Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LIKE Niku ADD Haya madude siyo masharti yake hutayaweza itafika siku utakata tamaa!
Ndio masharti ya majini yanavyotolewa mkuu au kuna siri nyingine hapo?
Bwana YESU Kristo hayupoo duniani atakuwaje na Majini yote?Kwani yeye ndie aliye Waumba hao Majini? Mnadanganywa na Wachungaji wanaotumia Uchawi kwa kumsingizia Bwana Yesu Kristo eti ndio anaye ponya watu na kuwafukuza Majini wachungaji wanawaongopea wanatumia uchawi kuwafukuza mapepo. Sio nguvu za Bwana Yesu.Walah Yesu Kristo ndiye mwamba na majini yote pamoja na mkubwa wao shetani humsujudu YEYE. Unataka mali na mafanikio pamoja na furaha ya kweli? Yote hayo yapatikana bure kwa Yesu Kristo!
Walah Yesu Kristo ndiye mwamba na majini yote pamoja na mkubwa wao shetani humsujudu YEYE. Unataka mali na mafanikio pamoja na furaha ya kweli? Yote hayo yapatikana bure kwa Yesu Kristo!
Jini wala Hana kazi kumpata n kumfuga,ukiwa tayaari Basi ww nenda kwenye mti usokuwa mkubwa kdg,weka vitu vitamu km halua,asali,tende n muwa kwa muda wa siku Saba,siku ya nane usipeleke usiku wk jini atakufuata kokote ulipo,akikuuliza kwa nn hujaniletea chakula leo?hapo Ndio utampa masharti yk uyatakayo,kwa malezo zaidi nitafuta private
Jini ni ka uchafu kadogo sana yani unnataka kiduduwasha ambacho Mungu kakupa uweza wa kukitawala ndio kije kikupe utajiri?? jiulize hayo majin yameumbwa na nan? je huyo aliyeyaumba majini na vi uchafu shetani na utumbo vibwengo vyote yeye hawez kukupa utajir zaid ya ilo jini unalotaka ambalo mbele za Mungu ni kijikitu kidogo sana?? acha ujinga utajiri wa kudumu hutoka kwa Yesu pekee sio vijini