Ni njia gani nifuate nimpate Jini?

Ni njia gani nifuate nimpate Jini?

Squidward

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
7,828
Reaction score
9,546
Habari wana JF jukwaa la intelijinsia..

Eti nifate steps zipi ili niweze kumpata jini na je nikishampata nifate masharti yapi ili asitoroke..

NB: Namtafuta jinni wa kusimamia biashra zangu pia tufanye mishe mishe za town

Nawasilisha
 
Habari

husika na kichwa cha habari hapo juu.
nasaka jini wa kusimamia biashara zangu na ansaidie kwenye mishe mishe zangu za town je nikanunue vifaa gani na hatua zipi nifate ili niweze kuliita na kuamrisha?

pia nifate masharti gani ili asikinukishe/asinidhuru

itakua vyema zikamwagwa data hapa ili wengine wapate kujua nini cha kufanya

nawasilisha kwenu
 
LIKE Niku ADD Haya madude siyo masharti yake hutayaweza itafika siku utakata tamaa!
 
Last edited by a moderator:
Kumbe kuna wataalamu wa majini humu.
 
Ndio masharti ya majini yanavyotolewa mkuu au kuna siri nyingine hapo?

Nimesema Hilo ni Moja ya Masharti madogo sana.
Yapo mengine km Huna Ubavu Unaweza Kuhara damu.

Km unahitaji we sema tu.
 
Walah Yesu Kristo ndiye mwamba na majini yote pamoja na mkubwa wao shetani humsujudu YEYE. Unataka mali na mafanikio pamoja na furaha ya kweli? Yote hayo yapatikana bure kwa Yesu Kristo!
Bwana YESU Kristo hayupoo duniani atakuwaje na Majini yote?Kwani yeye ndie aliye Waumba hao Majini? Mnadanganywa na Wachungaji wanaotumia Uchawi kwa kumsingizia Bwana Yesu Kristo eti ndio anaye ponya watu na kuwafukuza Majini wachungaji wanawaongopea wanatumia uchawi kuwafukuza mapepo. Sio nguvu za Bwana Yesu.
 
Jini wala Hana kazi kumpata n kumfuga,ukiwa tayaari Basi ww nenda kwenye mti usokuwa mkubwa kdg,weka vitu vitamu km halua,asali,tende n muwa kwa muda wa siku Saba,siku ya nane usipeleke usiku wk jini atakufuata kokote ulipo,akikuuliza kwa nn hujaniletea chakula leo?hapo Ndio utampa masharti yk uyatakayo,kwa malezo zaidi nitafuta private
 
Jini ni ka uchafu kadogo sana yani unnataka kiduduwasha ambacho Mungu kakupa uweza wa kukitawala ndio kije kikupe utajiri?? jiulize hayo majin yameumbwa na nan? je huyo aliyeyaumba majini na vi uchafu shetani na utumbo vibwengo vyote yeye hawez kukupa utajir zaid ya ilo jini unalotaka ambalo mbele za Mungu ni kijikitu kidogo sana?? acha ujinga utajiri wa kudumu hutoka kwa Yesu pekee sio vijini
 
Walah Yesu Kristo ndiye mwamba na majini yote pamoja na mkubwa wao shetani humsujudu YEYE. Unataka mali na mafanikio pamoja na furaha ya kweli? Yote hayo yapatikana bure kwa Yesu Kristo!

Teh teh teh.
Ingekuwa ni hivyo Gwajima angeomba michango kwa Wanakondoo? Au wale MAASKOFU wangekwiba pesa za Escrow?

Wacheni kutuletea Usanii hapa.
 
Jini wala Hana kazi kumpata n kumfuga,ukiwa tayaari Basi ww nenda kwenye mti usokuwa mkubwa kdg,weka vitu vitamu km halua,asali,tende n muwa kwa muda wa siku Saba,siku ya nane usipeleke usiku wk jini atakufuata kokote ulipo,akikuuliza kwa nn hujaniletea chakula leo?hapo Ndio utampa masharti yk uyatakayo,kwa malezo zaidi nitafuta private



=ndo mti gani huu?
 
Eh!!! Duniani kuna mambo.
Wengine tunasumbuka tupate pesa kwa nguvu zetu na sala, wengine wanahalalisha nguvu za shetani hadharani. Ee mungu nisaidie nisije kuwaza hizi options hadi nakufa! Dah!!
 
nenda makaburini vua nguo zote halafu lala juu ya kaburi kama unataka jini mwanaume lala juu kaburi la mwanaume kama unataka jini mwanamke lala juu kaburi la mwanamke mpaka asubuhi ila hakikisha hujaoga wala kupiga mswaki kwa muda wa siku 17
 
Jini ni ka uchafu kadogo sana yani unnataka kiduduwasha ambacho Mungu kakupa uweza wa kukitawala ndio kije kikupe utajiri?? jiulize hayo majin yameumbwa na nan? je huyo aliyeyaumba majini na vi uchafu shetani na utumbo vibwengo vyote yeye hawez kukupa utajir zaid ya ilo jini unalotaka ambalo mbele za Mungu ni kijikitu kidogo sana?? acha ujinga utajiri wa kudumu hutoka kwa Yesu pekee sio vijini

Wapi Yesu kadai kuwa yeye KAUMBA Vijini au Vibwengo?
Au wapi Yesu kasema Yeye ni Mungu?

Mbona nyie walokole Lzm muingie kila Uzi Kuchafua mazingira na haya mahubiri yenu yasio na mashiko?

We una habari Yesu maisha yake yote hakuwahi kuwa hata na chumba cha kupanga? Sasa km uyasemayo ni kweli ilikuwaje asijitafutie yeye hata nyumba ya kuishi aje akutajirishe wewe Mkazi wa Yombo vituka tena Mwafrika.?
 
mage_at_the_beach_done_by_mrmorfium_for_succubi_ti_by_succubi_tiffany-d5x3vvr.jpg
 
Back
Top Bottom