya lorge ni kubwa na lazima iwe na hadhi nzuri na mazingira ya kustarehesha

Kuna watu wanachanganya Mtu anajenga kinyumba cha kulala wageni anakiita lorge..

Lorge sio kwa ajili ya wageni bali ni special kwa mtu yeyote kwenda kustarehe.

HOTEL . Ni eneo speal kwa ajili ya kupata chakula na kupumzika
MOTEL, neno Mo linasimama kuwakilisha more' hapa inasema ni zaidi ya hotel kwa hiyo ukitaka huduma za ziada na starehe zaid ni moltel kiufupi molten ni sehem ya hadhi kubwa kuliko hotel.
 
Back
Top Bottom